Bado nukta moja mbele.Duh...!
P
Duh...!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado nukta moja mbele.Duh...!
P
Duh...!.Bado nukta moja mbele.
Duh...!.
Nyumbs ya mbunge wa Geita vijijini iliyoko Ilemela jijini Mwanza imebomolewa na serikali baada ya mbunge huyo kugoma kupokea fidia ya sh milioni 70.
Mbunge huyo mh Joseph aka Msukuma anadaiwa kuonyesha ubabe baada ya nyumba yake kufanyiwa tathmini na alipoona amebanwa kila kona alikimbilia mahakamani lakini kwa kuchelewa kwa sababu maendeleo hayatamsubiri yeye.
Nyumba hiyo na nyingine nne zimebomolewa kupisha ujenzi wa barabara
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Hapa huwaona wale wa SACCOSS wakimteteta,ila angekuwa mbunge wao ungesikia kelele ,oh kaonewa oh kaonewa,lakini kwa kuwa Msukuma ni wa CCM hapo roho kwatu na zile nadharia zao hatutaziona.Nyumbs ya mbunge wa Geita vijijini iliyoko Ilemela jijini Mwanza imebomolewa na serikali baada ya mbunge huyo kugoma kupokea fidia ya sh milioni 70.
Mbunge huyo mh Joseph aka Msukuma anadaiwa kuonyesha ubabe baada ya nyumba yake kufanyiwa tathmini na alipoona amebanwa kila kona alikimbilia mahakamani lakini kwa kuchelewa kwa sababu maendeleo hayatamsubiri yeye.
Nyumba hiyo na nyingine nne zimebomolewa kupisha ujenzi wa barabara
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Wewe ukipigiwa demu wako unakuwa " shabiki" wa anayekugongea!!Kwani wakimboa hawata mpa hiyo fidia .umeileta kishabiki kama vile kakupigia demu wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Na bado anaendelea kuimba sifa kwa magu?Nyumbs ya mbunge wa Geita vijijini iliyoko Ilemela jijini Mwanza imebomolewa na serikali baada ya mbunge huyo kugoma kupokea fidia ya sh milioni 70.
Mbunge huyo mh Joseph aka Msukuma anadaiwa kuonyesha ubabe baada ya nyumba yake kufanyiwa tathmini na alipoona amebanwa kila kona alikimbilia mahakamani lakini kwa kuchelewa kwa sababu maendeleo hayatamsubiri yeye.
Nyumba hiyo na nyingine nne zimebomolewa kupisha ujenzi wa barabara
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Inategemea ubora wa nyumba na eneo husika.Million 70 ndogo sana
Ni mjinga tu anaweza kulia zaidi ya mfiwa.Hapa huwaona wale wa SACCOSS wakimteteta,ila angekuwa mbunge wao ungesikia kelele ,oh kaonewa oh kaonewa,lakini kwa kuwa Msukuma ni wa CCM hapo roho kwatu na zile nadharia zao hatutaziona.
Wabunge wa vyama makini hawajengi barabarani. Hivyo wanatetewa kwa vile wako kwenye haki.Hapa huwaona wale wa SACCOSS wakimteteta,ila angekuwa mbunge wao ungesikia kelele ,oh kaonewa oh kaonewa,lakini kwa kuwa Msukuma ni wa CCM hapo roho kwatu na zile nadharia zao hatutaziona.
Tulia dawa ikuingie.Hapa huwaona wale wa SACCOSS wakimteteta,ila angekuwa mbunge wao ungesikia kelele ,oh kaonewa oh kaonewa,lakini kwa kuwa Msukuma ni wa CCM hapo roho kwatu na zile nadharia zao hatutaziona.
Mlikuwa mnajifukiza wote mkuu?Duuuu kujifukiza kote kule bado wamebomoa???
Isingefanyiwa uthamini ingebomolewa kama za kimaraIngekuwa ya mbunge wa chadema wangeenda hadi kushataki kwa wazungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hivyo alipendelewa sana kwani nyumba haikuwa na thamani hiyo kama zilivyoonekana kwenye TV na alijenga kwenye eneo la barabara.Nyumbs ya mbunge wa Geita vijijini iliyoko Ilemela jijini Mwanza imebomolewa na serikali baada ya mbunge huyo kugoma kupokea fidia ya sh milioni 70.
Mbunge huyo mh Joseph aka Msukuma anadaiwa kuonyesha ubabe baada ya nyumba yake kufanyiwa tathmini na alipoona amebanwa kila kona alikimbilia mahakamani lakini kwa kuchelewa kwa sababu maendeleo hayatamsubiri yeye.
Nyumba hiyo na nyingine nne zimebomolewa kupisha ujenzi wa barabara
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Weka picha mkuu