Tetesi: Nyumba ya mjane wa Balozi John Rupia Katibu Mkuu Kiongozi (mstaafu) yadaiwa kupigwa mnada

Sijajua scenario ya huyo mama na familia yake ila ishatokea kwa jirani yangu.

Situation nyingi huwa zinakuja hivi::-

Mume anaenda kukopa bank kwa kufoji spouse consent ya mkewe so mke anakua hajui kama mume kakopa bank. Na wanaume wengi hawapendi kushirikisha wake zao mambo mengi. So inakuja kutokea siku mume amefariki ndo mambo yanaibuka. Bank inakuja kudai mnaambiwa mnadaiwa milioni 20 mume alikopa na thamani ya nyumba ni milioni 200 lets say. We huo mda hiyo hela huna ndo unakuja kuishia kufukuzwa na nyumba inauzwa na bank. Uzuri tunawashukuru wababa kwa utemi wenu haya mambo yanatokea sana tu.

Zinazokuja kuteseka ni familia mnazoziacha nyuma. Bora hata mngekua mnawaandaa mapema kwamba jamani nimeacha deni muanze kujitafuta pengine pa kukaa watakufanya nini kwani na we ndo baba?

Na wengi wao huwa hawataki wake zao wajishughulishe na chochote so yanakuja kuwakuta mke hana pa kuanzia.

Kwa hiyo scenario kama mzee alikopa bila mke kujua wana pa kutokea ila kama mke ndo anahusika kazi iendelee haya maisha haya🙌🏼
 
Sasa nani alimwambia akakope kwa kutumia hiyo nyumba na pesa za mkopo kapeleka wapi? Tuanze hapo kwanza

Watu wafanye makosa halafu waanze kutafuta huruma

Apambane hana watoto, hana ndugu pesa alikula na nani?
Huyu balozi ameshafariki nadhani mwaka jana
Angekuwepo yeye labda haya yasingetokea maana biz kama haupo kila mtu anafanya anavyojua
 
nafikiri tufanye kama tunavyofanyaga kwenye makanisa ya kiroho.
mchungaji akiwa hana hela tunachanga kumnunulia lakini muumini akiwa hana chakula tunamuombea.
kwa jinsi familia hii ilivyojitoa kwa serikali ya tanganyika ni halali kabisa kutumia fedha za mlipa kodi kukomboa nyumba hii.....
 
Huyu balozi ameshafariki nadhani mwaka jana
Angekuwepo yeye labda haya yasingetokea maana biz kama haupo kila mtu anafanya anavyojua
Biz nyingi hapa bongo zinakuzwa na pesa za rushwa, wizi na udokozi kwenye ofisi za umma. Ndiyo maana wengi wakitumbuliwa unashangaa na biz zao zinakufa.

Enzi za jiwe supermarkets nyingi zilikufa kwasabb tu mmiliki wake katumbuliwa. You can imagine, kutumbuliwa na biz kufa, wapi na wapi?
 

Mkopaji anapofariki deni lake linalipwa na bima ya mkopo huo ndio utaratibu wa Mikopo ya benk zote zama hizi.

Sio jukumu la wanaobaki kumlipia deni marehemu
 

Mzee hausiki, maana ukifa , kuna bima inakulipia na kuna makato ya bima kila mwezi.
 
Mkopaji anapofariki deni lake linalipwa na bima ya mkopo huo ndio utaratibu wa Mikopo ya benk zote zama hizi.

Sio jukumu la wanaobaki kumlipia deni marehemu
Anhaa sasa Kwa mfano mkopaji alikopa bila consent ya mke, kesi ikawa iko mahakamani kuhusu kuzuia nyumba kupigwa mnada kwa ground kwamba mke hakuhusishwa, bima bado ita cover ikiwa mkopaji amekufa na kesi haijaisha? (Hili swali ni nje ya issue husika maana siijui case yao)
 
Umenena vyema mkuu mayalla
 
Kaka pascal hili ni dogo au serikali itamsaidia??
 
Top 10 giant blhblh...

Je huo utajiri aliouacha mzee waliyobaki waliuendeleza au ndiyo walikuwa wanakula/kutumia pesa tu

Ova
 
Sasa nani alimwambia akakope kwa kutumia hiyo nyumba na pesa za mkopo kapeleka wapi? Tuanze hapo kwanza

Watu wafanye makosa halafu waanze kutafuta huruma

Apambane hana watoto, hana ndugu pesa alikula na nani?
Wanapelekaga kwenye matumizi
Si unajuwa washazoea matumizi

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…