Tetesi: Nyumba ya mjane wa Balozi John Rupia Katibu Mkuu Kiongozi (mstaafu) yadaiwa kupigwa mnada

Tetesi: Nyumba ya mjane wa Balozi John Rupia Katibu Mkuu Kiongozi (mstaafu) yadaiwa kupigwa mnada

Harusi ya Peter na Roda Kahama ilifanyikia hapo enzi za Mzee Ruksa
Hapana, harusi ilifanyikia kwenye lile kasri lao la Masaki, Mzee Mengi ndie alikuwa M/kiti wa kamati ya maandalizi. Nilihudhuria harusi hii all the way from US, and to me, hii ndio ilikuwa harusi kubwa ya kwanza ya aina yake Bongo enzi za Mzee Rhuksa!.
P.
 
Mkuu peno hasegawa, asante kwa taarifa hii.

Nyumba yoyote inapopigwa mnada maana yake ni imetumika kama collateral for loan.

Kama nyumba hiyo ni matrimonial home, haikubaliki as a collateral mpaka both spouses wasaini.

Mke kama ulisaini nyumba itumike as collateral, mume akachukulia mkopo, baadae mume akafa bila kuulipa huo mkopo, kifo cha mume hakifuti lile deni la ule mkopo, hivyo mkopo lazima ulipwe!. Ukishindwa kulipa, ujane sio an excuse kuizuia bank to recover its debts.

Huu ni mfano mzuri wa kuwafundisha Watanzania kuweka bima, kuna mpaka bima za mikopo, ukifa kabla hujamaliza kulipa mkopo, bima ina take over na kukulipia!.

Rupia ni among the top ten giant families zenye lots of properties jijini Dar es Salaam!. Yale maghorofa yote matatu pale Uhuru Roundabout ni ya baba yao Mzee John Rupia, ambapo wakati wa utaifishaji hayo hayakuguswa!.

Hivyo hilo la hii nyumba ni dogo tuu!.
Pole Mama Anna, hili ni dogo tuu kama upepo na litapita tuu!.
P
Pale sea view karibu na hotel ya protea ,gorofa linalotazamana na ofisi ya mkurabita , Ni ya ukoo wa rupia pia
 
Hapana, harusi ilifanyikia kwenye lile kasri lao la Masaki, Mzee Mengi ndie alikuwa M/kiti wa kamati ya maandalizi. Nilihudhuria harusi hii all the way from US, and to me, hii ndio ilikuwa harusi kubwa ya kwanza ya aina yake Bongo enzi za Mzee Rhuksa!.
P.
Kale kabinti nakakumbuka kalikua cashier BOT.
Enzi zile makusanyo tulikua tunayapeleka BOT moja kwa moja.
 
Hapana, harusi ilifanyikia kwenye lile kasri lao la Masaki, Mzee Mengi ndie alikuwa M/kiti wa kamati ya maandalizi. Nilihudhuria harusi hii all the way from US, and to me, hii ndio ilikuwa harusi kubwa ya kwanza ya aina yake Bongo enzi za Mzee Rhuksa!.
P.
Ahsante mkuu kwa ufafanuzi
 
Hiyo ni just one of prime properties the family has!.
P
Dawa ya deni ni kulipa

Huko nyumba ya mkono ilipigwa mnada...

Nyumba ya mahiga nayo ilipigwa mnada

Tukirudi kwenye Mali za wakina rupia,sawa wana Mali ongezea na eneo la wazo wanapochimba kokoto
Je nje ya properties wana biashara gani ambayo mpaka sasa ipo???

Je wana kiwanda nk ..?

Ova
 
Back
Top Bottom