Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Hapana, harusi ilifanyikia kwenye lile kasri lao la Masaki, Mzee Mengi ndie alikuwa M/kiti wa kamati ya maandalizi. Nilihudhuria harusi hii all the way from US, and to me, hii ndio ilikuwa harusi kubwa ya kwanza ya aina yake Bongo enzi za Mzee Rhuksa!.Harusi ya Peter na Roda Kahama ilifanyikia hapo enzi za Mzee Ruksa
Kaka ebu tuletee historia ya vita vya majimaji je kuna ukweli wowote ilikua vita vya kidini kama mzee wetu saidi mohamed anavyotusimulia???Hiyo ni just one of prime properties the family has!.
P
Mkuu Nelson Jacob lushasi , naomba kaulize swali hili kwenye thread husika huko Mkuu Maalim Mohamed Said aliposema Vita vya Maji Maji vilikuwa ni vita vya kidini!.Kaka ebu tuletee historia ya vita vya majimaji je kuna ukweli wowote ilikua vita vya kidini kama mzee wetu saidi mohamed anavyotusimulia???
Nitafanya hivyo kaka shukraniMkuu Nelson Jacob lushasi , naomba kaulize swali hili kwenye thread husika huko Mkuu Maalim Mohamed Said aliposema Vita vya Maji Maji vilikuwa ni vita vya kidini!.
P
Na siku mali za Godbless Lema zikipigwa mnada uje na maneno haya.
Pale sea view karibu na hotel ya protea ,gorofa linalotazamana na ofisi ya mkurabita , Ni ya ukoo wa rupia piaMkuu peno hasegawa, asante kwa taarifa hii.
Nyumba yoyote inapopigwa mnada maana yake ni imetumika kama collateral for loan.
Kama nyumba hiyo ni matrimonial home, haikubaliki as a collateral mpaka both spouses wasaini.
Mke kama ulisaini nyumba itumike as collateral, mume akachukulia mkopo, baadae mume akafa bila kuulipa huo mkopo, kifo cha mume hakifuti lile deni la ule mkopo, hivyo mkopo lazima ulipwe!. Ukishindwa kulipa, ujane sio an excuse kuizuia bank to recover its debts.
Huu ni mfano mzuri wa kuwafundisha Watanzania kuweka bima, kuna mpaka bima za mikopo, ukifa kabla hujamaliza kulipa mkopo, bima ina take over na kukulipia!.
Rupia ni among the top ten giant families zenye lots of properties jijini Dar es Salaam!. Yale maghorofa yote matatu pale Uhuru Roundabout ni ya baba yao Mzee John Rupia, ambapo wakati wa utaifishaji hayo hayakuguswa!.
Hivyo hilo la hii nyumba ni dogo tuu!.
Pole Mama Anna, hili ni dogo tuu kama upepo na litapita tuu!.
P
Mkuu lakini si walikopa na wameshindwa kirejesha?. Usikute hapo kijana ndo kakopa alafu mjane ni mdhamini.
WALIPE TU HAKUNA NAMNA!Alikuwa anataka agiza vitu dubai akamwambia Mama hii inalipa, halafu hela akanunua subaru.
Kwani wameomba kulipiwa deni?Kina Jenny wapo wapi wasaidiane kulipa . Tusio na majina tunakopa na kulipa wenye majina wanakopa wakitegemea majina yahurumiwe walipiwe .
DAWA YA DENI KULIPA
Kale kabinti nakakumbuka kalikua cashier BOT.Hapana, harusi ilifanyikia kwenye lile kasri lao la Masaki, Mzee Mengi ndie alikuwa M/kiti wa kamati ya maandalizi. Nilihudhuria harusi hii all the way from US, and to me, hii ndio ilikuwa harusi kubwa ya kwanza ya aina yake Bongo enzi za Mzee Rhuksa!.
P.
Hakimu aligundua janja yenu wewe na mkeo.mimi hakimu hakujali kama ilikuwa ni matrimoinal home akaamuru iuzwe pamoja na mke wangu kukata rufaa, rushwa ni mbaya sana..kausha damu waligharamia wauze nyumba
Ahsante mkuu kwa ufafanuziHapana, harusi ilifanyikia kwenye lile kasri lao la Masaki, Mzee Mengi ndie alikuwa M/kiti wa kamati ya maandalizi. Nilihudhuria harusi hii all the way from US, and to me, hii ndio ilikuwa harusi kubwa ya kwanza ya aina yake Bongo enzi za Mzee Rhuksa!.
P.
Hawa ni tofati na wanaohongwa nyumba na magari ya kifahari?kama wanadaiwa why not? hakuna namna., dawa ya deni ni kulipa tu uwe mjane ama mgane.
Dawa ya deni ni kulipaHiyo ni just one of prime properties the family has!.
P