Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,572
Mbona nyumba ya kawaida sana. Dah wabongo ushabiki wa kijinga.
The king.
Unagongeka vbaya wewe..........:thumbdown:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona nyumba ya kawaida sana. Dah wabongo ushabiki wa kijinga.
The king.
Hiyo cresta nyeupe nilikuwa namuona nayo sana mitaa ya bunju kipindi flani, niliona ali post nyumba ivi juzi juzi tu baada ya kupata dozi alikuwa anadai anaijenga na ilikuwa nzur kwenye picha alikuwa ndo anamalizia rangi, sasa unavyoniambia tena kapanga, nyie hawa wasanii wanaotumia bhang c wa kuwaamin hat
Jide katokelezea kwanza nyumba kahamia muda ila bado inaonejana mpyaa... kweli jide msafi
Amejenga maeneo gani?