Nyumba ya msanii Lady Jay Dee kwa ndani inavyoonekana

Nyumba ya msanii Lady Jay Dee kwa ndani inavyoonekana

Nampenda sana yani ndo ugonjwa wangu jide, namkubali kwa sababu anajielewa na sio kahaba aishi kwa kutegemea ma bwana na hanaga mda na mtu zaidi ya kutafuta pesa, ana mafanikio na hatujawah kumsikia akijigamba ovyo kuwa ana pesa, anajiheshimu sana

afu walivyokua mabogas hawajifunzi kwa jide ht kidogo
 
halafu wewe shauriro haya utaambiwa unatangaza
Juzi kwenye kipindi chake alionyesha Plot za kufa Mtu , Hongera zake .......Hala Hala G asijekimbia na begi kwenye Bajaji kama Mwenzie:A S 109: ....Nasema tu 😛eace:
 
komandoo jide kweli ametulia ana matatizo wala hana longolongo yy anapigania pesa kwa kwenda mbele ana skendo kama wenzie

ila hawa wengine hawajifunzi kitu toka kwa mwenzao jide aliyetulia na kuleta maendeleo kwake najamii hususani watoto yatima?
 
Jaman ata akiwa na miaka 50 kwani cha ajabu nini? Si ni miaka jaman, mumuache bhana jide wa watu, mbona akina madonna na jlo wameenda age na bado wanadunda? Acheni hizo bhana

hata mimi binafsi nampenda na namkubali sana jide, ila si unajuwa tena hapa jf huwa tunatwanga kotekote?

kama uko karibu na jide nifanyie upelelezi kama huwa anaziona siku zake za hedhi basi anitafute nimpe ujauzito mengine yabaki siri yake na garder. hii mipesa ya jide lazima apatikane mtoto asome mapema wakati mipesa bado ipo lukuki.
 
hata mimi binafsi nampenda na namkubali sana jide, ila si unajuwa tena hapa jf huwa tunatwanga kotekote?

kama uko karibu na jide nifanyie upelelezi kama huwa anaziona siku zake za hedhi basi anitafute nimpe ujauzito mengine yabaki siri yake na garder. hii mipesa ya jide lazima apatikane mtoto asome mapema wakati mipesa bado ipo lukuki.

Yes, kuhusu kupata siku za hedhi anapata maana aliwahi kuelezea experince yake wakiwa na happiness magese , nadhan walikuwa wana share experience kozi wote ni waathirika wa mambo ya uzazi

Nadhani kuhusu mtoto hilo ungemuuliza mungu mkuu, sababu hiyo ishu ipo nje ya uwezo wa jide, japokuwa anatamani sana mtoto kama wanawake wengine
 
Yes, kuhusu kupata siku za hedhi anapata maana aliwahi kuelezea experince yake wakiwa na happiness magese , nadhan walikuwa wana share experience kozi wote ni waathirika wa mambo ya uzazi

Nadhani kuhusu mtoto hilo ungemuuliza mungu mkuu, sababu hiyo ishu ipo nje ya uwezo wa jide, japokuwa anatamani sana mtoto kama wanawake wengine

Kumbe Jide ana tatizo kama la Magese... sad pole yake jamani

Vp naye alifanyiwa operesheni kama magese??
 
Yes, kuhusu kupata siku za hedhi anapata maana aliwahi kuelezea experince yake wakiwa na happiness magese , nadhan walikuwa wana share experience kozi wote ni waathirika wa mambo ya uzazi

Nadhani kuhusu mtoto hilo ungemuuliza mungu mkuu, sababu hiyo ishu ipo nje ya uwezo wa jide, japokuwa anatamani sana mtoto kama wanawake wengine

kwangu mwanamke kama anaziona siku zake ni lazima apate mimba.
 
Kumbe Jide ana tatizo kama la Magese... sad pole yake jamani

Vp naye alifanyiwa operesheni kama magese??

Wote wanaweza kuwa na matatizo ya uzazi ila matatizo yao yakawa yanatofautiana, jide aliwahi kupandikiza (artificial insemination) kama sijakosea miaka ya nyuma na kubahatika kupata ujauzito ambao unasemekana ulitoka kutokana na mambo ya hali ya hewa

Na wakati akiongelea mambo ya uzazi, alikuwa na magese na mama mmoja mjamzito, waka share experience pale na kuwa influence wanawake wenye matatizo ya uzazi wajitokeze wasisikie aibu kwani huenda matatizo yao yakatibika, kuna foundation anaiendesha millen kuhus mambo ya uzazi so nadhan wakishirikiana na jide kwa kuwa wote wapo strong financially na wana ushawishi mkubwa kwa pamoja nadhani watafanikiwa

UKIMSAIDIA MWANAMKE, UMESAIDIA JAMII NZIMA.
 
kwangu mwanamke kama anaziona siku zake ni lazima apate mimba.

Hata mimi i thought of the same thing, ila jide alikuwa anaelezea maumivu anayoyapataga wakati wa hedhi, so nadhan she goes menstrual cycle

Matatizo ya uzazi yapo ya aina nyingi, hata kwa upande wa sisi wanaume unakuta mwanaume anadinda vizur na mchezo ana uweza sana tu mpaka demu akapagawa ila anaweza kuwa na low sperm count au anaweza kuwa na pre mature ejaculation au inflamation au mwanaume anaweza akawa ana mbegu zake nzur tu zenye nguvu ila hakawa hadindishi, so matatizo ya uzazi yapo ya aina nyingi tu, na sio kila mwanaume anayedindisha basi ana uwezo wa kuzaa ,sio kweli ndo kama wewe unavyodhan wewe kuwa kila mwanamke anayepat hedhi bas anaweza kuzaa, matatizo yapo mengi sana
 
Wote wanaweza kuwa na matatizo ya uzazi ila matatizo yao yakawa yanatofautiana, jide aliwahi kupandikiza (artificial insemination) kama sijakosea miaka ya nyuma na kubahatika kupata ujauzito ambao unasemekana ulitoka kutokana na mambo ya hali ya hewa

Na wakati akiongelea mambo ya uzazi, alikuwa na magese na mama mmoja mjamzito, waka share experience pale na kuwa influence wanawake wenye matatizo ya uzazi wajitokeze wasisikie aibu kwani huenda matatizo yao yakatibika, kuna foundation anaiendesha millen kuhus mambo ya uzazi so nadhan wakishirikiana na jide kwa kuwa wote wapo strong financially na wana ushawishi mkubwa kwa pamoja nadhani watafanikiwa

UKIMSAIDIA MWANAMKE, UMESAIDIA JAMII NZIMA.

binamu shikamoo kweli we team jide mia mia!
 
Back
Top Bottom