warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Jide katokelezea kwanza nyumba kahamia muda ila bado inaonejana mpyaa... kweli jide msafi
Wamuache miaka mia, yeye mambo ya kujiuza kwa kina clement ili waendeshe maisha yao kashawaachia akina wema na kajala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jide katokelezea kwanza nyumba kahamia muda ila bado inaonejana mpyaa... kweli jide msafi
Unatafuta ugomvi na team domo ooohh mwenzio yupo anachart na kina Nelly ,kasahau kumalizia nyumba
Binamu zavi njoo ujionee mambo ya jide uku halafu utuonyeshe na nyumba ya ndomo
Nyumba hiyo niliiona miaka 4 iliyopita binamu naona jikoni kaparekebisha, kwa maendeleo yuko vizuri binamu mi Kwa maendeleo mi sikatai ila muziki ajitahidi arudi kama zamani.Almasi yupo busy anachagua apartment ya kununua marekani
soon atatuwekea.Almas mtoto wa Tandare anajenga nyumba anaweka wapangaji aahaha.
Lakini angalia shemeji asije kimbia kwenye bajaji natania tu binamu.
Si nasikia anakaa yeye na mumewe tu hakai hata na housegirl mbahili huyo ,lazima iwe safi
Ray C alikuwa ameanza kujenga akaezeka na kuezeka , alivyokosa hela ya sembe akabidi auze ili asiharibu dozi si unajua yale mavitu ukianza kutumia yanakuharibu. kawa kibonge au kaumuka.
Nawaza siku gadna atakavotolewa mbio kama emmanuel mbasha si unajua mambo ya kuwekwa mjini na mkeo akipigwa nje tu anakutoa mbio
Juzi kwenye kipindi chake alionyesha Plot za kufa Mtu , Hongera zake .......Hala Hala G asijekimbia na begi kwenye Bajaji kama Mwenzie:A S 109: ....Nasema tu 😛eace:
Ndomo wa watu anatafuta apartment beverly hills nimeona anaongea na nelly
Yes hata mimi nimependa design mpya ya jikoni ipo kisasa zaidi, ila mi rangi ya hiyo nyumba yake tu haijanifutia na sijui kwa nini habadilishi miaka yote hiyo
Ivi shoga yake ray c na yeye kajenga wapi? Naona mambo yake super kawa kibonge hatar sijui ndo dozi
Yaan ananunua nyumba huko marekani au utani huuuu sio mzuriii loooo binamu niambie kwa hiliiii za huku tu zimemshinda ataweza bill za hukooo
Apange wapi na wewe? yupo busy sasa ivi anapiga picha na shemeji yake kerrueche
Apange wapi na wewe? yupo busy sasa ivi anapiga picha na shemeji yake kerrueche
Nawaza siku gadna atakavotolewa mbio kama emmanuel mbasha si unajua mambo ya kuwekwa mjini na mkeo akipigwa nje tu anakutoa mbio