Hiyo cresta nyeupe nilikuwa namuona nayo sana mitaa ya bunju kipindi flani, niliona ali post nyumba ivi juzi juzi tu baada ya kupata dozi alikuwa anadai anaijenga na ilikuwa nzur kwenye picha alikuwa ndo anamalizia rangi, sasa unavyoniambia tena kapanga, nyie hawa wasanii wanaotumia bhang c wa kuwaamin hat