johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Polepole aliteuliwa na mwendazake!Hata Dorothy ni wa nafasi kumi za Rais na aliteuliwa na mtangulizi hayati, huyu mama hakuwa na nafasi 10 make nafasi nyingi zilikuwa ameshateua mtangulizi wake na zile chache zilizobaki ndo alitumia kuwapoza akina Bashiru na Polepole baada ya kuwatumbua.
Benki ukitoa buku tu unakatwa 5,700/=Kinachouma zaidi licha kulipa Tozo na Kodi bado kuna Mbwa wanatufanyia mambo ya ajabu ajabu.
Tunawalipa mishahara ya Ubunge kwa Tozo zetu.Halafu wanachekewa tu.
Wanabodi,
Wajameni, ni mimi tuu au na wengine, naona kama
Nyumba yetu inazidi makelele, jee tumshinikize Mama aonyeshe uwepo wake, kwa kuonyesha uwezo wake kuwadhibiti na kuwatuliza hawa watoto wake wasio na adabu, wanaoparurana mchana kweupe na Mama yupo anawaangalia tuu?!. Mama eeh, anza na wale marrionates wako wote wawili pale mahali, wapumzishe. The Drama King, "Pinga Pinga Chanjo" Apuuzwe tuu.
Kama kawaida yangu, kila nikipata fursa huja na zile makala zangu kwa maslahi ya Taifa.
Angalizo
JF ilipoanzishwa ilitarajiwa iwe ni home for the great thinkers, na great minds to discuss ideas.
Ila ikajikuta kwenye society kuna simple minds ambao ndio wengi, wata discuss people, kuna ordinary minds wata discuss events, na kuna great minds ambao ni wachache, hawa wata discuss ideas.
Hili ni bandiko kwa ajili ya great minds, hatujadili watu, wala matukio, tunajadili ideas, hivyo hakuna jina la mtu yoyote litatajwa humu, nakuomba na wewe usitaje jina la mtu yoyote.
Japo mimi sio great thinker, lakini naweza kuandika na kufikisha ujumbe maalum kwa hao great thinkers. Kwenye bandiko hili nimesema Marrionates tuu bila kuwataja, wala pale wapi au drama King.
Kuna nyumba baba na mama ni wakali, sasa siku ukisikia watoto wanapiga makelele huku wanatukanana, then ujue wazazi wamesafiri, watoto wamebaki na house girl, hivyo wanamdharau!, wanapiga makelele kama nyumba haina wazazi.
Dunia nzima sasa iko kwenye vita vya Corona, mpaka ugonjwa wa Corona, bado hauna kinga, wala tiba, kama ulivyo ugonjwa wa ukimwi, ila ukigundulika mapema kuwa umepata maambukizi virusi vya ukimwi, na kabla hujaanza kuathirika, ukitumia vidonge vya ARV, uta fubaza virusi hivyo, hivyo kuvizuia visikuathiri, na ukizingatia masharti, utaendelea kuishi kwa muda mrefu.
Tangu mtu anapoambukizwa virusi vya ukimwi, kwanza unachukua muda mrefu kugundua, na kuna wengine wao ni ma carriers tuu wa virusi hivi wakivibeba kwenye miili yao, na kuwasambazia wengine lakini wao hawaathiriki. Tangu virus hivyo vya HIV kukuingia hadi kupata ukimwi, sometimes takes ages. Na hata ukiwa na ukimwi, na ukaanza kuugua, sometimes you take ages hadi kufa.
Virusi vya ukimwi vinashambulia mfumo wa kinga mwilini, hivyo kufa ni taratibu, lakini virusi vya Corona, vinashambulia mfumo wa upumuaji, usipo wahiwa hospitali, kifo ni fasta!. Mtu mlikuwa nae jana tuu mkila na kucheka nae, kesho yake unaambiwa kafa!. Lazima utashituka na kupingwa butwaa, bumbu wazi.
Kinga pekee ya uhakika ya ukimwi ni kuzuia ukimwi usikupate, na kinga pekee ya uhakika ya Corona ni kuzuia Corona isikupate.
Katika kukabiliana na janga la Corona, sasa kumepatikana chanjo ya Corona, hii chanjo sio tiba na sio kinga ya asilimia 100% kwa 100% kama chanjo ya ndui, polio na pepopunda ambazo zinachomwa kwa watoto wote dunia nzima. Chanjo ya Corona ni kujikinga wewe ili hata ikitokea ukapata maambukizi ya virusi vya Corona, hiyo chanjo mwilini mwako itakusaidia kwa chanjo hiyo kuuwezesha mwili wako kutengeneza kinga ya kivikabili virusi hivyo.
Hivyo Corona ni vita na mapambano ya vita hii yanaongozwa na Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi yetu, huku akisaidiwa kisiasa na viongozi wakuu wote, lakini kiutendaji na utekelezaji akisaidiwa na makamanda wawili fulani, Waziri na Naibu Waziri.
Kwa vile vita hii alipoingia, Taifa lilikuwa chini ya CinC mwingine ambaye hakuamini kwenye chanzo. Wale makamanda wasaidizi wawili, waliunga mkono msimamo wa Amiri jeshi wa wakati huo na kuwaaminisha Watanzania, jinsi chanjo hazifai na kuzibeza kwa sauti kubwa tena hadi kuongoza kwa mifano jinsi ya kupiga nyungu kwa mtindo wa ku dramatize.
Sasa tuna CinC mwingine, anayeamini kwenye chanjo, ilikuwa ni busara ya kawaida tuu, wale wasaidizi wawili walio ibeza chanjo, wangepumzishwa, na kuteuliwa wasaidizi wengine wawili kuitetea chanjo.
Kitendo cha wasaidizi wale wale walio icheza ile ngoma ya mpiga ngoma aliyetangulia na waliowaaminisha Watanzania kuwa chanjo hazufai, sasa baada ya kuingia kwa mpiga ngoma mpya, amebadili beat na tune, halafu wacheza ngoma ni wale wale, dancing to the new tune and new beat with dramatising kuwa chanjo ni nzuri, haijakaa poa!.
Ndio maana ninashauri ili kuimalizia all this bickering going on kuhusu chanjo ya Corona, kwanza hawa marrionates wote wawili pale mahali, despite the fact, they are very good dances, ambao wanadance well with every changing beats, wapumzishwe. Kuna vitu unaweza kutumia dramas na comedy kuhamasisha, waachiwe dramatist na comedians, and not politicians. Kitendo cha comedians cum politicians wa marrionates type who can dance every beats and changes with every tune, kuiifanya hii chanjo kuonekana kama ni drama fulani au ni comedy fulani. Chanjo ya Corona ni something very serious na kinahitaji some very serious people kumsaidia CinC kuhamasisha watu wachanje sio hao comedians wote wawili hapo, Mama kwanza onyesha uwezo kuwa you are very serious and no nonsense lady kwa kuwaweka pembeni, choose some serious people, hawa comedians aliwarithi achana nao, watakuaibisha!.
Na mwisho ni yule drama king aliyepewa kichwa na naniliu, sasa masikio yamezidi kichwa, analeta zile dharura za Kisukuma kudharau wanawake, ameonyesha dharau kubwa kwako na kwa mteule wako!. Amefikia kulitukana, na kulidhalilisha kabila lote zima kisa tuu tumetofautiana na shemeji yake. Huyo ni attention seeker, kadri anavyo shughulikiwa ndio kwanza mnampa umaarufu. Sishauri ashughulikiwe kikamilifu kwa ule mtindo wa kilisulisu, zikimkosa mbili mtu unatoa maelezo!. Dawa ya kuwashughulikia attention seekers ni kuwa ignore, just scrap him ile jeuri ya kubebwa na homeboy wake, reduce him to an ordinary man, abaki kuwahubiria tuu neno la Mungu na sio kuwahutubia Watanzania kila Jumapili akitokea mimbarini kwake, mimbari iwe ni kwa yaliyo ya Kimungu, akifanya ya Kaisari mimbarini kwa yaliyo ya Kimungu, then ni Mungu mwenyewe utamshughulikia kwa kutumia mimbari yake kufanya ya Kaisari.
Jumatatu Njema.
Paskali
Exctly,Ana mdharau Rais vile ni mwanamke huyu
Hana madhara wakati anatembea na kidumu na kibiriti mkononi! Labda vituo vya mafuta vyote viondolewe kwanza ndiyo aachiwe.Naunga mkono
Pia Freeman Mbowe aka Mwamba atolewe jela hana madhara.
Kwani katiba inaruhusu labda kama mtu ajiuzuru ila chachezilizobakia ndio alimwateua kina MulamulaUwezo wa kuzifuta alikuwa nao na hata kupiga chini wengine hakukuwa na ulazima aende nao safari
Kutoa maoni Tanzania ni kosa la jinai sikuhizi?
QUOTE
Iwapo maoni yako yataingilia maslahi ya watu kuanzia hapo ni kosa Ila kama maoni yao yatakuwa ni kuunga juhudi basi saafi kabisa kinyume na hapo unaweza utakuwa gaidi ama mhujumu uchumi ila pia maoni yako yatakuwa kosa la kisheria kama yanakiuka haki zake kisheria ama kama yatakuwa ni kashifa ama tuhuma zisizokuwa na ushahidi dhidi ya mwingine
Wanabodi,
Wajameni, ni mimi tuu au na wengine, naona kama
Nyumba yetu inazidi makelele, jee tumshinikize Mama aonyeshe uwepo wake, kwa kuonyesha uwezo wake kuwadhibiti na kuwatuliza hawa watoto wake wasio na adabu, wanaoparurana mchana kweupe na Mama yupo anawaangalia tuu?!. Mama eeh, anza na wale marrionates wako wote wawili pale mahali, wapumzishe. The Drama King, "Pinga Pinga Chanjo" Apuuzwe tuu.
Kama kawaida yangu, kila nikipata fursa huja na zile makala zangu kwa maslahi ya Taifa.
Angalizo
JF ilipoanzishwa ilitarajiwa iwe ni home for the great thinkers, na great minds to discuss ideas.
Ila ikajikuta kwenye society kuna simple minds ambao ndio wengi, wata discuss people, kuna ordinary minds wata discuss events, na kuna great minds ambao ni wachache, hawa wata discuss ideas.
Hili ni bandiko kwa ajili ya great minds, hatujadili watu, wala matukio, tunajadili ideas, hivyo hakuna jina la mtu yoyote litatajwa humu, nakuomba na wewe usitaje jina la mtu yoyote.
Japo mimi sio great thinker, lakini naweza kuandika na kufikisha ujumbe maalum kwa hao great thinkers. Kwenye bandiko hili nimesema Marrionates tuu bila kuwataja, wala pale wapi au drama King.
Kuna nyumba baba na mama ni wakali, sasa siku ukisikia watoto wanapiga makelele huku wanatukanana, then ujue wazazi wamesafiri, watoto wamebaki na house girl, hivyo wanamdharau!, wanapiga makelele kama nyumba haina wazazi.
Dunia nzima sasa iko kwenye vita vya Corona, mpaka ugonjwa wa Corona, bado hauna kinga, wala tiba, kama ulivyo ugonjwa wa ukimwi, ila ukigundulika mapema kuwa umepata maambukizi virusi vya ukimwi, na kabla hujaanza kuathirika, ukitumia vidonge vya ARV, uta fubaza virusi hivyo, hivyo kuvizuia visikuathiri, na ukizingatia masharti, utaendelea kuishi kwa muda mrefu.
Tangu mtu anapoambukizwa virusi vya ukimwi, kwanza unachukua muda mrefu kugundua, na kuna wengine wao ni ma carriers tuu wa virusi hivi wakivibeba kwenye miili yao, na kuwasambazia wengine lakini wao hawaathiriki. Tangu virus hivyo vya HIV kukuingia hadi kupata ukimwi, sometimes takes ages. Na hata ukiwa na ukimwi, na ukaanza kuugua, sometimes you take ages hadi kufa.
Virusi vya ukimwi vinashambulia mfumo wa kinga mwilini, hivyo kufa ni taratibu, lakini virusi vya Corona, vinashambulia mfumo wa upumuaji, usipo wahiwa hospitali, kifo ni fasta!. Mtu mlikuwa nae jana tuu mkila na kucheka nae, kesho yake unaambiwa kafa!. Lazima utashituka na kupingwa butwaa, bumbu wazi.
Kinga pekee ya uhakika ya ukimwi ni kuzuia ukimwi usikupate, na kinga pekee ya uhakika ya Corona ni kuzuia Corona isikupate.
Katika kukabiliana na janga la Corona, sasa kumepatikana chanjo ya Corona, hii chanjo sio tiba na sio kinga ya asilimia 100% kwa 100% kama chanjo ya ndui, polio na pepopunda ambazo zinachomwa kwa watoto wote dunia nzima. Chanjo ya Corona ni kujikinga wewe ili hata ikitokea ukapata maambukizi ya virusi vya Corona, hiyo chanjo mwilini mwako itakusaidia kwa chanjo hiyo kuuwezesha mwili wako kutengeneza kinga ya kivikabili virusi hivyo.
Hivyo Corona ni vita na mapambano ya vita hii yanaongozwa na Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi yetu, huku akisaidiwa kisiasa na viongozi wakuu wote, lakini kiutendaji na utekelezaji akisaidiwa na makamanda wawili fulani, Waziri na Naibu Waziri.
Kwa vile vita hii alipoingia, Taifa lilikuwa chini ya CinC mwingine ambaye hakuamini kwenye chanzo. Wale makamanda wasaidizi wawili, waliunga mkono msimamo wa Amiri jeshi wa wakati huo na kuwaaminisha Watanzania, jinsi chanjo hazifai na kuzibeza kwa sauti kubwa tena hadi kuongoza kwa mifano jinsi ya kupiga nyungu kwa mtindo wa ku dramatize.
Sasa tuna CinC mwingine, anayeamini kwenye chanjo, ilikuwa ni busara ya kawaida tuu, wale wasaidizi wawili walio ibeza chanjo, wangepumzishwa, na kuteuliwa wasaidizi wengine wawili kuitetea chanjo.
Kitendo cha wasaidizi wale wale walio icheza ile ngoma ya mpiga ngoma aliyetangulia na waliowaaminisha Watanzania kuwa chanjo hazufai, sasa baada ya kuingia kwa mpiga ngoma mpya, amebadili beat na tune, halafu wacheza ngoma ni wale wale, dancing to the new tune and new beat with dramatising kuwa chanjo ni nzuri, haijakaa poa!.
Ndio maana ninashauri ili kuimalizia all this bickering going on kuhusu chanjo ya Corona, kwanza hawa marrionates wote wawili pale mahali, despite the fact, they are very good dances, ambao wanadance well with every changing beats, wapumzishwe. Kuna vitu unaweza kutumia dramas na comedy kuhamasisha, waachiwe dramatist na comedians, and not politicians. Kitendo cha comedians cum politicians wa marrionates type who can dance every beats and changes with every tune, kuiifanya hii chanjo kuonekana kama ni drama fulani au ni comedy fulani. Chanjo ya Corona ni something very serious na kinahitaji some very serious people kumsaidia CinC kuhamasisha watu wachanje sio hao comedians wote wawili hapo, Mama kwanza onyesha uwezo kuwa you are very serious and no nonsense lady kwa kuwaweka pembeni, choose some serious people, hawa comedians aliwarithi achana nao, watakuaibisha!.
Na mwisho ni yule drama king aliyepewa kichwa na naniliu, sasa masikio yamezidi kichwa, analeta zile dharura za Kisukuma kudharau wanawake, ameonyesha dharau kubwa kwako na kwa mteule wako!. Amefikia kulitukana, na kulidhalilisha kabila lote zima kisa tuu tumetofautiana na shemeji yake. Huyo ni attention seeker, kadri anavyo shughulikiwa ndio kwanza mnampa umaarufu. Sishauri ashughulikiwe kikamilifu kwa ule mtindo wa kilisulisu, zikimkosa mbili mtu unatoa maelezo!. Dawa ya kuwashughulikia attention seekers ni kuwa ignore, just scrap him ile jeuri ya kubebwa na homeboy wake, reduce him to an ordinary man, abaki kuwahubiria tuu neno la Mungu na sio kuwahutubia Watanzania kila Jumapili akitokea mimbarini kwake, mimbari iwe ni kwa yaliyo ya Kimungu, akifanya ya Kaisari mimbarini kwa yaliyo ya Kimungu, then ni Mungu mwenyewe utamshughulikia kwa kutumia mimbari yake kufanya ya Kaisari.
Jumatatu Njema.
Paskali
Sawa...Wanabodi,
Wajameni, ni mimi tuu au na wengine, naona kama
Nyumba yetu inazidi makelele, jee tumshinikize Mama aonyeshe uwepo wake, kwa kuonyesha uwezo wake kuwadhibiti na kuwatuliza hawa watoto wake wasio na adabu, wanaoparurana mchana kweupe na Mama yupo anawaangalia tuu?!. Mama eeh, anza na wale marrionates wako wote wawili pale mahali, wapumzishe. The Drama King, "Pinga Pinga Chanjo" Apuuzwe tuu.
Kama kawaida yangu, kila nikipata fursa huja na zile makala zangu kwa maslahi ya Taifa.
Angalizo
JF ilipoanzishwa ilitarajiwa iwe ni home for the great thinkers, na great minds to discuss ideas.
Ila ikajikuta kwenye society kuna simple minds ambao ndio wengi, wata discuss people, kuna ordinary minds wata discuss events, na kuna great minds ambao ni wachache, hawa wata discuss ideas.
Hili ni bandiko kwa ajili ya great minds, hatujadili watu, wala matukio, tunajadili ideas, hivyo hakuna jina la mtu yoyote litatajwa humu, nakuomba na wewe usitaje jina la mtu yoyote.
Japo mimi sio great thinker, lakini naweza kuandika na kufikisha ujumbe maalum kwa hao great thinkers. Kwenye bandiko hili nimesema Marrionates tuu bila kuwataja, wala pale wapi au drama King.
Kuna nyumba baba na mama ni wakali, sasa siku ukisikia watoto wanapiga makelele huku wanatukanana, then ujue wazazi wamesafiri, watoto wamebaki na house girl, hivyo wanamdharau!, wanapiga makelele kama nyumba haina wazazi.
Dunia nzima sasa iko kwenye vita vya Corona, mpaka ugonjwa wa Corona, bado hauna kinga, wala tiba, kama ulivyo ugonjwa wa ukimwi, ila ukigundulika mapema kuwa umepata maambukizi virusi vya ukimwi, na kabla hujaanza kuathirika, ukitumia vidonge vya ARV, uta fubaza virusi hivyo, hivyo kuvizuia visikuathiri, na ukizingatia masharti, utaendelea kuishi kwa muda mrefu.
Tangu mtu anapoambukizwa virusi vya ukimwi, kwanza unachukua muda mrefu kugundua, na kuna wengine wao ni ma carriers tuu wa virusi hivi wakivibeba kwenye miili yao, na kuwasambazia wengine lakini wao hawaathiriki. Tangu virus hivyo vya HIV kukuingia hadi kupata ukimwi, sometimes takes ages. Na hata ukiwa na ukimwi, na ukaanza kuugua, sometimes you take ages hadi kufa.
Virusi vya ukimwi vinashambulia mfumo wa kinga mwilini, hivyo kufa ni taratibu, lakini virusi vya Corona, vinashambulia mfumo wa upumuaji, usipo wahiwa hospitali, kifo ni fasta!. Mtu mlikuwa nae jana tuu mkila na kucheka nae, kesho yake unaambiwa kafa!. Lazima utashituka na kupingwa butwaa, bumbu wazi.
Kinga pekee ya uhakika ya ukimwi ni kuzuia ukimwi usikupate, na kinga pekee ya uhakika ya Corona ni kuzuia Corona isikupate.
Katika kukabiliana na janga la Corona, sasa kumepatikana chanjo ya Corona, hii chanjo sio tiba na sio kinga ya asilimia 100% kwa 100% kama chanjo ya ndui, polio na pepopunda ambazo zinachomwa kwa watoto wote dunia nzima. Chanjo ya Corona ni kujikinga wewe ili hata ikitokea ukapata maambukizi ya virusi vya Corona, hiyo chanjo mwilini mwako itakusaidia kwa chanjo hiyo kuuwezesha mwili wako kutengeneza kinga ya kivikabili virusi hivyo.
Hivyo Corona ni vita na mapambano ya vita hii yanaongozwa na Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi yetu, huku akisaidiwa kisiasa na viongozi wakuu wote, lakini kiutendaji na utekelezaji akisaidiwa na makamanda wawili fulani, Waziri na Naibu Waziri.
Kwa vile vita hii alipoingia, Taifa lilikuwa chini ya CinC mwingine ambaye hakuamini kwenye chanzo. Wale makamanda wasaidizi wawili, waliunga mkono msimamo wa Amiri jeshi wa wakati huo na kuwaaminisha Watanzania, jinsi chanjo hazifai na kuzibeza kwa sauti kubwa tena hadi kuongoza kwa mifano jinsi ya kupiga nyungu kwa mtindo wa ku dramatize.
Sasa tuna CinC mwingine, anayeamini kwenye chanjo, ilikuwa ni busara ya kawaida tuu, wale wasaidizi wawili walio ibeza chanjo, wangepumzishwa, na kuteuliwa wasaidizi wengine wawili kuitetea chanjo.
Kitendo cha wasaidizi wale wale walio icheza ile ngoma ya mpiga ngoma aliyetangulia na waliowaaminisha Watanzania kuwa chanjo hazufai, sasa baada ya kuingia kwa mpiga ngoma mpya, amebadili beat na tune, halafu wacheza ngoma ni wale wale, dancing to the new tune and new beat with dramatising kuwa chanjo ni nzuri, haijakaa poa!.
Ndio maana ninashauri ili kuimalizia all this bickering going on kuhusu chanjo ya Corona, kwanza hawa marrionates wote wawili pale mahali, despite the fact, they are very good dances, ambao wanadance well with every changing beats, wapumzishwe. Kuna vitu unaweza kutumia dramas na comedy kuhamasisha, waachiwe dramatist na comedians, and not politicians. Kitendo cha comedians cum politicians wa marrionates type who can dance every beats and changes with every tune, kuiifanya hii chanjo kuonekana kama ni drama fulani au ni comedy fulani. Chanjo ya Corona ni something very serious na kinahitaji some very serious people kumsaidia CinC kuhamasisha watu wachanje sio hao comedians wote wawili hapo, Mama kwanza onyesha uwezo kuwa you are very serious and no nonsense lady kwa kuwaweka pembeni, choose some serious people, hawa comedians aliwarithi achana nao, watakuaibisha!.
Na mwisho ni yule drama king aliyepewa kichwa na naniliu, sasa masikio yamezidi kichwa, analeta zile dharura za Kisukuma kudharau wanawake, ameonyesha dharau kubwa kwako na kwa mteule wako!. Amefikia kulitukana, na kulidhalilisha kabila lote zima kisa tuu tumetofautiana na shemeji yake. Huyo ni attention seeker, kadri anavyo shughulikiwa ndio kwanza mnampa umaarufu. Sishauri ashughulikiwe kikamilifu kwa ule mtindo wa kilisulisu, zikimkosa mbili mtu unatoa maelezo!. Dawa ya kuwashughulikia attention seekers ni kuwa ignore, just scrap him ile jeuri ya kubebwa na homeboy wake, reduce him to an ordinary man, abaki kuwahubiria tuu neno la Mungu na sio kuwahutubia Watanzania kila Jumapili akitokea mimbarini kwake, mimbari iwe ni kwa yaliyo ya Kimungu, akifanya ya Kaisari mimbarini kwa yaliyo ya Kimungu, then ni Mungu mwenyewe utamshughulikia kwa kutumia mimbari yake kufanya ya Kaisari.
Jumatatu Njema.
Paskali
ISerikali inatakiwa kummaliza huyo taperi kwa risasi nyingi za kichwa, haiwezekani hailetee dharau serikali,Ni wakati Sasa azimwe kabisa, ana chuki binafsi na Rais aliyepo Sasa, na ana ukabila wa Hali ya juu na udini pia
Wanabodi,
Wajameni, ni mimi tuu au na wengine, naona kama
Nyumba yetu inazidi makelele, jee tumshinikize Mama aonyeshe uwepo wake, kwa kuonyesha uwezo wake kuwadhibiti na kuwatuliza hawa watoto wake wasio na adabu, wanaoparurana mchana kweupe na Mama yupo anawaangalia tuu?!. Mama eeh, anza na wale marrionates wako wote wawili pale mahali, wapumzishe. The Drama King, "Pinga Pinga Chanjo" Apuuzwe tuu.
Kama kawaida yangu, kila nikipata fursa huja na zile makala zangu kwa maslahi ya Taifa.
Angalizo
JF ilipoanzishwa ilitarajiwa iwe ni home for the great thinkers, na great minds to discuss ideas.
Ila ikajikuta kwenye society kuna simple minds ambao ndio wengi, wata discuss people, kuna ordinary minds wata discuss events, na kuna great minds ambao ni wachache, hawa wata discuss ideas.
Hili ni bandiko kwa ajili ya great minds, hatujadili watu, wala matukio, tunajadili ideas, hivyo hakuna jina la mtu yoyote litatajwa humu, nakuomba na wewe usitaje jina la mtu yoyote.
Japo mimi sio great thinker, lakini naweza kuandika na kufikisha ujumbe maalum kwa hao great thinkers. Kwenye bandiko hili nimesema Marrionates tuu bila kuwataja, wala pale wapi au drama King.
Kuna nyumba baba na mama ni wakali, sasa siku ukisikia watoto wanapiga makelele huku wanatukanana, then ujue wazazi wamesafiri, watoto wamebaki na house girl, hivyo wanamdharau!, wanapiga makelele kama nyumba haina wazazi.
Dunia nzima sasa iko kwenye vita vya Corona, mpaka ugonjwa wa Corona, bado hauna kinga, wala tiba, kama ulivyo ugonjwa wa ukimwi, ila ukigundulika mapema kuwa umepata maambukizi virusi vya ukimwi, na kabla hujaanza kuathirika, ukitumia vidonge vya ARV, uta fubaza virusi hivyo, hivyo kuvizuia visikuathiri, na ukizingatia masharti, utaendelea kuishi kwa muda mrefu.
Tangu mtu anapoambukizwa virusi vya ukimwi, kwanza unachukua muda mrefu kugundua, na kuna wengine wao ni ma carriers tuu wa virusi hivi wakivibeba kwenye miili yao, na kuwasambazia wengine lakini wao hawaathiriki. Tangu virus hivyo vya HIV kukuingia hadi kupata ukimwi, sometimes takes ages. Na hata ukiwa na ukimwi, na ukaanza kuugua, sometimes you take ages hadi kufa.
Virusi vya ukimwi vinashambulia mfumo wa kinga mwilini, hivyo kufa ni taratibu, lakini virusi vya Corona, vinashambulia mfumo wa upumuaji, usipo wahiwa hospitali, kifo ni fasta!. Mtu mlikuwa nae jana tuu mkila na kucheka nae, kesho yake unaambiwa kafa!. Lazima utashituka na kupingwa butwaa, bumbu wazi.
Kinga pekee ya uhakika ya ukimwi ni kuzuia ukimwi usikupate, na kinga pekee ya uhakika ya Corona ni kuzuia Corona isikupate.
Katika kukabiliana na janga la Corona, sasa kumepatikana chanjo ya Corona, hii chanjo sio tiba na sio kinga ya asilimia 100% kwa 100% kama chanjo ya ndui, polio na pepopunda ambazo zinachomwa kwa watoto wote dunia nzima. Chanjo ya Corona ni kujikinga wewe ili hata ikitokea ukapata maambukizi ya virusi vya Corona, hiyo chanjo mwilini mwako itakusaidia kwa chanjo hiyo kuuwezesha mwili wako kutengeneza kinga ya kivikabili virusi hivyo.
Hivyo Corona ni vita na mapambano ya vita hii yanaongozwa na Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi yetu, huku akisaidiwa kisiasa na viongozi wakuu wote, lakini kiutendaji na utekelezaji akisaidiwa na makamanda wawili fulani, Waziri na Naibu Waziri.
Kwa vile vita hii alipoingia, Taifa lilikuwa chini ya CinC mwingine ambaye hakuamini kwenye chanzo. Wale makamanda wasaidizi wawili, waliunga mkono msimamo wa Amiri jeshi wa wakati huo na kuwaaminisha Watanzania, jinsi chanjo hazifai na kuzibeza kwa sauti kubwa tena hadi kuongoza kwa mifano jinsi ya kupiga nyungu kwa mtindo wa ku dramatize.
Sasa tuna CinC mwingine, anayeamini kwenye chanjo, ilikuwa ni busara ya kawaida tuu, wale wasaidizi wawili walio ibeza chanjo, wangepumzishwa, na kuteuliwa wasaidizi wengine wawili kuitetea chanjo.
Kitendo cha wasaidizi wale wale walio icheza ile ngoma ya mpiga ngoma aliyetangulia na waliowaaminisha Watanzania kuwa chanjo hazufai, sasa baada ya kuingia kwa mpiga ngoma mpya, amebadili beat na tune, halafu wacheza ngoma ni wale wale, dancing to the new tune and new beat with dramatising kuwa chanjo ni nzuri, haijakaa poa!.
Ndio maana ninashauri ili kuimalizia all this bickering going on kuhusu chanjo ya Corona, kwanza hawa marrionates wote wawili pale mahali, despite the fact, they are very good dances, ambao wanadance well with every changing beats, wapumzishwe. Kuna vitu unaweza kutumia dramas na comedy kuhamasisha, waachiwe dramatist na comedians, and not politicians. Kitendo cha comedians cum politicians wa marrionates type who can dance every beats and changes with every tune, kuiifanya hii chanjo kuonekana kama ni drama fulani au ni comedy fulani. Chanjo ya Corona ni something very serious na kinahitaji some very serious people kumsaidia CinC kuhamasisha watu wachanje sio hao comedians wote wawili hapo, Mama kwanza onyesha uwezo kuwa you are very serious and no nonsense lady kwa kuwaweka pembeni, choose some serious people, hawa comedians aliwarithi achana nao, watakuaibisha!.
Na mwisho ni yule drama king aliyepewa kichwa na naniliu, sasa masikio yamezidi kichwa, analeta zile dharura za Kisukuma kudharau wanawake, ameonyesha dharau kubwa kwako na kwa mteule wako!. Amefikia kulitukana, na kulidhalilisha kabila lote zima kisa tuu tumetofautiana na shemeji yake. Huyo ni attention seeker, kadri anavyo shughulikiwa ndio kwanza mnampa umaarufu. Sishauri ashughulikiwe kikamilifu kwa ule mtindo wa kilisulisu, zikimkosa mbili mtu unatoa maelezo!. Dawa ya kuwashughulikia attention seekers ni kuwa ignore, just scrap him ile jeuri ya kubebwa na homeboy wake, reduce him to an ordinary man, abaki kuwahubiria tuu neno la Mungu na sio kuwahutubia Watanzania kila Jumapili akitokea mimbarini kwake, mimbari iwe ni kwa yaliyo ya Kimungu, akifanya ya Kaisari mimbarini kwa yaliyo ya Kimungu, then ni Mungu mwenyewe utamshughulikia kwa kutumia mimbari yake kufanya ya Kaisari.
Jumatatu Njema.
Paskali
Mtangulizi wake aliteua wangapi mkuu kwenye nafasi yake ya watu 10?Kwani katiba inaruhusu labda kama mtu ajiuzuru ila chachezilizobakia ndio alimwateua kina Mulamula
Bado alikuwa na nafasi ya kupiga chini akabaki kuwa mbunge na akatafuta mwingine humo ndani Ndugulile alifaa kwenye wizara hiyo then mawasiliano angetafuta mtu mwingine na heri Mara Mia angemrudisha umy mwalimu kuliko huyu dada yangu hovyo mpaka mtu unatamani usiseme kuwa ni nduguHata Dorothy ni wa nafasi kumi za Rais na aliteuliwa na mtangulizi hayati, huyu mama hakuwa na nafasi 10 make nafasi nyingi zilikuwa ameshateua mtangulizi wake na zile chache zilizobaki ndo alitumia kuwapoza akina Bashiru na Polepole baada ya kuwatumbua.
Nadhani changamoto hapa labda hata wale waliokuwa ndani ya mjengo wengi waliwekwa na Baba sasa hata akivunja watoto wa Mama hawatoshi wengi ni wako kwa fadhila ya Baba bado watiifu. Ila kwenye hili tufanye wale kina Ponda Ponda ndio wangekuwa wanafanya haya ya King wakupenda matukio wangekuwa wapi sasa hivi? labda wangejumuishwa na mzee Baba kisutu. Nyumba ilikuwa na nidhani wakati wa Baba na Mama wote wako sasa Baba kaondoka Mama anadekeza watoto mwisho wanaanza kukosa adabu nje na ndani. Mama safisha nyumba weka wapya wale watoto wa Baba mkubwa mbona yupo bado na anawajuwa watoto wa ndugu yake wote na tabia zao yeye alishawahi kulea ukoo wote anajuwa tabia zetu zote. Najuwa uliruhusiwa kuchukuwa watoto 10 toka majalalani na Baba alishawaleta vinginevyo ungewaleta wakakusaidia. Ila Mama lazima uwe mkali watoto wajue Mama sasa hataki ujinga ukiendelea hivi watakudharau hata watoto wa majirani wataanza kukudharau fanya kama Mama kabla watoto hawajaanza kuvuta bangi na kuuza nyumba ya urithi wakati bado Mama yupo. safisha nyumba....Kwanini huyo Drama King apuuzwe? nae anatakiwa kushughulikiwa ili iwe fundisho kwa wengine wanaopingana na maamuzi ya chama chao kwa public.
Suala la kuwaondoa hao wawili na kuwaacha wengine ambao nao tumeanza kuwaona wakivaa barakoa, na kusisitiza mbinu za kisayansi zitumike wakati hapo kabla nao walikuwa wapiga nyungu kwa mbwembwe utakuwa ni uonevu.
Kinachogomba hapa kwa hao "marrionates" kuonekana hawafai ni kwasababu wamebebeshwa mzigo wa kuongoza hiyo wizara, sababu naamini hata kama wasingekuwa wao, provided mama bado anaendelea nao, basi hata kama wangekuwepo wengine kwenye hiyo wizara nao wangeonekana hawafai.
Hapa ndio maana hata mama mwenye nyumba anaogopa kuwashughulikia, kwa sababu ukiangalia kwa undani hata yeye ni sehemu ya tatizo, kwani hakuna rekodi yoyote inayoonesha alipinga nyungu wakati wa mwendazake, kukaa kimya maana yake nae alikubali akiwa kama msaidizi.
Hapo ukiangalia kwa makini utangundua hii serikali yote ni fake, kwasababu wote wamebadilika misimamo yao wakti hapo kabla wote walikuwa na msimamo tofauti na walionao sasa, so kuliko kuwaondoa hao wawili pekee, kwangu naona kama mama hawezi ku step down, basi atleast cabinet yote ivunjwe aanze upya.