Nyumba yetu inazidi. Rais onyesha uwepo wako, Uwezo Wako Anza na Wale Marrionates Wote Wawili Pale Wapumzishe. The Drama King wa Pinga Chanjo Apuuzwe

Nyumba yetu inazidi. Rais onyesha uwepo wako, Uwezo Wako Anza na Wale Marrionates Wote Wawili Pale Wapumzishe. The Drama King wa Pinga Chanjo Apuuzwe

Wanabodi,

Wajameni, ni mimi tuu au na wengine, naona kama

Nyumba yetu inazidi makelele, jee tumshinikize Mama aonyeshe uwepo wake, kwa kuonyesha uwezo wake kuwadhibiti na kuwatuliza hawa watoto wake wasio na adabu, wanaoparurana mchana kweupe na Mama yupo anawaangalia tuu?!. Mama eeh, anza na wale marrionates wako wote wawili pale mahali, wapumzishe. The Drama King, "Pinga Pinga Chanjo" Apuuzwe tuu.​

Kama kawaida yangu, kila nikipata fursa huja na zile makala zangu kwa maslahi ya Taifa.

Angalizo
JF ilipoanzishwa ilitarajiwa iwe ni home for the great thinkers, na great minds to discuss ideas.

Ila ikajikuta kwenye society kuna simple minds ambao ndio wengi, wata discuss people, kuna ordinary minds wata discuss events, na kuna great minds ambao ni wachache, hawa wata discuss ideas.

Hili ni bandiko kwa ajili ya great minds, hatujadili watu, wala matukio, tunajadili ideas, hivyo hakuna jina la mtu yoyote litatajwa humu, nakuomba na wewe usitaje jina la mtu yoyote.

Japo mimi sio great thinker, lakini naweza kuandika na kufikisha ujumbe maalum kwa hao great thinkers. Kwenye bandiko hili nimesema Marrionates tuu bila kuwataja, wala pale wapi au drama King.

Kuna nyumba baba na mama ni wakali, sasa siku ukisikia watoto wanapiga makelele huku wanatukanana, then ujue wazazi wamesafiri, watoto wamebaki na house girl, hivyo wanamdharau!, wanapiga makelele kama nyumba haina wazazi.

Dunia nzima sasa iko kwenye vita vya Corona, mpaka ugonjwa wa Corona, bado hauna kinga, wala tiba, kama ulivyo ugonjwa wa ukimwi, ila ukigundulika mapema kuwa umepata maambukizi virusi vya ukimwi, na kabla hujaanza kuathirika, ukitumia vidonge vya ARV, uta fubaza virusi hivyo, hivyo kuvizuia visikuathiri, na ukizingatia masharti, utaendelea kuishi kwa muda mrefu.

Tangu mtu anapoambukizwa virusi vya ukimwi, kwanza unachukua muda mrefu kugundua, na kuna wengine wao ni ma carriers tuu wa virusi hivi wakivibeba kwenye miili yao, na kuwasambazia wengine lakini wao hawaathiriki. Tangu virus hivyo vya HIV kukuingia hadi kupata ukimwi, sometimes takes ages. Na hata ukiwa na ukimwi, na ukaanza kuugua, sometimes you take ages hadi kufa.

Virusi vya ukimwi vinashambulia mfumo wa kinga mwilini, hivyo kufa ni taratibu, lakini virusi vya Corona, vinashambulia mfumo wa upumuaji, usipo wahiwa hospitali, kifo ni fasta!. Mtu mlikuwa nae jana tuu mkila na kucheka nae, kesho yake unaambiwa kafa!. Lazima utashituka na kupingwa butwaa, bumbu wazi.

Kinga pekee ya uhakika ya ukimwi ni kuzuia ukimwi usikupate, na kinga pekee ya uhakika ya Corona ni kuzuia Corona isikupate.

Katika kukabiliana na janga la Corona, sasa kumepatikana chanjo ya Corona, hii chanjo sio tiba na sio kinga ya asilimia 100% kwa 100% kama chanjo ya ndui, polio na pepopunda ambazo zinachomwa kwa watoto wote dunia nzima. Chanjo ya Corona ni kujikinga wewe ili hata ikitokea ukapata maambukizi ya virusi vya Corona, hiyo chanjo mwilini mwako itakusaidia kwa chanjo hiyo kuuwezesha mwili wako kutengeneza kinga ya kivikabili virusi hivyo.

Hivyo Corona ni vita na mapambano ya vita hii yanaongozwa na Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi yetu, huku akisaidiwa kisiasa na viongozi wakuu wote, lakini kiutendaji na utekelezaji akisaidiwa na makamanda wawili fulani, Waziri na Naibu Waziri.

Kwa vile vita hii alipoingia, Taifa lilikuwa chini ya CinC mwingine ambaye hakuamini kwenye chanzo. Wale makamanda wasaidizi wawili, waliunga mkono msimamo wa Amiri jeshi wa wakati huo na kuwaaminisha Watanzania, jinsi chanjo hazifai na kuzibeza kwa sauti kubwa tena hadi kuongoza kwa mifano jinsi ya kupiga nyungu kwa mtindo wa ku dramatize.

Sasa tuna CinC mwingine, anayeamini kwenye chanjo, ilikuwa ni busara ya kawaida tuu, wale wasaidizi wawili walio ibeza chanjo, wangepumzishwa, na kuteuliwa wasaidizi wengine wawili kuitetea chanjo.

Kitendo cha wasaidizi wale wale walio icheza ile ngoma ya mpiga ngoma aliyetangulia na waliowaaminisha Watanzania kuwa chanjo hazufai, sasa baada ya kuingia kwa mpiga ngoma mpya, amebadili beat na tune, halafu wacheza ngoma ni wale wale, dancing to the new tune and new beat with dramatising kuwa chanjo ni nzuri, haijakaa poa!.

Ndio maana ninashauri ili kuimalizia all this bickering going on kuhusu chanjo ya Corona, kwanza hawa marrionates wote wawili pale mahali, despite the fact, they are very good dances, ambao wanadance well with every changing beats, wapumzishwe. Kuna vitu unaweza kutumia dramas na comedy kuhamasisha, waachiwe dramatist na comedians, and not politicians. Kitendo cha comedians cum politicians wa marrionates type who can dance every beats and changes with every tune, kuiifanya hii chanjo kuonekana kama ni drama fulani au ni comedy fulani. Chanjo ya Corona ni something very serious na kinahitaji some very serious people kumsaidia CinC kuhamasisha watu wachanje sio hao comedians wote wawili hapo, Mama kwanza onyesha uwezo kuwa you are very serious and no nonsense lady kwa kuwaweka pembeni, choose some serious people, hawa comedians aliwarithi achana nao, watakuaibisha!.

Na mwisho ni yule drama king aliyepewa kichwa na naniliu, sasa masikio yamezidi kichwa, analeta zile dharura za Kisukuma kudharau wanawake, ameonyesha dharau kubwa kwako na kwa mteule wako!. Amefikia kulitukana, na kulidhalilisha kabila lote zima kisa tuu tumetofautiana na shemeji yake. Huyo ni attention seeker, kadri anavyo shughulikiwa ndio kwanza mnampa umaarufu. Sishauri ashughulikiwe kikamilifu kwa ule mtindo wa kilisulisu, zikimkosa mbili mtu unatoa maelezo!. Dawa ya kuwashughulikia attention seekers ni kuwa ignore, just scrap him ile jeuri ya kubebwa na homeboy wake, reduce him to an ordinary man, abaki kuwahubiria tuu neno la Mungu na sio kuwahutubia Watanzania kila Jumapili akitokea mimbarini kwake, mimbari iwe ni kwa yaliyo ya Kimungu, akifanya ya Kaisari mimbarini kwa yaliyo ya Kimungu, then ni Mungu mwenyewe utamshughulikia kwa kutumia mimbari yake kufanya ya Kaisari.

Jumatatu Njema.

Paskali
Sijamaliza kusoma bandiko lako kwa kuwa pendekezo lako la kupumzishwa mawaziri wawili,ambao unajua kabisa hawana makosa,walikuwa/wanatekeleza majukumu yao kwa mujibu wa viapo vyao kwa mkuu wa nchi. Wakati ule hawakufanya makosa yoyote kutii msimamo wa CinC kama ambavyo na sasa hawafanyi makosa yoyote kwa kutii msimamo wa CinC wa sasa.

Kinachokusumbua, Paskali,ni ukabila. Subconsciously uko upande wa askofu Gwajima kwa sababu ya ukabila, kama ambavyo,pamoja na kidhalilishwa hadharani na JPM kwa kuwa alikuwa msukuma mwenzio,uliamua kuwa mtetezi na mnazi wake!

Ushauri wako umekosa kabisa mantiki. Mawaziri wajihudhiru kwa sababu ya kelele za mbunge wa Chama chao anayepinga maamuzi ya serikali ya chama chake? Huo ni ushauri au mzaha?
 
Sawa...

Ofcoz si lazima sana uwe sahihi kwa ulichoandika hapa, hata hivyo binafsi naheshimu mawazo yako haya bila kujali udhaifu wake...

Lakini nina la kusema kidogo kutofautiana na wewe...

Kwanza mimi sijaona ubaya wowote kutosema wazi kuwa, huyu "attention seeker" ni Bishop Rev. Josephat Gwajima...

Na hujaeleza, Mch. Gwajima anasaka attention kwa nani na ili iweje maana huyu ndugu tayari anayo attention na heshima kubwa sana toka mbinguni kwa Mungu Yehova na watu wote ndani na nje ya nchi hii kwa zaidi ya miaka 30 sasa..!!

Lakini pia, nadhani ni bahati mbaya sana kuwa, kwa namna ulivyojenga hoja zako, inawezekana kuna uwezekano mkubwa kuwa, hukutazama wala kusikiliza mwanzo hadi mwisho mahubiri yake ya jana ambapo kupitia kwayo aliyahusianisha na haki halisi ya kinachoendelea nchi kwetu kwa sasa...

Hapa ndipo lilipo tatizo lako bwana Paschal Mayalla...

Na binafsi hata sikulaumu kwa kutomwelewa Mch. Josephat Gwajima ktk mahubiri yake ya Jana kwa sababu wewe na yeye + wengine wote tunaomfuata tu tofauti...

Yaani tunafikiri na tuko installed kupitia masafa (frequency) tofauti kabisa...

Mch. Gwajima na sisi wengine tunayatazama na kuyajadili mambo haya in biblical spiritual perspective kwanza kabla ya kuyaleta na kuyatendea kazi kimwili...

Nyie wenzetu mnafikiri kwa jinsi ya mwili na mnataka kutenda kwa jinsi hiyo hiyo. Frequency hizi hazipatani na hazitaweza kuja kupatana hata siku moja...!

Mwisho, si kweli kwamba Mch. Gwajima jana katika mahubiri yake alidhalilisha kabila fulani (hopefully unamaanisha ndugu zetu wanyiramba toka Singida) kwa sbb ndilo kabila la Dr. Dorothy Gwajima....

Ni wazi kuwa hukumwelewa vyema mchungaji. Nakushauri tazama na sikiliza tena na kwa umakini mahubiri yote hatua kwa hatua na kama una akili huru ya kufikiri na kutambua au kuelewa mambo, utajua mara moja kuwa Mch. Gwajima ni mtu mwema na mwenye akili na ufahamu wa hali ya juu sana...!!
Naona jiwe la Mayala limekupata!

Askofu Gwajima umetinga front kujitetea mwenyewe. Angalia usije kujeruhiwa au kuuawa. Frontline siyo mchezo!
 
Sijamaliza kusoma bandiko lako kwa kuwa pendekezo lako la kupumzishwa mawaziri wawili,ambao unajua kabisa hawana makosa,walikuwa/wanatekeleza majukumu yao kwa mujibu wa viapo vyao kwa mkuu wa nchi. Wakati ule hawakufanya makosa yoyote kutii msimamo wa CinC kama ambavyo na sasa hawafanyi makosa yoyote kwa kutii msimamo wa CinC wa sasa.

Kinachokusumbua, Paskali,ni ukabila. Subconsciously uko upande wa askofu Gwajima kwa sababu ya ukabila, kama ambavyo,pamoja na kidhalilishwa hadharani na JPM kwa kuwa alikuwa msukuma mwenzio,uliamua kuwa mtetezi na mnazi wake!

Ushauri wako umekosa kabisa mantiki. Mawaziri wajihudhiru kwa sababu ya kelele za mbunge wa Chama chao anayepinga maamuzi ya serikali ya chama chake? Huo ni ushauri au mzaha?
Kwani msimamo wa chama ni lazima uwe sahihi kwa maslahi ya nchi kwa ujumla? Ina maana haiwezekani ukawa mbunge wa chama na ukatofautiana na chama chako kwa baadhi ya mambo?

Si ndiyo hicho tunachokililia siku zote, kwamba wabunge watangulize maslahi ya nchi kwanza kabla ya maslahi ya chama chao? Au kwamba yule mbunge wa Kigamboni (Ndugulile) aliyetofautiana na mwenyekiti wa chama chake kuhusu masuala ya kujifukiza si alikuwa anasikilizia utashi wake unamtumaje? Hatutaki mawaziri wasioelewa wanachokifanya, hawapo pale kuwa marobot. Nafasi ya uwaziri ni kuwa think tank siyo kuwa robot la kutekeleza amri tu.

Askofu Gwajima pamoja na kuwa hakubaliani na chanjo pia anaexpose unafiki na undumilakuwili wa wanaojifanya viongozi wa Tanzania.
 
Wanabodi,

Wajameni, ni mimi tuu au na wengine, naona kama

Nyumba yetu inazidi makelele, jee tumshinikize Mama aonyeshe uwepo wake, kwa kuonyesha uwezo wake kuwadhibiti na kuwatuliza hawa watoto wake wasio na adabu, wanaoparurana mchana kweupe na Mama yupo anawaangalia tuu?!. Mama eeh, anza na wale marrionates wako wote wawili pale mahali, wapumzishe. The Drama King, "Pinga Pinga Chanjo" Apuuzwe tuu.​

Kama kawaida yangu, kila nikipata fursa huja na zile makala zangu kwa maslahi ya Taifa.

Angalizo
JF ilipoanzishwa ilitarajiwa iwe ni home for the great thinkers, na great minds to discuss ideas.

Ila ikajikuta kwenye society kuna simple minds ambao ndio wengi, wata discuss people, kuna ordinary minds wata discuss events, na kuna great minds ambao ni wachache, hawa wata discuss ideas.

Hili ni bandiko kwa ajili ya great minds, hatujadili watu, wala matukio, tunajadili ideas, hivyo hakuna jina la mtu yoyote litatajwa humu, nakuomba na wewe usitaje jina la mtu yoyote.

Japo mimi sio great thinker, lakini naweza kuandika na kufikisha ujumbe maalum kwa hao great thinkers. Kwenye bandiko hili nimesema Marrionates tuu bila kuwataja, wala pale wapi au drama King.

Kuna nyumba baba na mama ni wakali, sasa siku ukisikia watoto wanapiga makelele huku wanatukanana, then ujue wazazi wamesafiri, watoto wamebaki na house girl, hivyo wanamdharau!, wanapiga makelele kama nyumba haina wazazi.

Dunia nzima sasa iko kwenye vita vya Corona, mpaka ugonjwa wa Corona, bado hauna kinga, wala tiba, kama ulivyo ugonjwa wa ukimwi, ila ukigundulika mapema kuwa umepata maambukizi virusi vya ukimwi, na kabla hujaanza kuathirika, ukitumia vidonge vya ARV, uta fubaza virusi hivyo, hivyo kuvizuia visikuathiri, na ukizingatia masharti, utaendelea kuishi kwa muda mrefu.

Tangu mtu anapoambukizwa virusi vya ukimwi, kwanza unachukua muda mrefu kugundua, na kuna wengine wao ni ma carriers tuu wa virusi hivi wakivibeba kwenye miili yao, na kuwasambazia wengine lakini wao hawaathiriki. Tangu virus hivyo vya HIV kukuingia hadi kupata ukimwi, sometimes takes ages. Na hata ukiwa na ukimwi, na ukaanza kuugua, sometimes you take ages hadi kufa.

Virusi vya ukimwi vinashambulia mfumo wa kinga mwilini, hivyo kufa ni taratibu, lakini virusi vya Corona, vinashambulia mfumo wa upumuaji, usipo wahiwa hospitali, kifo ni fasta!. Mtu mlikuwa nae jana tuu mkila na kucheka nae, kesho yake unaambiwa kafa!. Lazima utashituka na kupingwa butwaa, bumbu wazi.

Kinga pekee ya uhakika ya ukimwi ni kuzuia ukimwi usikupate, na kinga pekee ya uhakika ya Corona ni kuzuia Corona isikupate.

Katika kukabiliana na janga la Corona, sasa kumepatikana chanjo ya Corona, hii chanjo sio tiba na sio kinga ya asilimia 100% kwa 100% kama chanjo ya ndui, polio na pepopunda ambazo zinachomwa kwa watoto wote dunia nzima. Chanjo ya Corona ni kujikinga wewe ili hata ikitokea ukapata maambukizi ya virusi vya Corona, hiyo chanjo mwilini mwako itakusaidia kwa chanjo hiyo kuuwezesha mwili wako kutengeneza kinga ya kivikabili virusi hivyo.

Hivyo Corona ni vita na mapambano ya vita hii yanaongozwa na Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi yetu, huku akisaidiwa kisiasa na viongozi wakuu wote, lakini kiutendaji na utekelezaji akisaidiwa na makamanda wawili fulani, Waziri na Naibu Waziri.

Kwa vile vita hii alipoingia, Taifa lilikuwa chini ya CinC mwingine ambaye hakuamini kwenye chanzo. Wale makamanda wasaidizi wawili, waliunga mkono msimamo wa Amiri jeshi wa wakati huo na kuwaaminisha Watanzania, jinsi chanjo hazifai na kuzibeza kwa sauti kubwa tena hadi kuongoza kwa mifano jinsi ya kupiga nyungu kwa mtindo wa ku dramatize.

Sasa tuna CinC mwingine, anayeamini kwenye chanjo, ilikuwa ni busara ya kawaida tuu, wale wasaidizi wawili walio ibeza chanjo, wangepumzishwa, na kuteuliwa wasaidizi wengine wawili kuitetea chanjo.

Kitendo cha wasaidizi wale wale walio icheza ile ngoma ya mpiga ngoma aliyetangulia na waliowaaminisha Watanzania kuwa chanjo hazufai, sasa baada ya kuingia kwa mpiga ngoma mpya, amebadili beat na tune, halafu wacheza ngoma ni wale wale, dancing to the new tune and new beat with dramatising kuwa chanjo ni nzuri, haijakaa poa!.

Ndio maana ninashauri ili kuimalizia all this bickering going on kuhusu chanjo ya Corona, kwanza hawa marrionates wote wawili pale mahali, despite the fact, they are very good dances, ambao wanadance well with every changing beats, wapumzishwe. Kuna vitu unaweza kutumia dramas na comedy kuhamasisha, waachiwe dramatist na comedians, and not politicians. Kitendo cha comedians cum politicians wa marrionates type who can dance every beats and changes with every tune, kuiifanya hii chanjo kuonekana kama ni drama fulani au ni comedy fulani. Chanjo ya Corona ni something very serious na kinahitaji some very serious people kumsaidia CinC kuhamasisha watu wachanje sio hao comedians wote wawili hapo, Mama kwanza onyesha uwezo kuwa you are very serious and no nonsense lady kwa kuwaweka pembeni, choose some serious people, hawa comedians aliwarithi achana nao, watakuaibisha!.

Na mwisho ni yule drama king aliyepewa kichwa na naniliu, sasa masikio yamezidi kichwa, analeta zile dharura za Kisukuma kudharau wanawake, ameonyesha dharau kubwa kwako na kwa mteule wako!. Amefikia kulitukana, na kulidhalilisha kabila lote zima kisa tuu tumetofautiana na shemeji yake. Huyo ni attention seeker, kadri anavyo shughulikiwa ndio kwanza mnampa umaarufu. Sishauri ashughulikiwe kikamilifu kwa ule mtindo wa kilisulisu, zikimkosa mbili mtu unatoa maelezo!. Dawa ya kuwashughulikia attention seekers ni kuwa ignore, just scrap him ile jeuri ya kubebwa na homeboy wake, reduce him to an ordinary man, abaki kuwahubiria tuu neno la Mungu na sio kuwahutubia Watanzania kila Jumapili akitokea mimbarini kwake, mimbari iwe ni kwa yaliyo ya Kimungu, akifanya ya Kaisari mimbarini kwa yaliyo ya Kimungu, then ni Mungu mwenyewe utamshughulikia kwa kutumia mimbari yake kufanya ya Kaisari.

Jumatatu Njema.

Paskali
In my opinion,
Rais alipaswa kuwaondoa hawa mawaziri wawili hata kabla ya kuunda ile kamati ya kuhusu CORONA.Kuwepo kwao tu mpaka sasa,kunawapa skeptics wa chanjo grounds kwenye arguments zao sababu hawa mawaziri wawili walishaaminika na wananchi kwa kupitia nafasi zao hasa ukizingatia asilimia kubwa ya jamii ya watanzania bado haikubahatika kupata elimu rasmi ambayo pengine ingewasaidia kupambanua mambo independently.
Issues za public health duniani zina changamoto zake nyingi hasa hasa consipiracy,-Na moja ya njia za kupambana na conspiracy theories ni kuhakikisha public inapata reliable and trusted information kutoka kwenye vyanzo vya vinavyoaminika hasa serikali pamoja na kuteua watu wanaoaminika na jamii kwa ujumla ikiwemo ku-inforce sheria dhidi ya watu wanaoeneza taarifa potofu zinazoweza kuhatarisha Afya ya jamii husika nk. Tukiangalia context ya Tanzania-Hawa viongozi wa wizara walishakosa credibility ya kiuongozi kwa jamii hasa kwenye hili swala la CORONA kupitia conspiracy theories ambayo ndiyo key pillar ya ku-defeat CORONA.

Uwepo wa hawa viongozi madarakani una implication nyingi sana ikiwemo,
-Mwamko mdogo kwenye uchomaji wa chanjo,sababu mabalozi wa njanjo yenyewe walisha waaminisha umma kwamba chanjo ni hatari therefore mabalozi walewale wanapokuja kuuaminisha tena umma kwamba chanjo ni salama wana-create more confusion than clarity.
-Uchomaji Mdogo wa chanjo unapelekea wastage of national resources,sababu chanjo inanunuliwa na serikali lakin demand hakuna hvyo kupelekea baadhi ya chanjo kuwa disposed. Hata ambazo pia zipo,inabd pia zikae kwenye refridgerators kwa muda mrefu huku ziki-consume power needlessly hvyo ku-raise cost ya storage na burden kwa tax payers.
-Kama Rais hatoingilia kati kwa makusudi na kwa wakati,atakuwa anaufanya uchumi kuendelea ku-suffocate bila reasonable grounds.Rapid recovery ya GDP za mataifa mbalimbali ikiwemo US zimekuwa linked na faster vaccination rates.Hivyo basi,Lower vaccination speed is very very harmful to our economy.
Public Trust ya wananchi kwa government ni jambo la muhimu sana,na kuendelewa kuwepo kwa hawa watu kunapelekea serikali na serikali zijazo kwenye very very dangerous path,path ambayo watu watakuwa wanaamin taarifa za mtaani kuliko serikali au viongozi wa serikali hvyo kufanya handling ya majanga mengine ku-suffer serious blows.
 
Rais anademka tu anaunda tume kula posho tu, hakuna lolote la maana. Aendelee kupiga usingizi wa pono. ''Majuto mjukuu.''
 
Siku hizi sijui umekuaje!
Yaani unafikiri Gwajima anasikizwa na kutazamwa na watu wengi kwa vile anaongea akiwa Mbunge?
Kwa hiyo solution ni kumtemesha Ubunge?😂😂😂

Wakati anapambana na Makonda,Pengo,mahakama ya kadhi,alikuwa anasikilizwa na kufuatiliwa na watu wangapi?

Unafikiri Gwajima anatafuta umaarufu? Yeye tayari ni maarufu.
Labda unauchungu wa kukosa Ubunge Kawe.

Pole Mami.
 
naona kama

Nyumba yetu inazidi makelele, jee tumshinikize Mama aonyeshe uwepo wake, kwa kuonyesha uwezo wake kuwadhibiti na kuwatuliza hawa watoto wake wasio na adabu​

Mama ameonyesha uwepo wake!.

Mama, wengine wamefikia kukudharau wazi wazi, hata kama wewe ni mpole vipi, angalau anza kuonyesha uwepo wako na uwezo wako kuidhibiti nyumba yako, kwa kuwaadabisha watoto wako, wawe na adabu,​

Mama kaanza kuadabisha, sasa ni heshima na adabu kwa kwenda mbele!.

anza na wale marrionates wako wote wawili uliowakuta pale mahali, na ukawaacha na kuamua kuendelea nao, wapumzishe, au vinginevyo na wewe kama unapenda ze comedy, then tuendelee nao.​

Kwa vile Mama anakwenda kufumua the cabinet, ushauri huu bado uko very valid.

Mama Onyesha Uwepo Wako, Onyesha Uwezo, Pumzisha Baadhi ya Comedians Uliowakuta.

Mama hongera sana, umeisha onyesha uwepo, na umeonyesha uwezo wako, sasa imebaki kazi moja tuu, kupumzisha.

Mtu unaposhauri kitu, halafu ukaona kimetekelezwa, lazima urudi kupongeza.
Hongera sana
Kazi Iendelee!.
P
 
Mama ameonyesha uwepo wake!.

Mama kaanza kuadabisha, sasa ni heshima na adabu kwa kwenda mbele!.

Kwa vile Mama anakwenda kufumua the cabinet, ushauri huu bado uko very valid.

Mama hongera sana, umeisha onyesha uwepo, na umeonyesha uwezo wako, sasa imebaki kazi moja tuu, kupumzisha.

Mtu unaposhauri kitu, halafu ukaona kimetekelezwa, lazima urudi kupongeza.
Hongera sana
Kazi Iendelee!.
P


Kaka Paskali sidhani kati ya hao kuna asiyejua nguvu ya kiti cha urais/ufalme/umalkia/amiri jeshi mkuu.
Sidhani kama wanayoyafanya hawajui matokeo yake.
Sidhani kama walikua na ushauri na wakakosa au kushindwa kumshauri nje ya hadhara.

Tuendelee kuliombea taifa letu amani tukijua katika kila nchi kuna muwakilishi wa Mungu ambaye ni mtawala mkuu/ Mfalme/Rais wa nchi hiyo.

Kwakuwa taratibu za kumpata zilikua sahihi, na kwakuwa tumeamriwa na Mungu kuwa watii. Hatuna budi kuwa watii huku tukimuomba Mungu usiku na mchana kwaajili ya ustawi, amani na mafanikio ya Rais na taifa letu; huku tukipeleka haja zetu nyingine zisizokuwa na hila kwa Mungu tukiwa safi.

Kwa tunaamini chochote Rais anachokifanya kipo anachokijua na kukiamini; basi na sisi tuendelee kuomba ili Mungu amuongoze kwa maono na ndoto atufikishe pale tunapohitaji

Katika hili sakata wapo wanaotoa ushauri mzuri au pongezi nyingi kwa Rais lakini ni wenye hila ndani yao na muda utasema. Maadui unaowajua ni bora zaidi ya marafiki usiowajua na ukadhani ni marafiki kumbe wana jambo lao.

Wapo wanaoongea lugha mbovu/dharau/chuki/dhihaka dhidi ya Rais sababu wanaumia kwa yeye kuwa kwenye hicho kiti na wanaona hastahili. Hawana mpango kabisa wa kumsaidia Rais wanatamani watumie nguvu zao binafsi kuonyesha misimamo yao kwamba wako bora zaidi. Ila tuu wanajisahau kwamba hawana hiyo mamlaka.

Wapo wanaoongea na kukosoa kwa nguvu bila mipaka sababu wanaamini kwamba mambo yanayofanyika sio sahihi na hayawapendezi ila wanahisi hawana nafasi ya kusikilizwa. Lakini wanasahau SSH ndio Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania. Busara ni bora kuliko nguvu, wangeangalia njia bora yenye maslahi ya taifa ingekua bora zaidi.

Watanzania tumuombee Rais. Tumuombee apate watu sahihi wa kutafsiri kile anachotaka kufanya, na apate wasaidizi wa kukifanya kwa usahihi uleule uliotafsiriwa. Mungu ni mwema sana kwetu na ataendelea kututendea mema kadri tunavyomuomba kadri ya nia zetu njema ukamilifu wetu mbele zake.

Yohana 16:23-24
"Katika siku hiyo hamtaniuliza neno lolote. Amin, amin nawaambia, kama mkimwomba Baba jambo lolote kwa jina langu, yeye atawapa. Mpaka sasa hamjaomba jambo lolote kwa Jina langu. Ombeni nanyi mtapewa, ili furaha yenu ipate kuwa kamili."


Mungu ibariki Tanzania
 
Back
Top Bottom