Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,380
- Thread starter
- #21
Kwa wasio jua michezo ya kijinga ya wanasiasa atakubali. Anayejua hakubali hata kidogo.Kwahy mkuu ofis ikikupa ofa ya nyumba utakataa utasema nipen pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wasio jua michezo ya kijinga ya wanasiasa atakubali. Anayejua hakubali hata kidogo.Kwahy mkuu ofis ikikupa ofa ya nyumba utakataa utasema nipen pesa
Mkuu usinisahau na mm huko pm[emoji23]Kaka njoo nikupe chimbo kutoka teragram
Hahaha tunamsaka muhindi aka kanjibayMkuu usinisahau na mm huko pm[emoji23]
Kama upo teragram njooPia naliomba hilo chimbo mkuu,vizuri kula na nduguyo
Nyumba za chama/ serikali/taasisi etc ni za chama/serikali/taasisi.Nimeyaona mengi Sana, Dkt. Slaa alijengewa nyumba na CHADEMA alipohama Chama hicho wakachukua nyumba yao huku walimpa bure, Tuntemeke Sanga wa Njombe alijengewa nyumba na Mwl. Nyerere alipoanza kumpinga akafukuzwa kwenye nyumba hiyo, mwaka 2004 nikiwa Dar es Salaam nilishuhudia Mkuu wa idara ya MAHAKAMA akifukuzwa kwenye nyumba aliyojengewa na Serikali baada ya kufuta mashitaka ya mtuhumiwa ambaye Serikali walitaka afungwe.
Nyumba za kujengewa huwa ni za mazingaombwe ni bora ukapewa Pesa/Hundi Mbele ya Wanahabari na ukajenga mwenyewe. Pia ni bora ujenge nyumba wewe mwenyewe kwa ramani unayotaka mwenyewe kulingana na uhitaji wako.
Mimi DJ. Don Nalimison sitapokea nyumba yoyote hata Kama NDugu watumike kuijenga. Natafuta Pesa zangu mwenyewe na nitajenga mwenyewe.
Regards
DJ. DON NALIMISON
View attachment 1896804
Ndio mwenyewe alibadili jinaHuu uandishi mbona kama wa braza Deo Kisandu?
Anhaa basi sawaNdio mwenyewe alibadili jina