Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
AiseeNinayoyaona hapa ninapoishi yanahuzunisha sana
*Kwamba kuvusha dem n sawa lkn wakikutembelea washikaj hawaruhusiw kuoga.
*Mama mwenye nyumba na wanae wanatandika mkeka karibu na choo.Ukizam kuendesha sauti zinadukuliwa.
Haki ya nan nawaachia kodi yao tu.
Hahaha umewaza mbali...mtu anaweza kukutembelea kutoka mbali akalala siku mbili tatuKwamba washkaji zako wanakuja kukutembelea halafu unataka waoge?! Huwa mnafanya nini?
[emoji2][emoji2][emoji2]Ninayoyaona hapa ninapoishi yanahuzunisha sana
*Kwamba kuvusha dem n sawa lkn wakikutembelea washikaj hawaruhusiw kuoga..
Kwamba kuvusha dem n sawa lkn wakikutembelea washikaj hawaruhusiw kuoga.Ninayoyaona hapa ninapoishi yanahuzunisha sana
*Kwamba kuvusha dem n sawa lkn wakikutembelea washikaj hawaruhusiw kuoga....
Na wako wanasubiriwaSijawahi juta kukaa nyumba ya kupanga
Nimekula sana watoto wa wapangaji wenzangu
Nimekula sana vibinti uswazi
ShindwaNa wako wanasubiriwa
Safi kabisa.Panga self na usiishi na mwenye nyumba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah hata sijui nimewaza nini.Kwamba washkaji zako wanakuja kukutembelea halafu unataka waoge?! Huwa mnafanya nini?
Hakika kabisaa yaan.We fala umenichekesha sana ila acha uboya! Ongeza upange Apartment ni aghali ila kuna raha yake amini nakwambia. Jichange change tu ukae kwako ukiwa fully fledged ukiingia ndani kwako unakuwa unamaliza mambo yote yani kinachokutoa nje ni kuanika nguo tu....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usirogwe kupanga nyumba ambayo mama mwenye nyumba anaishi papo hapo.
Usirogwe kupanga nyumba ya urithi
Usirogwe kupanga nyumba ya maskini.
Hiyo nzuri, mawazo ya kujenga yanakuja haraka.Ninayoyaona hapa ninapoishi yanahuzunisha sana
*Kwamba kuvusha dem n sawa lkn wakikutembelea washikaj hawaruhusiw kuoga.
*Mama mwenye nyumba na wanae wanatandika mkeka karibu na choo.Ukizam kuendesha sauti zinadukuliwa.
Haki ya nan nawaachia kodi yao tu.
Mwambie mwenye nyumba Kinachojamba tumbo matako ni Spika tu [emoji23]
I am interested to know this as wellKwamba washkaji zako wanakuja kukutembelea halafu unataka waoge?! Huwa mnafanya nini?
Wanaangalia movie mkuuKwamba washkaji zako wanakuja kukutembelea halafu unataka waoge?! Huwa mnafanya nini?
[emoji16]Kwamba kuvusha dem n sawa lkn wakikutembelea washikaj hawaruhusiw kuoga.
*Mama mwenye nyumba na wanae wanatandika mkeka karibu na choo.Ukizam kuendesha sauti zinadukuliwa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Panga self na usiishi na mwenye nyumba
Sawa wakuuMkuu tafuta nyumba nyingine.
[emoji16]Hapo kwenye sauti kudukuliwa![emoji1787][emoji1787][emoji1787]