House4Sale Nyumba zinauzwa maeneo mbalimbali
Naunga mkono hoja ila milion 320M pengine kiwanja tu cha squre metre 2000 , Mbweni hupati
Sio kweli, mbweni kiwanja Cha sqm 1200 unapata kwa mil 120-150. So Cha sqm 2000 unapata vizuri tu

Lakini yeye hiyo gharama ya mil 320 amezungumzia ujenzi tu na sio mpaka ununuaji wa kiwanja
 
Bei za real estate bongo zimeharibiwa na brokers. Lakini uzuri kwenye uhalisia huwa wanakutana na ukweli wenyewe

Hiyo nyumba haiwezi kuwa Bilion 8
Haiwezi hata umpate mtu mzembe kiasi gani hawezi nunua hiyo kwa bil 8.

Bilioni 8 nyumba mbweni? Hiyo pesa unanunua nyumba 10 New York
 
Hii nyumba hata tshs bil 1 huwezi pata mteja na sio nyumba ya kifahari hii, nyumba kama godown kwa nje, hivi hata kujua thamani halisi ya nyumba hamjui..!! Hii nyumba najenga kwa tshs mil 320 tena yenye structure nzuri kuliko hii…!!
Labda ujenge chanika mkuu
Ukitoa hiyo nyumba unajua Yu beibya kiwanja sqm 2000 mbweni jkt?
Hiyo Hela ulotaja ndo pesa ya kununulia kiwanja pekee kabla ya ujenzi n bado haimtoshi
Karibu Dar🤣🤣🤣
 
$ 3M is not that much,ni just kama 8B tsh which is affordable to me,nimechukua namba zako.

The money I have in my mind is much more than the price of this house.

Nipo kweye kampeni ya kuushitua umasikini na utaondoka tu,hapa sio pahala pake umasikini alaa
watoto wa mwamposa mna mbwembwe
 
Labda ujenge chanika mkuu
Ukitoa hiyo nyumba unajua Yu beibya kiwanja sqm 2000 mbweni jkt?
Hiyo Hela ulotaja ndo pesa ya kununulia kiwanja pekee kabla ya ujenzi n bado haimtoshi
Karibu Dar🤣🤣🤣
Mnapenda kuandika uongo.
Mil 320 haitoshi kununua kiwanja Cha sqm 2000 mbweni? Huenda hata mbweni yenyewe hamuijui. Kuna memba humu anaitwa lamomy muulize alinunua sh ngapi kiwanja mbweni

Hilo hapo kina sqm 1200 kinauzwa mil 110. Hapo bado hujabargain. Sasa mil 320 ndio ishindwe kujunua sqm 2000?
 

Attachments

  • Screenshot_20240904-183644_1.jpg
    Screenshot_20240904-183644_1.jpg
    281 KB · Views: 6
Back
Top Bottom