Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo namba napiga mbona hapokei...TAJIRI NAAM ILI JUMBA LA KIFAHARI LINAUZWA LIPO MBWENI JKT, JUMBA KUBWA LA GHOLOFA 1
INA VYUMBA V4 VYOTE NI MASTER BADROOMS, NYUMA KUNA BOY COTER INA VYUMBA V5 VYOTE NI MASTER BEDROOMS, KUNA SWIMING POOL KUBWA,
UKUBWA WA UWANJA NI SQM-2000, INA TITLE DID YAANI INA HATI
INAUZWA DOLA MILION 3$, UKUTA WA NYUMBA HIZO HAIPITISHI RISASI (BULLET PROOF) HILI JUMBA LINAUZWA NA FENICHA ZAKE ZA NDANI HAKUNA KINACHO TOLEWA,,
👉 MENGINE ZAID NJO UJIONEE MWENYEWE SITE TAJIRI
👉 WOTE MNAKARIBISHWA KWA MAWASILIANO ZAID PIGA NAMBA HIZO HAPO
👉0675 065906
View attachment 3086230View attachment 3086232View attachment 3086234View attachment 3086235View attachment 3086236View attachment 3086237View attachment 3086238View attachment 3086239View attachment 3086240View attachment 3086241View attachment 3086242View attachment 3086243View attachment 3086244View attachment 3086245View attachment 3086246View attachment 3086247View attachment 3086248
Yaani umeongea point sana.Hiyo pesa unanunua nyumba US na unapewa hadhi ya mwekezaji
Bafu la 4some hilo mwanawane.. 😂😂Aisee hilo bafu sii chumba kabisa kwa huku kwetu kinole....hapo unaruka sarakasi kabisa na ugali mlenda unakula chooni.
Watu wanaishi bwanaaa
Tanzania hasa Dar es salaam wajanja wajanja wengi sana..Yaani umeongea point sana.
Always I wonder watu wanapataga wapi hizi bei za nyumba zao hapa bongo.
Gharama ya nyumba Mbweni, sijui Posta inazidi gharama ya nyumba London, Dubai, USA na nchi zote zilizoendelea.
Hiyo hela unanunua Nyumba sehemu yoyote USA. Uingereza, Dubai na mwaka rent unapata zaidi ya 200M ya kitanzania in few years inarudi yote.
Viwanja Dar es Salaam bei zake ni upigaji sana na kwasababu hakuna udhibitiLabda ujenge chanika mkuu
Ukitoa hiyo nyumba unajua Yu beibya kiwanja sqm 2000 mbweni jkt?
Hiyo Hela ulotaja ndo pesa ya kununulia kiwanja pekee kabla ya ujenzi n bado haimtoshi
Karibu Dar🤣🤣🤣
Labda kama huwa wanafanya Money loundering au wanajiuziaTanzania hasa Dar es salaam wajanja wajanja wengi sana..
udhibiti haupo, mtu akiamka anakuja ba bei yakeLabda kama huwa wanafanya Money loundering au wanajiuzia
mbona ya kawaida sana haiendani na hiyo hela?
Iv we jamaa yangu bado upo huishiwi vitukoKapunguza ukali wa Namba, usione kama anakufokea, kwa hio figure ungehisi anaingilia utu wako.