Ttcl iko vzr kweny upatikanaj wa huduma kila mkoa unaoenda tofaut na zantel huku niliko hawajui hata zantel ni nini japo ni jiji kubwaInabidi nitafute laini ya Zantel
Wameirudisha hii ofaZantel wapo vzr 500 wanakupa Mb 500 wiki nzima.
1500 GB 1.5 plus dakika 160 kwenda mitandao yote
Yeah ipo mkuuWameirudisha hii ofa
hii ni ofa gani mkuu?Zantel wapo vzr 500 wanakupa Mb 500 wiki nzima.
1500 GB 1.5 plus dakika 160 kwenda mitandao yote
Me naona Halotel walikua poa ngoja tusubiri kama wanarudi au.Ingia TTCL *148*30*35# utainjoi
Ni kifurushi cha Un nadhani jaribu *148*05# ikukubali mambo bambamhii ni ofa gani mkuu?
Halotel mtandao unasumbua sana , sijui shida nini?Me naona Halotel walikua poa ngoja tusubiri kama wanarudi au.