rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Ilikuwa elfu moja kwa sikub5
Ntamdai gani na ni bei gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntamdai gani na ni bei gani
stick there!Siku mbili tu bila kutumia internet ni kama mwaka mzima gerezani. Ahsante sana TtclView attachment 1742540View attachment 1742542View attachment 1742545
NB: Kama kawaida eneo ulilopo ndio litaamua speed ya mtandao
Ipo kwenye menu gani?2000 GB 3 haikuwapo.
Ttcl pesa inazingua sasa hata option ya kununua bundle kwa T-pesa haipo Muda huuKama hakuna hamisha kutoka tigo/m pesa kwenda T pesa Kisha nunua
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Wameshatoa muongozo wako wanaifanyia kazi mkuu itarejea punde si punde jana vifurush kam tam tam vilikuwepo ila kuijiunga ilikuwa mtihaniTtcl pesa inazingua sasa hata option ya kununua bundle kwa T-pesa haipo Muda huu
Wako vizur hao jamaa ila kwa huku mikoani haina ishu bora ttcl yani hata wakal hawapo huku mikoaniZantel wapo vzr 500 wanakupa Mb 500 wiki nzima.
1500 GB 1.5 plus dakika 160 kwenda mitandao yote
Tamtam nimeunga fast asubuhi nikadownload mzigo bundle likaisha kujaribu tena option ya kununua bundle wameitoaWameshatoa muongozo wako wanaifanyia kazi mkuu itarejea punde si punde jana vifurush kam tam tam vilikuwepo ila kuijiunga ilikuwa mtihani
Okay thanks, basi data plan ya Zantel si mbaya, wana 4G hawa?Picha ya kwanza ni zantel na nyingine Airtel.
Yeah, wana 4g tena coverage yao iko vizuri sana. Data plan uliangalia vifurushi tofauti naweza kusema wako zaidi ya wastani. Tangu nihamie huku tokea Airtel sidhani kama nimerudi nyuma, though Airtel imekuwa line mama kwa miaka mingi.Okay thanks, basi data plan ya Zantel si mbaya, wana 4G hawa?
*148*30*35# ya TTCL ni funga kazi sijutiii kununua Lin yao*148*60#
3.Airtel yatosha
Nunua kupitia tigo pesa
Ingia TTCL *148*30*35# utainjoi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
GB 2 Tshs 2000/=;
GB 4 Tshs 1000/= ?
Kweli hawa ni TTCL , by the way ni kasi ya 4G au 0.25G
*148*30*35# ya TTCL ni funga kazi sijutiii kununua Lin yao
Zantel wapo vzr 500 wanakupa Mb 500 wiki nzima.
1500 GB 1.5 plus dakika 160 kwenda mitandao yote
Itafute hasa kama upo mjini 4g yao iko vizuriInabidi nitafute laini ya Zantel
Mtandao haushikiIngia TTCL *148*30*35# utainjoi