rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Kama hakuna hamisha kutoka tigo/m pesa kwenda T pesa Kisha nunuaVocha zao mitaani Zipo ?
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hakuna hamisha kutoka tigo/m pesa kwenda T pesa Kisha nunuaVocha zao mitaani Zipo ?
Ahaaa kumbe simpo hivyoKama hakuna hamisha kutoka tigo/m pesa kwenda T pesa Kisha nunua
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
maduka machache sana wanauza vocha zaoAhaaa kumbe simpo hivyo
😂 😂 😂GB 2 Tshs 2000/=;
GB 4 Tshs 1000/= ?
Kweli hawa ni TTCL , by the way ni kasi ya 4G au 0.25G
😂😂😂Kuna mdau mmoja aliwahi kusema hata ofisi za TTCL zenyewe hawatumii internet ya TTCL, sikuelewa ni kwanini?
Ntamdai gani na ni bei ganiBando tamtam wamerudisha 1.2gb nq dkk 10 mitandao yote
Inafanya kazi vzr ukijiunga mkuu na vip spid internet hawa jamaa wananishawishi kuliko zantel??Bando tamtam wamerudisha 1.2gb nq dkk 10 mitandao yote
Njooni tigo nowape vya mwezi mzima kwa bei poa View attachment 1742550
Ndo maana kumbe mateso kiasi hichoHivyo ni vifurushi vya wachawi wenyewe wanaita 'bandika bandua' 24hrs.
Hicho cha buku mchana wanakulimit 500mb tu na zinazobaki ni mpaka saa 6 usiku unakesha nazo na cha pili vivyo hivyo wasalimie 1Gb mchana na zingine ni za kuwangia kushusha muvee maana kile chenille cha "toboa tobo" hakipo tena
Hii mkuu ni Zantel au Airtel?Zantel na Airtel [emoji123]View attachment 1742924View attachment 1742928
Picha ya kwanza ni zantel na nyingine Airtel.Hii mkuu ni Zantel au Airtel?
We acha tu najiuliza bila internet inakuaje
Zantel imeungana na tigo sasa hivi internet yao inasumbua pia inaisha mapemaInafanya kazi vzr ukijiunga mkuu na vip spid internet hawa jamaa wananishawishi kuliko zantel??