Unguja uko mjini tu unawasiwasi usigeuze ubavu mara network inapoteaInakamata tanzania nzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unguja uko mjini tu unawasiwasi usigeuze ubavu mara network inapoteaInakamata tanzania nzima
Kabla hujafika ilboru kuelekea sanawari mtandao umeuacha mjini tayari 😏Inakamata tanzania nzima
Labda kama wameboresha kwa sasaUnguja uko mjini tu unawasiwasi usigeuze ubavu mara network inapotea
4GB kwa buku harafu 10GB kwa buku mbili jero.Siku mbili tu bila kutumia internet ni kama mwaka mzima gerezani. Ahsante sana TtclView attachment 1742540View attachment 1742542View attachment 1742545
Kwangu TTCL huwa inateleza sana kwa maana ni 4G. Na ni mdau wa kutoboa kwa hiyo huwa nateleza inafika mpaka 5MB/sec.
Mkuu hii unapata kwa menu gani? Ni hii ya *148*30#ok auSiku mbili tu bila kutumia internet ni kama mwaka mzima gerezani. Ahsante sana TtclView attachment 1742540View attachment 1742542View attachment 1742545
[emoji23][emoji23] Vya bei rahis vina shida yake
Voda ???Airtel bado, Tigo pia bado
Sijajua maana niliiacha kwa ajili ya ofisi kutoka tuu.Voda ???
Kuna mdau mmoja aliwahi kusema hata ofisi za TTCL zenyewe hawatumii internet ya TTCL, sikuelewa ni kwanini?
Nadhani hapo kuna siku na week ila mtoa mada amshindwa kubainisha tofauti.GB 2 Tshs 2000/=;
GB 4 Tshs 1000/= ?