Ntakasi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 1,428
- 456
1-Kigodoro
Jina tu linajitosheleza kudescribe u-local wa movie......ni drama-comedy kind of movie iliyochezwa Uswazi starred by well known stars kama Mama Abdul,Hemed,Diana Kimario,Kajala,Salim a.k.a Gabo,Muhogo Mchungu,Bi.Staa n.k.. Ina mtiririko mzuri wa visa na ina maudhui mazuri na inafunza jamii 'lengwa' kuhusiana na madhara ya 'vigodoro'..
2.Gumzo
Starred by the King Himself....Majuto pamoja na Nisher akiwa sambamba na Hemed Phd...ni comedy like movie ambayo itakusprize kwa u-cartoon wa Hemedy,Visa vya Majuto na uchizi wa Nisher...
3.Mdundiko.
Hii ni local movie nyingine ambayo ipo kielimu zaidi kuhusiana na mambo mbalimbali ya kijamii huku mkazo ukitiliwa kwenye ngoma ya kihuni iliyoingiza kijiji matatani kwa vitendo hasi....Starred bt Mzee Masinde,Biggie,Tino,Dokii,Kemi,Jengua,Swebe,Rado,Mc Kenyatta,Dino.....
NTAKASI,
NYUMBANI KWANZA!!
Jina tu linajitosheleza kudescribe u-local wa movie......ni drama-comedy kind of movie iliyochezwa Uswazi starred by well known stars kama Mama Abdul,Hemed,Diana Kimario,Kajala,Salim a.k.a Gabo,Muhogo Mchungu,Bi.Staa n.k.. Ina mtiririko mzuri wa visa na ina maudhui mazuri na inafunza jamii 'lengwa' kuhusiana na madhara ya 'vigodoro'..
2.Gumzo
Starred by the King Himself....Majuto pamoja na Nisher akiwa sambamba na Hemed Phd...ni comedy like movie ambayo itakusprize kwa u-cartoon wa Hemedy,Visa vya Majuto na uchizi wa Nisher...
3.Mdundiko.
Hii ni local movie nyingine ambayo ipo kielimu zaidi kuhusiana na mambo mbalimbali ya kijamii huku mkazo ukitiliwa kwenye ngoma ya kihuni iliyoingiza kijiji matatani kwa vitendo hasi....Starred bt Mzee Masinde,Biggie,Tino,Dokii,Kemi,Jengua,Swebe,Rado,Mc Kenyatta,Dino.....
NTAKASI,
NYUMBANI KWANZA!!