Nyumbani ni nyumbani, karibuni Mafia

Nyumbani ni nyumbani, karibuni Mafia

Nimeishi Mafia miaka 2 Pale Kilindoni nilikuwa nakaa Lizu Hotel

Ni Hotel ya Dada wa kichaga au Ki arusha kazaa na Mhindi
 
Duh umenikumbusha Ibiza Lodge, vipi bado ipo?
 
Mkija kutembea mtatuingizia chochote kwenye wilaya yetu ukinunua chochote unakuwa umesaidia katika kukuza uchumi na pia hata ikiwa sio Mimi basi itakuwa kwa mwenye duka karibuni kutalii Mafia atakae na aje ukiwa MTU wa amani

View attachment 1554182View attachment 1554183View attachment 1554184View attachment 1554186View attachment 1554188View attachment 1554189View attachment 1554190View attachment 1554191View attachment 1554192View attachment 1554193View attachment 1554195View attachment 1554196View attachment 1554197View attachment 1554198
[
Sijui nimechelewa kujua maana jina mafia, huwa nalisikia nikijua ni sehemu ya zanzibar, nikaenda kwa mwalimu google nikaona kuna latham, lamu na mafia kimipaka vipo bara?

Vipi utamaduni ni wa bara kweli au ni wa zanzibar??

Am very interested to be there in December na wifi yenu(kwa kina dada)..
 
Sijui nimechelewa kujua maana jina mafia, huwa nalisikia nikijua ni sehemu ya zanzibar, nikaenda kwa mwalimu google nikaona kuna latham, lamu na mafia kimipaka vipo bara?

Vipi utamaduni ni wa bara kweli au ni wa zanzibar??

Am very interested to be there in December na wifi yenu(kwa kina dada)..
Bara tu
 
Kisiwa cha jibondo
FB_IMG_15995887886616280.jpg
 
Sijui nimechelewa kujua maana jina mafia, huwa nalisikia nikijua ni sehemu ya zanzibar, nikaenda kwa mwalimu google nikaona kuna latham, lamu na mafia kimipaka vipo bara?

Vipi utamaduni ni wa bara kweli au ni wa zanzibar??

Am very interested to be there in December na wifi yenu(kwa kina dada)..
Ni sehemu ya Tanganyika ile. Wapo Wadengereko wa kutosha
 
Back
Top Bottom