Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Wapewe vijana waendeshe hiyo ishu waonesiku tukipata viongozi wabunifu tutafika mbali sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapewe vijana waendeshe hiyo ishu waonesiku tukipata viongozi wabunifu tutafika mbali sana.
Wapewe vijana waendeshe hiyo ishu waone
Chato tunakuja tu kula samaki mkuu..Sisi wa chato tunao mkuu wasalimie hapo ulipo Waambie chato kunogileee....
Karibu sn snChato tunakuja tu kula samaki mkuu..
Sijui nimechelewa kujua maana jina mafia, huwa nalisikia nikijua ni sehemu ya zanzibar, nikaenda kwa mwalimu google nikaona kuna latham, lamu na mafia kimipaka vipo bara?Mkija kutembea mtatuingizia chochote kwenye wilaya yetu ukinunua chochote unakuwa umesaidia katika kukuza uchumi na pia hata ikiwa sio Mimi basi itakuwa kwa mwenye duka karibuni kutalii Mafia atakae na aje ukiwa MTU wa amani
View attachment 1554182View attachment 1554183View attachment 1554184View attachment 1554186View attachment 1554188View attachment 1554189View attachment 1554190View attachment 1554191View attachment 1554192View attachment 1554193View attachment 1554195View attachment 1554196View attachment 1554197View attachment 1554198
[
Bara tuSijui nimechelewa kujua maana jina mafia, huwa nalisikia nikijua ni sehemu ya zanzibar, nikaenda kwa mwalimu google nikaona kuna latham, lamu na mafia kimipaka vipo bara?
Vipi utamaduni ni wa bara kweli au ni wa zanzibar??
Am very interested to be there in December na wifi yenu(kwa kina dada)..
Duh, kama mbele yani!IPO ila bei yake sasa acha tu IPO kisiwani panaitwa shungi mbili au thanda
Ni sehemu ya Tanganyika ile. Wapo Wadengereko wa kutoshaSijui nimechelewa kujua maana jina mafia, huwa nalisikia nikijua ni sehemu ya zanzibar, nikaenda kwa mwalimu google nikaona kuna latham, lamu na mafia kimipaka vipo bara?
Vipi utamaduni ni wa bara kweli au ni wa zanzibar??
Am very interested to be there in December na wifi yenu(kwa kina dada)..
Mimi PEPSI tu, nikifikiria kujinyonga kwa sababu ya ugumu wa maisha ladha PEPSI hua inanipa sababu ya kuendelea kuishiMimi nimekua addicted na coca aisee..nisipokunywa nakuaga siwez fikiria vyema..inanitesa hii Hali balaa