Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukanda wa pwani wote ni mzuri, very green.Ndio maana watu wanajazana Dar es salaam hawaondoki kurudi kwa Dom,Singida.Iko mkoa pwani hiyo
Kwa hio sie bara ni mabeberu.Mbona hatinafaiki kitu.Karafuu mnauza wenyeweHicho ndo wanachofikiria itakuwa mbaya kwao
Vp ulifika comoro? ChiefNinavyojua mayote mpaka upite comoro ,na unaweza toboa mpaka ufaransa,mwenzi ujao nafanya mpango niingie comoro,details zaidi nitazipata
Chief; Nipo ughaibuni tunaokoteza maisha huku; September ndio huwa narudi Bongo; Sidhani kama naweza mudu Flight za watu 4; So ningependa kufahamu gharama za Meli/Boat; Ambayo atleast hiyo namudu kabisa; Ili niende na madogo wangu huko kabla sijawapeleka kwa babu yao.IPO mkuu
Kutokea dar unapanda gari maeneo ya mbagara nauri 5500 mpaka nyamisati ukufika nyamisati ndio unapanda kivuko mpaka mafia ambacho nauil mpaka mafia 16000Chief; Nipo ughaibuni tunaokoteza maisha huku; September ndio huwa narudi Bongo; Sidhani kama naweza mudu Flight za watu 4; So ningependa kufahamu gharama za Meli/Boat; Ambayo atleast hiyo namudu kabisa; Ili niende na madogo wangu huko kabla sijawapeleka kwa babu yao.
Kuna Meli za uhakika (Uhakika i mean kama Zanzibar, transport ni valid na Uhakika kwa sehemu kubwa)
Nikifahamu haya utanisaidia kuji-schedule
1. Hiyo Transport gani inatumika (Jahazi au Official Boats kamz za Azam fast ferries)
2. Kama ni Boat zinapatikana wapi kutokea Dar es Salaam.
3. Cost za Transport from and to na Lodge ni kiasi gani Average?
Natangulisha shukrani Chief
Kama hiyo mafia ni yakwenu mutaondoka nayo.Wazanzibari tukipata uhuru wetu tunaondoka na Mafia. Chini ya mamlaka ya Zanzibar mafia itajaa watalii
Tumeamua tutaiacha apo ilipo ili tterritorial waters zetu iwe kubwaKama hiyo mafia ni yakwenu mutaondoka nayo.
Unasema kweli huwa inasaidia?Ukiona kibamia jua mgeni huyo huku tunatumia gome la ngisi kwisha habari
Akiwa dsm. Anahitaji kupumzika siku 5.Upo wapi
Kiatu cheupe kama kavaa hogoAahaaaa suti za kijani Tai njano dah