Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi
Ulisema yupo anaesababisha maisha yawe magumuWapi
Aisee mimi hata stress sinaga..Kuna time napita hard time but nakua just stress free mpaka na force niwe na stress ila wapi?!Yes hayohayo..kwani ww stress zako zimebase wapi
Hongera...Aisee mimi hata stress sinaga..Kuna time napita hard time but nakua just stress free mpaka na force niwe na stress ila wapi?!
Sasa mbona mie sina maisha magumu mzee baba...nan huyo? Au nion3she wap nmelalamika life gumu
Ahsante ndio maana nikawa nuliza maana dah mimi mpaka najishangaa.Hongera...
Tag me..huu uzi wa muda sana..HAPO JUU UMELALAMIKA
👇Tag me..huu uzi wa muda sana..
Ugumu wa maisha plus majukumu
Khaa...sasa kama una majukumu unakosaje stress...mie nilikua namjibu yule..mie nna majukumu vby sana mkuu... relax
Mimi nilikua na bold hapo kwenye maisha magumu 😎Khaa...sasa kama una majukumu unakosaje stress...mie nilikua namjibu yule..mie nna majukumu vby sana mkuu... relax
Stress kila mtu anazo....hata billionea anazo .sembuse sisiMimi nilikua na bold hapo kwenye maisha magumu 😎
Ngoja nitafute bilionea mmoja anipunguzieStress kila mtu anazo....hata billionea anazo .sembuse sisi
Mwaka 2009 nimekaa huko wiki mzima,kwa kweli nilifurahia sana na hayo maeneo yote ya kwenye picha nilifika. Nitakuja tena shemeji yangu Chongoe(hako ka wiki nilipata chotara wa kiarabu)
Vipi hicho kivuko cha serikali nasikia kimeanza kàzi?
Chongoe, unaweza kuelezea zaidi juu ya huo njiani?Huu hutumika na meri kubwa zinazoelekea south afrika ni alama moja wapo pia haupo mbali na mji uliozama baharini wenye Mali nyingi ukisikia mji ulozama bahari pia zipo nyingi ndio upo karibu na mnara huo watu hushindwa kwenda kwakuwa vifaa duni ila wazungu wanaenda sana tu
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Tayari kimeanza kazi nauli 16000Mwaka 2009 nimekaa huko wiki mzima,kwa kweli nilifurahia sana na hayo maeneo yote ya kwenye picha nilifika. Nitakuja tena shemeji yangu Chongoe(hako ka wiki nilipata chotara wa kiarabu)
Vipi hicho kivuko cha serikali nasikia kimeanza kàzi?