Nyumbani ni nyumbani, karibuni Mafia

Nyumbani ni nyumbani, karibuni Mafia

Mkija kutembea mtatuingizia chochote kwenye wilaya yetu ukinunua chochote unakuwa umesaidia katika kukuza uchumi na pia hata ikiwa sio Mimi basi itakuwa kwa mwenye duka karibuni kutalii Mafia atakae na aje ukiwa MTU...
Paradise
 
Dah! Mkuu umenikumbusha kitambo wrong number iliweza nifikisha Mafia aisee mpaka Sasa imebaki story.
 
Karibuni fukwe
FB_IMG_16349770618692826.jpg
 
chongoe nikiwa na mtaji wa laki 5 au milioni moja naweza kufanya biashara gani hapo Mafia? Gharama za vyumba vya kupanga mtaani ni sh.ngapi?
 
Mkija kutembea mtatuingizia chochote kwenye wilaya yetu ukinunua chochote unakuwa umesaidia katika kukuza uchumi na pia hata ikiwa sio Mimi basi itakuwa kwa mwenye duka karibuni kutalii Mafia atakae na aje ukiwa MTU wa amani

View attachment 1554182View attachment 1554183View attachment 1554184View attachment 1554186View attachment 1554188View attachment 1554189View attachment 1554190View attachment 1554191View attachment 1554192View attachment 1554193View attachment 1554195View attachment 1554196View attachment 1554197View attachment 1554198
[
Tanzania ni nchi nzuri sana na tajiri sana, ina rasilimali maliza kutosha, RIP mwamba, jiwe, mzalendo haswa Magu! Bado machozi yanatutoka tukikumbuka, miaka yako 5 ni sawa na miaka 50!
 
Back
Top Bottom