mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
hehehe kwetu banjaaaa kuleee jojo pia kuna ndugu zangu .uzuri wa kule ukoo mzima mnaweza fahamianaUmenikumbusha huko Mafia... Jojo, Jibondo Chole... Eeeh
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
ParadiseMkija kutembea mtatuingizia chochote kwenye wilaya yetu ukinunua chochote unakuwa umesaidia katika kukuza uchumi na pia hata ikiwa sio Mimi basi itakuwa kwa mwenye duka karibuni kutalii Mafia atakae na aje ukiwa MTU...
Asante sana.karibu sana mkuu
Karibuni fukweView attachment 1991364
Tanzania ni nchi nzuri sana na tajiri sana, ina rasilimali maliza kutosha, RIP mwamba, jiwe, mzalendo haswa Magu! Bado machozi yanatutoka tukikumbuka, miaka yako 5 ni sawa na miaka 50!Mkija kutembea mtatuingizia chochote kwenye wilaya yetu ukinunua chochote unakuwa umesaidia katika kukuza uchumi na pia hata ikiwa sio Mimi basi itakuwa kwa mwenye duka karibuni kutalii Mafia atakae na aje ukiwa MTU wa amani
View attachment 1554182View attachment 1554183View attachment 1554184View attachment 1554186View attachment 1554188View attachment 1554189View attachment 1554190View attachment 1554191View attachment 1554192View attachment 1554193View attachment 1554195View attachment 1554196View attachment 1554197View attachment 1554198
[
Ukienda msalimie Kidagaa.Nataka kuja kucheza na papa huko, siku moja nitakuja tu nikipata pesa