Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Hahaha nenda tu
Kama Kuna line sisi wengine Sahv tushakuwa watu wazima, kukimbizana hatuwezi
Tumekuwa wadogo Sahv
Ova
nadhani kuna nyanya chungu ila bamia sina uhakika sanaHuko mafia kumbe hakuna vibamia
Baharia ukaogopa kuingia kwa wasomaliaSana Kuna wakati tuliendaga Lamu, Kenya na mchina wangu mmja yeye alikuwa na ofisi Kino hombos kule, tulikaa kama wiki 3 ah akaniambia Sasa
Unaonaje twende tu somalia..... Maana hko kna Mapezi mengi ya papa.... Dah nkamwambia hko tukienda haturudi..... Haya Maisha acha tu kma sinema tu
Ova
Ok.... Lazima uendane na upepo lknUwe wewe mzee..hahaa...ni deal la Mara mbili unabadilika..Kwan kitu gan bwana
Hahhaahaa....madanga yameyeyaaaππππ! Yanalia njaa daily π€Hakuna madanga huko baharini??
Muhimu sanaOk.... Lazima uendane na upepo lkn
Na uwe na tag
Ova
HahahahahMeli ipo ila sio ya magufuli
Jibu konkyMeli ipo ila sio ya magufuli
Ngoja nimtongoze nimfanye kibenten changuHuyu ni noma..nahis ana kismat pia...anamatajiri wengi wanamuamini Sana..sema mtunduuuuu[emoji38][emoji38][emoji119]
@chongoe huyoooo hakopeshi[emoji23][emoji23][emoji23]Jibu konky
π€£ @MissNatafuta.nilikua nazungumzia pomboo ambao ni Dolphin kwa kiingereza. niliona kwenye Tv huko Mafia watu wanacheza na Dophin kwenye majiPapa gani Teena??
Mbona TTB hawapatangazi?Dah...Kuna some places nzuri hata Kama una stress zinakata kabisa!kwakweli dahππππ!
Dilek njoo hapa...
Mkija kutembea mtatuingizia chochote kwenye wilaya yetu ukinunua chochote unakuwa umesaidia katika kukuza uchumi na pia hata ikiwa sio Mimi basi itakuwa kwa mwenye duka karibuni kutalii Mafia atakae na aje ukiwa MTU wa amani
View attachment 1554182View attachment 1554183View attachment 1554184View attachment 1554186View attachment 1554188View attachment 1554189View attachment 1554190View attachment 1554191View attachment 1554192View attachment 1554193View attachment 1554195View attachment 1554196View attachment 1554197View attachment 1554198
[
Sasa bariadi au lamadi na mayote wapi na wapi?, Wewe baki huko uchunge ng'ombe tuNipo Simiyu
Mkuu, gharama za zenji mpaka Comoro zimekaaje?Ninavyojua mayote mpaka upite comoro ,na unaweza toboa mpaka ufaransa,mwenzi ujao nafanya mpango niingie comoro,details zaidi nitazipata
Nadhani wametangaza. Nimewahi onaMbona TTB hawapatangazi?