Nyumbani ni nyumbani, karibuni Mafia

Hahaha nenda tu
Kama Kuna line sisi wengine Sahv tushakuwa watu wazima, kukimbizana hatuwezi
Tumekuwa wadogo Sahv

Ova

Uwe wewe mzee..hahaa...ni deal la Mara mbili unabadilika..Kwan kitu gan bwana
 
Baharia ukaogopa kuingia kwa wasomalia
 
... Miss Natafuta hahahah tusharudisha na kuzidisha kwa kufuru[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
 
Nipo Simiyu
Sasa bariadi au lamadi na mayote wapi na wapi?, Wewe baki huko uchunge ng'ombe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…