Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Hahahhaaa mxieww....! Sema Kama unataka kupelekwa huko tukadange wote Basi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahhaaa mxieww....! Sema Kama unataka kupelekwa huko tukadange wote Basi!
Hahaa hii safari Chanel wanarudiaga Sana kutangaza vivutio vile vile hata Mafia wanaitangaza Sana...Jana waliitangazia wapi? Usikute Harmonize pale ndo alikua anatangaza utalii Mafia. Dogo kadondokea msambwanda aibuuuu
Hahhhaa samahani kama wewe mzaliwa wa bariadi au simiyu. Miji Ile imepoa km men mlokole🤸🤸🤸🤸😂😂😂😂umeamza dharau za sivan
😂😂walokole hawajapoa wewe au huwa huwaoni na zile suti zao zakung'aa ng'aa?Hahhhaa samahani kama wewe mzaliwa wa bariadi au simiyu. Miji Ile imepoa km men mlokole🤸🤸🤸🤸
Aahaaaa suti za kijani Tai njano dah😂😂walokole hawajapoa wewe au huwa huwaoni na zile suti zao zakung'aa ng'aa?
Mafia mjini KilondoniMkija kutembea mtatuingizia chochote kwenye wilaya yetu ukinunua chochote unakuwa umesaidia katika kukuza uchumi na pia hata ikiwa sio Mimi basi itakuwa kwa mwenye duka karibuni kutalii Mafia atakae na aje ukiwa MTU wa amani
View attachment 1554182View attachment 1554183View attachment 1554184View attachment 1554186View attachment 1554188View attachment 1554189View attachment 1554190View attachment 1554191View attachment 1554192View attachment 1554193View attachment 1554195View attachment 1554196View attachment 1554197View attachment 1554198
[
Dash ni pazuri, nashauri Tundu Lisu akimaliza kampeni Na kupata kura laki 3 akapumzike huko tu maana atarajie kipigo cha mbwa koko kwny sunduku la kura.Mkija kutembea mtatuingizia chochote kwenye wilaya yetu ukinunua chochote unakuwa umesaidia katika kukuza uchumi na pia hata ikiwa sio Mimi basi itakuwa kwa mwenye duka karibuni kutalii Mafia atakae na aje ukiwa MTU wa amani
View attachment 1554182View attachment 1554183View attachment 1554184View attachment 1554186View attachment 1554188View attachment 1554189View attachment 1554190View attachment 1554191View attachment 1554192View attachment 1554193View attachment 1554195View attachment 1554196View attachment 1554197View attachment 1554198
[
Dah...njoo nikurushe na bodaboda chap [emoji2960][emoji1787][emoji1787]Nafikaje huko...?
Hivi kuna usafiri wa kutoka hapo kwenda Mayotte?
saaiv najua madili yote ya uchaguz na kampen hayachez mbali na ww[emoji28][emoji28]Duh[emoji23][emoji23][emoji23]
Ngj Sahv nko nawaletea uzushi hku gairo
Mjin Nkirudi lazima niwaumize
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba ngwengwe sio haba sioWarembo wachache,kila mtu anawatolea macho....UKIMWI umestawi kiasi chake.
Twende wote ..alafu usinikwoti Tena ..tuheshimiane sinaga utan na ww..mxiew
Vipi naweza kununua kiwanja huko au kuna changamoto gani?Mkija kutembea mtatuingizia chochote kwenye wilaya yetu ukinunua chochote unakuwa umesaidia katika kukuza uchumi na pia hata ikiwa sio Mimi basi itakuwa kwa mwenye duka karibuni kutalii Mafia atakae na aje ukiwa MTU wa amani
View attachment 1554182View attachment 1554183View attachment 1554184View attachment 1554186View attachment 1554188View attachment 1554189View attachment 1554190View attachment 1554191View attachment 1554192View attachment 1554193View attachment 1554195View attachment 1554196View attachment 1554197View attachment 1554198
[
nenda ww na mamakoTwende wote ..alafu usinikwoti Tena ..tuheshimiane sinaga utan na ww..mxiew
Mkuu naona umejaza mapichapicha tu.Mkija kutembea mtatuingizia chochote kwenye wilaya yetu ukinunua chochote unakuwa umesaidia katika kukuza uchumi na pia hata ikiwa sio Mimi basi itakuwa kwa mwenye duka karibuni kutalii Mafia atakae na aje ukiwa MTU wa amani
View attachment 1554182View attachment 1554183View attachment 1554184View attachment 1554186View attachment 1554188View attachment 1554189View attachment 1554190View attachment 1554191View attachment 1554192View attachment 1554193View attachment 1554195View attachment 1554196View attachment 1554197View attachment 1554198
[
Namvizia tarimb lazima Nile Hela zakesaaiv najua madili yote ya uchaguz na kampen hayachez mbali na ww[emoji28][emoji28]
don mrangi mission town long time kitambo hapa mjiniii
Sent using Jamii Forums mobile app
Bloo ukijaa mjin hebu nicheck!!! tunaweza tengeneza combination moja hatari sanaaa kama money heistNamvizia tarimb lazima Nile Hela zake
Kna diwan mmja Kino zamani sanaaa nshamuweka
Sawa, Ngj nrudi mjini kitaeleweka
Ova
Duh... Sawa sawabloo ukijaa mjin hebu nicheck!!! tunaweza tengeneza combination moja hatari sanaaa kama money heist
Sent using Jamii Forums mobile app