Nyumbani ni nyumbani, karibuni Mafia

Nyumbani ni nyumbani, karibuni Mafia

Mkija kutembea mtatuingizia chochote kwenye wilaya yetu ukinunua chochote unakuwa umesaidia katika kukuza uchumi na pia hata ikiwa sio Mimi basi itakuwa kwa mwenye duka karibuni kutalii Mafia atakae na aje ukiwa MTU wa amani

View attachment 1554182View attachment 1554183View attachment 1554184View attachment 1554186View attachment 1554188View attachment 1554189View attachment 1554190View attachment 1554191View attachment 1554192View attachment 1554193View attachment 1554195View attachment 1554196View attachment 1554197View attachment 1554198
[
Mafia mjini Kilondoni
Serikali ya CCM haijali kabisa
Kwa nature ya Mafia ilivyo ilipaswa kuwa sehemu inayoyiingia pesa kwa utalii lakin waaaapi
 
Mkija kutembea mtatuingizia chochote kwenye wilaya yetu ukinunua chochote unakuwa umesaidia katika kukuza uchumi na pia hata ikiwa sio Mimi basi itakuwa kwa mwenye duka karibuni kutalii Mafia atakae na aje ukiwa MTU wa amani

View attachment 1554182View attachment 1554183View attachment 1554184View attachment 1554186View attachment 1554188View attachment 1554189View attachment 1554190View attachment 1554191View attachment 1554192View attachment 1554193View attachment 1554195View attachment 1554196View attachment 1554197View attachment 1554198
[
Dash ni pazuri, nashauri Tundu Lisu akimaliza kampeni Na kupata kura laki 3 akapumzike huko tu maana atarajie kipigo cha mbwa koko kwny sunduku la kura.
 
Naskia Mafia kuna malaya kama wote. Twendeni Mafia!!
 
Mkija kutembea mtatuingizia chochote kwenye wilaya yetu ukinunua chochote unakuwa umesaidia katika kukuza uchumi na pia hata ikiwa sio Mimi basi itakuwa kwa mwenye duka karibuni kutalii Mafia atakae na aje ukiwa MTU wa amani

View attachment 1554182View attachment 1554183View attachment 1554184View attachment 1554186View attachment 1554188View attachment 1554189View attachment 1554190View attachment 1554191View attachment 1554192View attachment 1554193View attachment 1554195View attachment 1554196View attachment 1554197View attachment 1554198
[
Vipi naweza kununua kiwanja huko au kuna changamoto gani?
 
Mkija kutembea mtatuingizia chochote kwenye wilaya yetu ukinunua chochote unakuwa umesaidia katika kukuza uchumi na pia hata ikiwa sio Mimi basi itakuwa kwa mwenye duka karibuni kutalii Mafia atakae na aje ukiwa MTU wa amani

View attachment 1554182View attachment 1554183View attachment 1554184View attachment 1554186View attachment 1554188View attachment 1554189View attachment 1554190View attachment 1554191View attachment 1554192View attachment 1554193View attachment 1554195View attachment 1554196View attachment 1554197View attachment 1554198
[
Mkuu naona umejaza mapichapicha tu.

Ungetueleza japo kwa uchache;

»mtu anafikaje huko
»nauli zipoje
»makazi yakoje mtu akifika huko
»muda mzuri wa kwenda ni upi
»fursa zilizopo n.k

BTW kuna mtu aliuliza kwanini Mafia haipo Zanzibar?
 
saaiv najua madili yote ya uchaguz na kampen hayachez mbali na ww[emoji28][emoji28]

don mrangi mission town long time kitambo hapa mjiniii

Sent using Jamii Forums mobile app
Namvizia tarimb lazima Nile Hela zake
Kna diwan mmja Kino zamani sanaaa nshamuweka
Sawa, Ngj nrudi mjini kitaeleweka

Ova
 
Mi mtu wa Mafia hunifurahisha na lafudhi yao fulani hivi kama wanadeka.
 
Back
Top Bottom