There you're!! For adventure, ndege haifai! Tena ukiweza, hata boti tupa kule, unapanda mashua ambayo hamkawi kujikuta mmetokezea nchi za ng'ambo angalau Comoros hapo!!
Unajua ukikutana na upepo mtamu mtamu, hizi boti uchwara zinapitwa na mashua kama zimesimama!! Na siku niliachana na mambo ya kupanda boti, ilikuwa tunatoka Mafia to Dar, and by the time, boti ambayo nilipanda ilikuwa one of the best boats kisiwani!
Sasa unaambiwa siku ya siku kulikuwa na winter baharini la kufa mtu, na tumetoka Mafia mapema zaidi huku tukiwa tumeiacha mashua pale wala dalili za kuondoka hawana!
Nadhani tulikuwa halfway of the route huku tukipigwa baridi na mvua juu! Huku na kule, tunaona tanga kwa mbaaaaali linatoa saluti but in no time, jamaa na mashua yao wakatuacha kama tumesimama!
Ile na sisi tunawasili Kisiju, tunaikuta ile mashua inakula land and sea breeze huku kukiwa hakuna wala dalili kwamba walipakia watu na mizigo... yaani raia washasepa zamani hizo!