Nyumbani ni nyumbani, karibuni Mafia

Nyumbani ni nyumbani, karibuni Mafia

Mkija kutembea mtatuingizia chochote kwenye wilaya yetu ukinunua chochote unakuwa umesaidia katika kukuza uchumi na pia hata ikiwa sio Mimi basi itakuwa kwa mwenye duka karibuni kutalii Mafia atakae na aje ukiwa MTU wa amani

View attachment 1554182View attachment 1554183View attachment 1554184View attachment 1554186View attachment 1554188View attachment 1554189View attachment 1554190View attachment 1554191View attachment 1554192View attachment 1554193View attachment 1554195View attachment 1554196View attachment 1554197View attachment 1554198
[
Siku mtakayopata boti ya mojakwamoja Mafia kuja Dar es Salaam basi mtagomboka kwelikweli, maana kiila mtanzania wa Dar es Salaam atataka apande boti aje kupaona kunafanania vipi, washazoea Zanzibar wengi Mafia hawajafika, usafiri wa uhakika toka Dar ukiwepo wengi watakuja, ila wahamiaji wataingezeka pia
 
Gharama lodge kule ni kubwa,Kama hauna pakufikia hiyo laki nane hautobozi ata wiki,ushauri ,kwa hiyo laki nane ,nenda na ata gunia nne za vitunguu,apo utauzia apo Apo bandarini ukiwa unashuka ,watavigombania na utapata faida kubwa,ule bata ukimaliza beba pweza au simu rudi nazo kuuza bongo,usirudi mikono mitupu.napo utapata faida nzuri.kwa hiyo unakula Bata,na kupata faida
Mkuu itabidii nikutafute niko interested sana na kufanya biashara ya vitunguu comoro ila sijuii ni anzie wapi na mtaji kama 1.5m hivi

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Twende wote pls
Hahaa! Ushawahi kutumia mashua lakini?! Mimi ninapoenda Mafia/Zanzibar napenda sana kutumia usafiri wa maji kuliko wa anga ambao sio adventurous kabisa.

Let's go on December
 
Hahhaaha.. Nilikaa huko miaka mitatu ajabu nyama ya ngombe nikawa siipendi tena....

Kwa jinsi walivyo fresh na varieties huwezi kinai aisee

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Unajua mara ya mwisho kwenda Mafia, nilikaa kama mwaka mmoja hivi huku nikitoka kwa vipindi vifupi vifupi tu! Sasa wakati naandika hiyo post uliyoni-quote nilikuwa najaribu kuvuta kumbukumbu kama kwa muda wote huo niliwahi kununua nyama!

To be honest, sikumbuki kama niliwahi kununua nyama hata siku moja! Na kv kisela sela ni ngumu sana kula mboga ya majani, basi kuna uwezekano mkubwa within 1 year, sikutumia mboga yoyote zaidi ya samaki!

Kitu pekee ambacho ni tofauti kidogo ni kamba, pweza na ngisi ambao na wenyewe ni samaki!
 
Ndege hatutaenjoy ..twende na boat naskia Sasa hivi Kuna boat sijui meli.mie usafiri wa maji nimeshazoea siogopi. ...twende 28th oct
There you're!! For adventure, ndege haifai! Tena ukiweza, hata boti tupa kule, unapanda mashua ambayo hamkawi kujikuta mmetokezea nchi za ng'ambo angalau Comoros hapo!!

Unajua ukikutana na upepo mtamu mtamu, hizi boti uchwara zinapitwa na mashua kama zimesimama!! Na siku niliachana na mambo ya kupanda boti, ilikuwa tunatoka Mafia to Dar, and by the time, boti ambayo nilipanda ilikuwa one of the best boats kisiwani!

Sasa unaambiwa siku ya siku kulikuwa na winter baharini la kufa mtu, na tumetoka Mafia mapema zaidi huku tukiwa tumeiacha mashua pale wala dalili za kuondoka hawana!

Nadhani tulikuwa halfway of the route huku tukipigwa baridi na mvua juu! Huku na kule, tunaona tanga kwa mbaaaaali linatoa saluti but in no time, jamaa na mashua yao wakatuacha kama tumesimama!

Ile na sisi tunawasili Kisiju, tunaikuta ile mashua inakula land and sea breeze huku kukiwa hakuna wala dalili kwamba walipakia watu na mizigo... yaani raia washasepa zamani hizo!
 
Unajua mara ya mwisho kwenda Mafia, nilikaa kama mwaka mmoja hivi huku nikitoka kwa vipindi vifupi vifupi tu! Sasa wakati naandika hiyo post uliyoni-quote nilikuwa najaribu kuvuta kumbukumbu kama kwa muda wote huo niliwahi kununua nyama!

To be honest, sikumbuki kama niliwahi kununua nyama hata siku moja! Na kv kisela sela ni ngumu sana kula mboga ya majani, basi kuna uwezekano mkubwa within 1 year, sikutumia mboga yoyote zaidi ya samaki!

Kitu pekee ambacho ni tofauti kidogo ni kamba, pweza na ngisi ambao na wenyewe ni samaki!
Hahhaaha umenikumbusha unajua kule mboga za majani ni anasa kipind kile.. Ndio maana anemia ilikuwa juu Sanaa...

Yaani maisha kule ni wali samaki [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
There you're!! For adventure, ndege haifai! Tena ukiweza, hata boti tupa kule, unapanda mashua ambayo hamkawi kujikuta mmetokezea nchi za ng'ambo angalau Comoros hapo!!

Unajua ukikutana na upepo mtamu mtamu, hizi boti uchwara zinapitwa na mashua kama zimesimama!! Na siku niliachana na mambo ya kupanda boti, ilikuwa tunatoka Mafia to Dar, and by the time, boti ambayo nilipanda ilikuwa one of the best boats kisiwani!

Sasa unaambiwa siku ya siku kulikuwa na winter baharini la kufa mtu, na tumetoka Mafia mapema zaidi huku tukiwa tumeiacha mashua pale wala dalili za kuondoka hawana!

Nadhani tulikuwa halfway of the route huku tukipigwa baridi na mvua juu! Huku na kule, tunaona tanga kwa mbaaaaali linatoa saluti but in no time, jamaa na mashua yao wakatuacha kama tumesimama!

Ile na sisi tunawasili Kisiju, tunaikuta ile mashua inakula land and sea breeze huku kukiwa hakuna wala dalili kwamba walipakia watu na mizigo... yaani raia washasepa zamani hizo!
😀😀😀! Umeandika nikaisoma kihisia fulani dah😋
 
Unajua mara ya mwisho kwenda Mafia, nilikaa kama mwaka mmoja hivi huku nikitoka kwa vipindi vifupi vifupi tu! Sasa wakati naandika hiyo post uliyoni-quote nilikuwa najaribu kuvuta kumbukumbu kama kwa muda wote huo niliwahi kununua nyama!

To be honest, sikumbuki kama niliwahi kununua nyama hata siku moja! Na kv kisela sela ni ngumu sana kula mboga ya majani, basi kuna uwezekano mkubwa within 1 year, sikutumia mboga yoyote zaidi ya samaki!

Kitu pekee ambacho ni tofauti kidogo ni kamba, pweza na ngisi ambao na wenyewe ni samaki!
Miaka ya 80 nilikuwa daktar wa mifugo hapo lakini hapakuwa na abbatoir yaani machinjio ,!
 
Unajua mara ya mwisho kwenda Mafia, nilikaa kama mwaka mmoja hivi huku nikitoka kwa vipindi vifupi vifupi tu! Sasa wakati naandika hiyo post uliyoni-quote nilikuwa najaribu kuvuta kumbukumbu kama kwa muda wote huo niliwahi kununua nyama!

To be honest, sikumbuki kama niliwahi kununua nyama hata siku moja! Na kv kisela sela ni ngumu sana kula mboga ya majani, basi kuna uwezekano mkubwa within 1 year, sikutumia mboga yoyote zaidi ya samaki!

Kitu pekee ambacho ni tofauti kidogo ni kamba, pweza na ngisi ambao na wenyewe ni samaki!


Mtu anayekula Sana samaki huwa Wana upeo mkubwa Sana wa akili! Naamini uko hivyo!..
 
Mtu anayekula Sana samaki huwa Wana upeo mkubwa Sana wa akili! Naamini uko hivyo!..
Maybe, twende basi December... tukifika, kuanzia breakfast hadi msosi wa usiku, full samaki hadi tunarudi! Maybe tutarudi tukiwa vi-genius fulani hivi!!!
 
Miaka ya 80 nilikuwa daktar wa mifugo hapo lakini hapakuwa na abbatoir yaani machinjio ,!
Ng'ombe walishavuka bahari kitambo! Tena naya-miss sana maziwa ya Mafia manake ilikuwa ni 100% guaranteed no water milk chini ya project iliyokuwa inaendeshwa na Mama Chole (if am not mistaken)!
 
Hahhaaha umenikumbusha unajua kule mboga za majani ni anasa kipind kile.. Ndio maana anemia ilikuwa juu Sanaa...

Yaani maisha kule ni wali samaki [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Yah, ilikuwa ni anasa kweli kweli labda wabadilike na kuanza kulima mbogamboga kwa wingi kwa sababu inawezekana kabisa! Nilishawahi kwenda Kirongwe, kulikuwa na shamba la magereza... jamaa walikuwa wanatoa vitunguu vya maana hadi unaweza kushangaa kwamba vinalimwa Mafia!
 
Back
Top Bottom