Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kama ni kweli ni mwenyewe kabisa nitampiga picha nikitoka jobHii kama ni kweli ni dharau kwa mahakama na utawala wa sheria...
Lazima ufutwe maana hawa jamaa wa humu ni wakuda hatariHiyo ni uhakika ni yeye ameingia hapa mtaani tangia juzi na Leo ameonekana neio maana nikaleta huu Uzi na najua utafutwa
Ni hatari sanaLazima ufutwe maana hawa jamaa wa humu ni wakuda hatari
Wewe unakaa mtaa gani? Fafanua tujue huo mtaa tukafatilie usituletee ngonjera hapa.Hiyo ni uhakika ni yeye ameingia hapa mtaani tangia juzi na Leo ameonekana neio maana nikaleta huu Uzi na najua utafutwa
Picha sio muhimu ,cha msingi yupo uraianiTanzania ni moja kati ya nchi ambayo ukiwa askari ni utaogopwa sana.
Inasemekana mmoja wa wale waliohukumiwa maisha jela kosa kosa la kubaka na kumlawiti binti wa yombo, maarufu Nyundo yupo uraiani tangia juzi!
Kama ni kweli, hii inaonesha kuna janjajanja zimefanyika.
Kuwa makini wakati unapiga picha yako.Sio kama ni kweli ni mwenyewe kabisa nitampiga picha nikitoka job
Hasira za kupigwa na maisha usizilete kwanguWewe unakaa mtaa gani? Fafanua tujue huo mtaa tukafatilie usituletee ngonjera hapa.
Ile ilikuwa movie iliyochezwa kiustadi kuzima kelele za kifo cha Ally Kibao kilichofanywa na polisi na tiss.Hii kama ni kweli ni dharau kwa mahakama na utawala wa sheria...
Mpige picha kwa siri utume humuTanzania ni moja kati ya nchi ambayo ukiwa askari ni utaogopwa sana.
Inasemekana mmoja wa wale waliohukumiwa maisha jela kosa kosa la kubaka na kumlawiti binti wa yombo, maarufu Nyundo yupo uraiani tangia juzi!
Kama ni kweli, hii inaonesha kuna janjajanja zimefanyika.
Sawa mkuuMpige picha kwa siri utume humu
Usisubiri kukutana naye, maana anaweza kujificha, piga picha nyumba anayoishi ili tuamini kuwa mnakaa majiraniAmeshakanyaga huyo mmoja ambaye alikua maarufu sana ni jirani yetu huku ngoja nikipata kukutana nae tena nitampiga picha Ili umuone vizuri