Nyundo na wenzie wako gereza gani tukawatembelee?

Nyundo na wenzie wako gereza gani tukawatembelee?

Watu wazima na akili zao wako busy kutoa tuhuma na kulalamika kwa maneno ya kusikia. Inasemekana inasemekana. Thibitisha kwanza ndio ulete hapa, mambo ya kufanya ni mengi.​
 
Hii kama ni kweli ni dharau kwa mahakama na utawala wa sheria...
 
Kwani ile si ilikuwa drama . Kuna movie yoyote mtu anafungwa kweli au anakufa kweli kweli?
CCM watawachezesha drama Watanzania miaka nenda rudi
 
Hiyo ni uhakika ni yeye ameingia hapa mtaani tangia juzi na Leo ameonekana neio maana nikaleta huu Uzi na najua utafutwa
Wewe unakaa mtaa gani? Fafanua tujue huo mtaa tukafatilie usituletee ngonjera hapa.
 
Tanzania ni moja kati ya nchi ambayo ukiwa askari ni utaogopwa sana.

Inasemekana mmoja wa wale waliohukumiwa maisha jela kosa kosa la kubaka na kumlawiti binti wa yombo, maarufu Nyundo yupo uraiani tangia juzi!

Kama ni kweli, hii inaonesha kuna janjajanja zimefanyika.
Picha sio muhimu ,cha msingi yupo uraiani
 
Niliwaambia mkanitukana kwamba sijui sheria
 
Tanzania ni moja kati ya nchi ambayo ukiwa askari ni utaogopwa sana.

Inasemekana mmoja wa wale waliohukumiwa maisha jela kosa kosa la kubaka na kumlawiti binti wa yombo, maarufu Nyundo yupo uraiani tangia juzi!

Kama ni kweli, hii inaonesha kuna janjajanja zimefanyika.
Mpige picha kwa siri utume humu
 
Ameshakanyaga huyo mmoja ambaye alikua maarufu sana ni jirani yetu huku ngoja nikipata kukutana nae tena nitampiga picha Ili umuone vizuri
Usisubiri kukutana naye, maana anaweza kujificha, piga picha nyumba anayoishi ili tuamini kuwa mnakaa majirani
 
Back
Top Bottom