Nywele za huyu mwanamke zinatoa harufu mbaya

Nywele za huyu mwanamke zinatoa harufu mbaya

ESPIRIT

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2014
Posts
665
Reaction score
524
Huwa nikipishana na baadhi ya wanawake nywele zao hutoa harufu kali.

Hujiuliza, kitandani mnalalaje na waume zenu?

Hii haichangii mwanaume kuchepuka kweli?
 
Hahahaah umenifanya ninuse nywele zangu nisije kuwa mmoja wapo katika ya hao lol
 
Bora mkuu useme wew yani mpaka kelo ila tunavunga tu japo cha moto tunakiona
 
.....kumbe sio papuchi tu mpaka nywele..,..zinatoa harufu...duhhhhhh"!!!
 
Hahahaah umenifanya ninuse nywele zangu nisije kuwa mmoja wapo katika ya hao lol

Zako hazinuki somo...nazijuaa...

Kuna watu inaweza kukata miezi miwili nywele hazijui maji....!
 
Asili ya mwanamke ni usafi kwa kuwa ni pambo na ni ua linalo vutia...ndio maana mwanamke anapokuwa mchafu anakuwa kero.....hali kadhalika mwanaume akiwa hakuna anayeshangaa kwa kuwa Asili yake ni kutafuta...
 
Aisee, kweli. Wanaume mna kazi. Ukizingatia inapigwa maspray na pink lotion daily, mweeh!
 
Hapa ndo nashindwa kuwaelewa wanawake. Anashonea/kusukia hayo manywele na ataishi nayo kwa miezi...no water no nothing eksee! Amesuka miezi miwili...aaaah! So disgusting!!
 
Hizo nywele zikisukiwa unaweza kuosha kila wiki. Ni tabia tu, au na kubania jela ya saluni? Acheni ubahili muwezeshe mabbebbzzz
Hapa ndo nashindwa kuwaelewa wanawake. Anashonea/kusukia hayo manywele na ataishi nayo kwa miezi...no water no nothing eksee! Amesuka miezi miwili...aaaah! So disgusting!!
 
Mwanaume atoe harufu nisimshangae?kama mtafutaji ndo anuke?
Asili ya mwanamke ni usafi kwa kuwa ni pambo na ni ua linalo vutia...ndio maana mwanamke anapokuwa mchafu anakuwa kero.....hali kadhalika mwanaume akiwa hakuna anayeshangaa kwa kuwa Asili yake ni kutafuta...
 
Back
Top Bottom