Nywele za huyu mwanamke zinatoa harufu mbaya

Nywele za huyu mwanamke zinatoa harufu mbaya

Nilikuwa nasafiri kwenda mkoani nikawa nimekaa seat moja na Dada fulani.Yaani huo mnuko uliokuwa unafumuka kichwani ni balaa.
 
Kunuka aina cha asili wala bandia ni uchafu tu...
Nywele asili pia zinawekwa mafuta na joto la Dar kwa nini zisinuke...
Kinachonuka ni jasho linalochanganyika na mafuta...hakuna cha uasili wala fake hapo...dawa ni usafi...

Kuwa na short air ni better kwani waweza kuosha daily...
Ukishindwa (maana urembo muhimu) basi nenda salon mara mbili kwa wiki...

Za asili hazina shida. Ni yale ya bandia!
 
Teh teh teh...wanaume wengi hawaelewi logic ya kuoga bila kuweka maji kichwani...
Sometimes huwa naamua kuwa na nywele fupi; basi mume wangu anafurahi na anajitolea kuwa kinyozi wangu (and he is the best ever)

Ila napenda urembo..nikifuga nywele najitahidi nisimkwaze...naosha mara kwa mara si daily though...

ila kutokuosha kichwa wiki lote hata haiwashi?
 
Teh teh teh...wanaume wengi hawaelewi logic ya kuoga bila kuweka maji kichwani...
Sometimes huwa naamua kuwa na nywele fupi; basi mume wangu anafurahi na anajitolea kuwa kinyozi wangu (and he is the best ever)

Ila napenda urembo..nikifuga nywele najitahidi nisimkwaze...naosha mara kwa mara si daily though...

Teh teh switheart kwa nini usimpe mumeo kitu anapenda jamani??
 
Teh teh teh...wanaume wengi hawaelewi logic ya kuoga bila kuweka maji kichwani...
Sometimes huwa naamua kuwa na nywele fupi; basi mume wangu anafurahi na anajitolea kuwa kinyozi wangu (and he is the best ever)

Ila napenda urembo..nikifuga nywele najitahidi nisimkwaze...naosha mara kwa mara si daily though...
ila heri umvutie mmeo,fanya au ufanye yale mmeo anaridhika,kuliko kuliko kumlletea utata
 
Mpeleke saloon akaoshe......

Nipo very sensitive na smell , and I hate bad smell.
 
Kunuka aina cha asili wala bandia ni uchafu tu...
Nywele asili pia zinawekwa mafuta na joto la Dar kwa nini zisinuke...
Kinachonuka ni jasho linalochanganyika na mafuta...hakuna cha uasili wala fake hapo...dawa ni usafi...

Kuwa na short air ni better kwani waweza kuosha daily...
Ukishindwa (maana urembo muhimu) basi nenda salon mara mbili kwa wiki...

You nailed it , dawa ya nywele kuoshwa tu hamna nyingine........
Dreadlocks za mbebs nazisubiria kwa hamu ,ila kuzihudumia nitakomaje
 
Duh comment kama hizi ni chache sana humu!mabachela(Girls) mwaka huu wao!kwi! Kwi! Kwi!
Teh teh teh...wanaume wengi hawaelewi logic ya kuoga bila kuweka maji kichwani...
Sometimes huwa naamua kuwa na nywele fupi; basi mume wangu anafurahi na anajitolea kuwa kinyozi wangu (and he is the best ever)

Ila napenda urembo..nikifuga nywele najitahidi nisimkwaze...naosha mara kwa mara si daily though...
 
Umegeneralize mbona...wengine tunaosha kila wiki...mtoe hela mabeby wenu washonee weaving orijino ili waweze kuosha

Sijatoa general conclusion, nimesema kuna hao wanaoshonea
 
Nishawahi sikia hiyo harufu hasa mtu akifumuliwa...Huwa wengi wakisuka weaving nahisi ni jasho halafu kukaa muda mrefu bila kuosha..sababu nywele Original zinakuwa zimesukwa mistari, halafu kaongezea Weaving juu so zinakuwa nywele juu ya nywele na akikaa nazo muda mrefu, mijasho huwa zinatoa harufu kweliii..

Ila sielewi ni huwa hawazisikii au lah..

Hii pia ni sawa na ile harufu ya Kikwapa..Mtu akiingia km ni ofisini akitoka harufu yoote anaiacha, au km ni koridoni harufu yoote anaiacha sielewi huwa hajisikii au vipi....Yaani sielewiii




Huwa nikipishana na baadhi ya wanawake nywele zao hutoa harufu kali.

Hujiuliza, kitandani mnalalaje na waume zenu?

Hii haichangii mwanaume kuchepuka kweli?
 
Back
Top Bottom