ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Ni tabia ya uchafu mliyonayo dada /wake zetu. Kama mtu kaweza kusukia kwa sh.50000 kwa nini ashindwe kuosha kwa sh.5000?Hizo nywele zikisukiwa unaweza kuosha kila wiki. Ni tabia tu, au na kubania jela ya saluni? Acheni ubahili muwezeshe mabbebbzzz