Nywele za huyu mwanamke zinatoa harufu mbaya

Nywele za huyu mwanamke zinatoa harufu mbaya

Hizo nywele zikisukiwa unaweza kuosha kila wiki. Ni tabia tu, au na kubania jela ya saluni? Acheni ubahili muwezeshe mabbebbzzz
Ni tabia ya uchafu mliyonayo dada /wake zetu. Kama mtu kaweza kusukia kwa sh.50000 kwa nini ashindwe kuosha kwa sh.5000?
 
Wale wasuka rasta na kusukia yale manywele ya hovyo. Inaboa kinoma
 
Hapa ndo nashindwa kuwaelewa wanawake. Anashonea/kusukia hayo manywele na ataishi nayo kwa miezi...no water no nothing eksee! Amesuka miezi miwili...aaaah! So disgusting!!

Mkuu umesahau kujumlisha joto kwa wale waishio Dar, usiombe kukaa nae karibu kwenye daladala, harufu ka kimba
 
Usafi ni hulka ya mtu binafsi.... Ukikutana na mwanamke ananuka nywele,basi ni mchafu kila kitu.... Na kama ameolewa,mumewe nae ni mchafu kupindukia. Wanawake wengi wanajali muonekano wa nje....
 
Za asili hazina shida. Ni yale ya bandia!
 
Ni tabia ya uchafu mliyonayo dada /wake zetu. Kama mtu kaweza kusukia kwa sh.50000 kwa nini ashindwe kuosha kwa sh.5000?

ni uchafu wao tu hata ukisuka rasta/ kimasai kuosha ni dakika tu saluni na kukausha
 
Msilalamike ndio mjitahidi kuwahimiza waende saloon kila weekend,na kama hana kipato MF mwanafunzi,housewives mjiongeze kuwahudumia.
 
Msilalamike ndio mjitahidi kuwahimiza waende saloon kila weekend,na kama hana kipato MF mwanafunzi,housewives mjiongeze kuwahudumia.
Tabia ni kama ngozi..kuibadilisha labda kwa mchina!!!
Kama unadate na mdada mchafu hata ufanyaje habadiliki..
 
Wadada jikubalini bana aah. Mungu kakupa nywele natural,unaona haitoshi mpaka ufunge mzigo mwingine. Ya nin, na ili iweje? Binafsi sipendi wadada wa dizain hiyo #teamwigiz
 
Huwa nikipishana na baadhi ya wanawake nywele zao hutoa harufu kali.

Hujiuliza, kitandani mnalalaje na waume zenu?

Hii haichangii mwanaume kuchepuka kweli?

Endelea Zaidi Kujiuliza Kama Nywele Tu Zinazopigwa Na Upepo Kila Mara Zinanuka Hivyo Je Na Zile Zilizopo UVUNGUNI Tena Zikiwa Zimefichwa Na Joto Hili Kali Zitakuwa ktk Hali Gani?
 
Asili ya mwanamke ni usafi kwa kuwa ni pambo na ni ua linalo vutia...ndio maana mwanamke anapokuwa mchafu anakuwa kero.....hali kadhalika mwanaume akiwa hakuna anayeshangaa kwa kuwa Asili yake ni kutafuta..

Umenishangaza sana hapo kwenye red, kwa hiyo mtu akiwa anatafuta basi ruksa kunuka au kuwa mchafu?
Hivi wanawake hawatafuti?
Hapa wewe hujaweka hoja za msingi kabisa.
 
Yan n tatizo kubwa kwa wanawake wanaotaka uzuri pasipo na uwezo nywele hazioshwi mwez mzima unategemea nn!!!!!!
 
Back
Top Bottom