mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,162
- 796
zinatupwa wapi recommendedNahisi kuna ukwel ndani yake....maana inashangaza hata mtoto akizaliwa inakubidi umnyoe nywele zote....sikuwahi kupata jibu ukimuacha inakuaje
cc@mkuu mshana jr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zinatupwa wapi recommendedNahisi kuna ukwel ndani yake....maana inashangaza hata mtoto akizaliwa inakubidi umnyoe nywele zote....sikuwahi kupata jibu ukimuacha inakuaje
Hisia zangu kwa muonekano wakeMmh ulijuaje kuwa ni za siri?[emoji22] [emoji102] [emoji15] between iko hivi kuna wanga walikuja kufanya yao hapo na kusahau kusafisha
lkn chooni ndio majini/mashetani yalipo. huoni ndio unawapelekea nyumba yao, mathalani nywele za mtoto mchangaMaranyingi chooni
Tunaonyoa saloon vipi?Ndomaana nivizuri baada ya kunyoa nywele uzichimbie na kuzifukia, ila kabla unatakiwa uangalie kushoto na kulia kama kuna anaye kuona. Kama hayupo fukia kisha sepa!!
DNA yako inaweza tambulika kwa nywele zako, sidhani kama ni dead call kiivyo kama bado inaweza julikana kwa vipimo.nywele ni dead cells hazina athari yo yote ila ni kinyaa (karaha) kutupa nywele ovyo, ni rahisi kuingia kwenye chakula.
Kuna jinsi za kuzitumia ni mpaka mwanadamu alichukue yenyewe hayawezi hasa zikiwa zimeshachanganyika na uchafulkn chooni ndio majini/mashetani yalipo. huoni ndio unawapelekea nyumba yao, mathalani nywele za mtoto mchanga
We mshana acha kudanganya hapaKuna jinsi za kuzitumia ni mpaka mwanadamu alichukue yenyewe hayawezi hasa zikiwa zimeshachanganyika na uchafu
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]DNA yako inaweza tambulika kwa nywele zako, sidhani kama ni dead call kiivyo kama bado inaweza julikana kwa vipimo.
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120][HASHTAG]#mshana jr[/HASHTAG] yuko sahihi kabisa kwenye hili mimi ni muislamu na kwa mujibu ya mafundisho yetu alirogwa kwa nywele yake iliyobaki kwenye kitana na ALLAH MTUKUFU akamsaidia akamponesha,
Na kurogwa kwake hakukuhusika kwenye kuathiri mambo ya mafundisho aliyokuwa akifundisha ilikuwa ni kuhusu vitu personal vya kwake kama kusahau, uchovu nk.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Na wapo waislamu wanaopinga kuwa haiwezekani MTUME wetu kipenzi kurogwa kwa maana angetoa mafunzo ya kiibilisi, lakini sio kweli hiyo hadeeth ni saheeh kabisa na ALLAH MTUKUFU ndio aliacha arogwe lakini asingeacha mafundisho yaharibiwe kwa maana hata huko kurogwa kwake ni mafundisho pia, yote ilikuwa kutuonesha kuwa na yeye alikuwa ni BINAADAMU na pia kuonesha UCHAWI UPO, hivyo tujitahadhari nao na wala tusishiriki,
Nimewasilisha kadri nlivyojaaliwa,ALLAH MTUKUFU anajua zaidi, niko tayari kuelimishwa zaidi.
Kuna wachawi usipomnyoa nywele za kuzaliwa nazo akatoka nazo nje wakiziona tu basi mwanao anakufa. Yaani wachawi wana zongo na hizo nywele.Nahisi kuna ukwel ndani yake....maana inashangaza hata mtoto akizaliwa inakubidi umnyoe nywele zote....sikuwahi kupata jibu ukimuacha inakuaje
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]Kuna wachawi usipomnyoa nywele za kuzaliwa nazo akatoka nazo nje wakiziona tu basi mwanao anakufa. Yaani wachawi wana zongo na hizo nywele.