Kipaji Halisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 2,280
- 1,363
Mmh something weird hapomitaa ya bi mkubwa wangu,kuna mtoto hajawahi kunyolewa nywele toka azaliwe,na hafugi rasta ziko kama afro,ila kikubwa zaidi mama yake ni mchungaji ,zamani alikua anasaidia wamama kupata watoto,Mchungaji ester
Ufanye nini unapokuta nywele/ndevu zimenyolewaKuna mambo ya kushangaza ambayo kwasababu ileile ya kimapokeo na mazoea huwa hatuyahoji au hatuna muda wa kufuatilia na pengine tunaridhika tu na hivyo yalivyo.
Nywele hizi zetu za kichwani zinabeba siri kubwa ambayo ina mawasiliano ya moja kwa moja na kuzimu au na roho zinazotangatanga.
Hebu tujihoji haya;
- Kwanini baadhi ya imani ni marufuku na hairuhusiwi kwa mwanamke kuonyesha nywele zake hadharani?
- Kwanini mchawi/mwanga anapokamatwa hukatwa nywele zote ili kummaliza nguvu zake?
- Kwanini chizi kichaa au mwendawazimu hunyolewa nywele kama sehemu ya tiba?
- Kwanini wachawi na waganga wengi hutumia nywele kama sehemu ya uchawi/ulozi wao?
Historia ya nywele kuhusiana na roho na nguvu za kiza inaanzia mbali sana miaka elfu nyingi iliyopita kwenye habari za Biblia takatifu kisa cha Samsoni na Delilah pale Mwenyezi Mungu alipoweka nguvu isiyomithilika kwenye nywele za Samsoni lakini shetani kupitia Delilah alimrubuni Samsoni na Samsoni akatoa siri ya nguvu zake.
Ni kutoka hapo ile nguvu ya kimungu iliyowekwa kwenye nywele za Samsoni iligeuka na kuwa nguvu ya kishetani na kufanya maangamizi makubwa, tangu hapo nywele imekuwa ni kitu kinachohusishwa na roho chafu na mapepo.
Tumia hiyo tiba zitaota japo zitachukua muda sanaShukran mwanzon nilidhani ni kovu sasa nikajiuliza kovu gani ambalo sikuwahi kujikata au kuumia sehemu hiyo jana nilikuwa kwa kinyozi ktk stor kasema nilinyolewa
Na hiyo sehemu ndevu zimeacha kuota kabisa na kufanya niwe nalazimika kunyoa wakati style yangu ni kufuga ndevu dah
Hii Imekaa vipi kwa watu wenye Imani ya Rastafarian?Kuna mambo ya kushangaza ambayo kwasababu ileile ya kimapokeo na mazoea huwa hatuyahoji au hatuna muda wa kufuatilia na pengine tunaridhika tu na hivyo yalivyo.
Nywele hizi zetu za kichwani zinabeba siri kubwa ambayo ina mawasiliano ya moja kwa moja na kuzimu au na roho zinazotangatanga.
Hebu tujihoji haya;
- Kwanini baadhi ya imani ni marufuku na hairuhusiwi kwa mwanamke kuonyesha nywele zake hadharani?
- Kwanini mchawi/mwanga anapokamatwa hukatwa nywele zote ili kummaliza nguvu zake?
- Kwanini chizi kichaa au mwendawazimu hunyolewa nywele kama sehemu ya tiba?
- Kwanini wachawi na waganga wengi hutumia nywele kama sehemu ya uchawi/ulozi wao?
Historia ya nywele kuhusiana na roho na nguvu za kiza inaanzia mbali sana miaka elfu nyingi iliyopita kwenye habari za Biblia takatifu kisa cha Samsoni na Delilah pale Mwenyezi Mungu alipoweka nguvu isiyomithilika kwenye nywele za Samsoni lakini shetani kupitia Delilah alimrubuni Samsoni na Samsoni akatoa siri ya nguvu zake.
Ni kutoka hapo ile nguvu ya kimungu iliyowekwa kwenye nywele za Samsoni iligeuka na kuwa nguvu ya kishetani na kufanya maangamizi makubwa, tangu hapo nywele imekuwa ni kitu kinachohusishwa na roho chafu na mapepo.
Imani ya Rastafarian inaambatana na kufuga nywele ndefu sana na matumizi ya bhangi ....bhangi na mapepo ni vitu viwili tofauti kabisaHii Imekaa vipi kwa watu wenye Imani ya Rastafarian?
Naomba ufafanuzi Kaka
Give Thanks my BredrinImani ya Rastafarian inaambatana na kufuga nywele ndefu sana na matumizi ya bhangi ....bhangi na mapepo ni vitu viwili tofauti kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto wa rafiki yangu hajanyolewa mwaka wa pili sasa. Miaka miwili anapiga Piano na Keyboard, anatumia Kompyuta, Simu, Smart TV anaweza kuendeshwa Hover Board na anaelewa lugha tatu Kituruki, Kijerumani na KiSwahili.Nahisi kuna ukwel ndani yake....maana inashangaza hata mtoto akizaliwa inakubidi umnyoe nywele zote....sikuwahi kupata jibu ukimuacha inakuaje
Ni malighafi muhimu hasa kwenye kumfunga mtu mambo yakeInakuaje watu wanachukua nywele za watu na kuzitumia kufanikishaambo Yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana asilimia kubwa tayari ya watoto wa siku hzi wanadata wakati bado hata hawajabalehe. Usasa umetuharibu sana.Ni kumi kwa moja halafu asilimia kubwa ni hiki kizazi chetu wazee wa zamani huthubutu kumuacha mtoto na nywele alizotoka nazo tumboni
Ila mwamba (samson) alikuwa na nguvu balaa maana alikuwa anawashika simba kama anavyopenda na kuwatia adabu na tena simba wa enzi hzo walikuwa wakubwa balaa si kama hawa wetu wa Serengeti and the like.
Mkuu; Wachagga = Wayahudi(Taifa la Israel). Kwa sababu Zamani (ref.Biblia), Wayahudi walinyoa nywele, walirarua mavazi yao, walivaa magunia na kujipaka majivu kama ishara ya kuomboleza au kujuta/ kutubu kwa matendo yao maovu na kuomba msamaha.Kwa mambo kama haya bila ulinzi wa Mungu mwanadam hakika hafurukuti
Nakumbuka kule kwetu uchagani ukitokea msiba siku ya 3 au ya 4 baada kuzika inaitwa siku ya kuanua tanga na nilazima kila mwana ndugu mhusika wa karibu anyolewe nywele sahem karibu na paji la uso na kisha kuzichimbia sehemu. mshana jr hii ina weza husika na na ulichokisema au ni kawaida tu?