Naamini ulitaka kusema WAKALA...! Hapana mimi sio WAKALA[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka, ila nimezidi kukushanga mzee unajuwa siri za hivi, mshana ehh taratibu unazingua wewe ni wakaka ama.... Ahhh unanitisha mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe wewe yeboyebo[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ukitaka kugundua Mkuu, mabinti wengi 90% are always possessed with evil spirits lakini wao hata kushituka. My pastor hataki kabisa kusikia hii habari ya nywele za bandia..Ndio maana mabint wengi siku hizi hawajielewi kumbe kuna mchango wa hizi sijui Chile sijui brazilan tabu kweli kweli.Yaani binadamu amekuwa kama kuku wa Dar hakuna kinachotupwa kila kitu malighafi.
Ni kweli ambayo hawaitaki tena wengine zombie si zombie msukule si msukule yaani hajulikani akhera wanamtafuta duniani wanamuulizia.Kuna kitu nilisoma mwandishi anasema"the graceful giraffe cannot become a monkey"nilimuelewa sana nadhani ilikuwa song of lawino hawaridhiki wapo radhi watumie hata mafuta ya transformer wawe weupe.Ukitaka kugundua Mkuu, mabinti wengi 90% are always possessed with evil spirits lakini wao hata kushituka. My pastor hataki kabisa kusikia hii habari ya nywele za bandia..
Hao wa hivyo wachunguze vizuri maisha yao utakuta hayana uchaji wala upako wa KimunguIla mshana kuna wamama wake wa wachungaji wanavaa sana mawigi na hata watumishi wa karibu wa wachungaji.inamaana wachungaji hawayajui haya wakayakemea hata kwa wake zao.sina uhakika ila nahisi hata mama rwakatale anavaaga yule
Miaka saba? Mmh ngumu kumesa...siku mkimnyoa atawapa ushuhuda wa ajabu mnoukimuacha hakuna tatizo lolote, mimi nina mtoto wa dada yangu, wa kike, tokea anazaliwa namuona, hajawahi nyolewa nywele tokea tumboni mwa mamake mpaka leo ana miaka saba....yuko kawaida tu
Yaani mpk zinaisha kichwani,hakuna connection na haya mamboHao hawana nywele
Kuna mambo ya kushangaza ambayo kwasababu ileile ya kimapokeo na mazoea huwa hatuyahoji au hatuna muda wa kufuatilia na pengine tunaridhika tu na hivyo yalivyo.
Nywele hizi zetu za kichwani zinabeba siri kubwa ambayo ina mawasiliano ya moja kwa moja na kuzimu au na roho zinazotangatanga.
Hebu tujihoji haya;
- Kwanini baadhi ya imani ni marufuku na hairuhusiwi kwa mwanamke kuonyesha nywele zake hadharani?
- Kwanini mchawi/mwanga anapokamatwa hukatwa nywele zote ili kummaliza nguvu zake?
- Kwanini chizi kichaa au mwendawazimu hunyolewa nywele kama sehemu ya tiba?
- Kwanini wachawi na waganga wengi hutumia nywele kama sehemu ya uchawi/ulozi wao?
Historia ya nywele kuhusiana na roho na nguvu za kiza inaanzia mbali sana miaka elfu nyingi iliyopita kwenye habari za Biblia takatifu kisa cha Samsoni na Delilah pale Mwenyezi Mungu alipoweka nguvu isiyomithilika kwenye nywele za Samsoni lakini shetani kupitia Delilah alimrubuni Samsoni na Samsoni akatoa siri ya nguvu zake.
Ni kutoka hapo ile nguvu ya kimungu iliyowekwa kwenye nywele za Samsoni iligeuka na kuwa nguvu ya kishetani na kufanya maangamizi makubwa, tangu hapo nywele imekuwa ni kitu kinachohusishwa na roho chafu na mapepo.