Gojaga Nize
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 2,799
- 1,809
Biblia toleo jipyaSamson hakushindwa kwa ajili ya nywele. Samson alifanya ngono kupita kiasi,akawa mdhaifu. Hata wanariadha wanaambiwa kuacha ngono wakati wa mazoezi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biblia toleo jipyaSamson hakushindwa kwa ajili ya nywele. Samson alifanya ngono kupita kiasi,akawa mdhaifu. Hata wanariadha wanaambiwa kuacha ngono wakati wa mazoezi.
Lobsang Rampa kitabu cha Twilight,chapter 5,anaongea kuhusu Samson and DelilahHili nalo jipya halafu geni kwangu
Mkuu kipindi cha nyuma niliwahi kuamka asubuhi nimenyolewa nywele kidogo, na wengi tu walikuwa wanaamka asubuhi na kukuta wamenyolewa kiduara, na wengine zilikuwa zikichukua muda sana kuota! Inamaanisha nn hiyo?Kuna mambo ya kushangaza ambayo kwasababu ileile ya kimapokeo na mazoea huwa hatuyahoji au hatuna muda wa kufuatilia na pengine tunaridhika tu na hivyo yalivyo.
Nywele hizi zetu za kichwani zinabeba siri kubwa ambayo ina mawasiliano ya moja kwa moja na kuzimu au na roho zinazotangatanga.
Hebu tujihoji haya;
- Kwanini baadhi ya imani ni marufuku na hairuhusiwi kwa mwanamke kuonyesha nywele zake hadharani?
- Kwanini mchawi/mwanga anapokamatwa hukatwa nywele zote ili kummaliza nguvu zake?
- Kwanini chizi kichaa au mwendawazimu hunyolewa nywele kama sehemu ya tiba?
- Kwanini wachawi na waganga wengi hutumia nywele kama sehemu ya uchawi/ulozi wao?
Historia ya nywele kuhusiana na roho na nguvu za kiza inaanzia mbali sana miaka elfu nyingi iliyopita kwenye habari za Biblia takatifu kisa cha Samsoni na Delilah pale Mwenyezi Mungu alipoweka nguvu isiyomithilika kwenye nywele za Samsoni lakini shetani kupitia Delilah alimrubuni Samsoni na Samsoni akatoa siri ya nguvu zake.
Ni kutoka hapo ile nguvu ya kimungu iliyowekwa kwenye nywele za Samsoni iligeuka na kuwa nguvu ya kishetani na kufanya maangamizi makubwa, tangu hapo nywele imekuwa ni kitu kinachohusishwa na roho chafu na mapepo.
Ukinyolewa na hakuna madhara yanayotokea ujue nywele zako zimechukuliwa kama malighafi ya kwenda kuumiza wengineMkuu kipindi cha nyuma niliwahi kuamka asubuhi nimenyolewa nywele kidogo, na wengi tu walikuwa wanaamka asubuhi na kukuta wamenyolewa kiduara, na wengine zilikuwa zikichukua muda sana kuota! Inamaanisha nn hiyo?
Chuo nilichosoma mimi hatukuruhusiwa kufuga nywele na tulikuwa tunanyoa kwa mwezi mara mbili na ilikuwa imo kwenye ratiba ya chuo na haikuwezekana usinyoe unaweza hata kufukuzwa chuo ukikaidi
[emoji3] za kichwani nyingine zote zina majina yake
Kile kingine kinaitwa kitwakichwa kipi,manake na vichwa navyo vipo vingi mkuu
Vipi ile brazilian wax katika sehemu adimu?Huyu mshana jr ana tatizo........basi itabidi tunyoe nywele zote maana atakuja na story ya Brazilian wigs na weaves zina majini...................
Jaribu kutuliza akili Mkuu,kama wewe mtoto wako alinusurika sio wote wangenusirika.Siyo kweli hizo ni imani potofu,mbona mimi mwanangu nilianza kumnyoa nywele akiwa mkubwa!!!.