Obama aichafua Kenya...

Obama aichafua Kenya...

ZeMarcopolo,
Umefatilia ule uzi wa Magwiji wapiganaji Wanasheria watakao iwakilisha CORD pale Supreme Court? ni Balaaaa tupu ndugu. Pia ile Barua ya Mungiki aliyoitoa CJ Dr Willy Mutunga Iliwachefua sana Uhruto..Kiasi kwamba inasemekana Wasingemwongeza Second Term. Sasa basi,nina wasiwasi Kunawezekana Uraisi ukawa wa Wiki mbili thereafter ukaota mbawa. Dr Willy Mutunga si Mkikuyu, so no guaranteed favour!
Yetu macho,

Uhuru yuko kwenye jitahada za kumvuta Raila kwenye serikali lakini sasa kwa katiba hii sidhani kama atakuwa na offer yenye caliber ya Raila!

Akifanikiwa kumshawishi aachane na maneno ya kesi mambo yatakuwa Rais.

Kiambu Mafia nao watadeal na Mungiki head-on...
 
Ila Obama akifanya mchezo wale al shabab wanaweza kuwa na free heaven pale somalia. Jamaa anaweza kuacha al qaida wawekeze mizizi kwenye horn of Africa...

it is obvious, CIA walivyo washenzi wanaweza kuwa-empower alshabaab kwa silaha nzito mpaka jeshi la kenya likashangaa, pia KSH inaweza kusukiwa mizengwe ikashuka thamani...lets hope hili halitatokea.
 
Wait a minute bro! do not read too much in that remark!! kauli hiyo haina maana ya kulinganisha Kenya na Syria moja kwa moja bali ni lazima tukubali kwamba hizo nchi mbili zimekuwa "News makers" kwa kiasi kikubwa katika siku za karibuni for obvious reasons, and their stories needed to be told; please do not jump the gun!
 
pongezi WATANZANIA kwa maneno na umbeya mnaweza bila kuwezeshwa. Thats our end.
 
Kauli ya John Kerry baada ya Kenyatta kutangazwa mshindi ni hii

"On behalf of the United States of America, I want to congratulate the people of Kenya for voting peacefully on March 4 and all those elected to office. Across the country, Kenyans turned out by the millions to exercise their most fundamental democratic right. I am inspired by the overwhelming desire of Kenyans to peacefully make their voices heard, and I applaud the patience they have shown as votes were tallied.Foremost in our minds is a desire to see the will of the Kenyan people expressed freely and fairly. We strongly urge all parties and their supporters to peacefully address any disputes with today’s announcement by the Independent Electoral and Boundaries Commission through the Kenyan legal system, rather than on the streets. These elections are an historic opportunity for the people of Kenya to come together to build a better future. Since its independence in 1963, Kenya has been one of America’s strongest and most enduring partners in Africa. We stand with you at this historic moment and will continue to be a strong friend and ally of the Kenyan people."

si kauli nzuri hata kidogo kwa Jubilee. Uhuru afanye kazi ya ziada kukubalika kimataifa kama atavuka kizingiti cha Raila mahakamani
 
si kauli nzuri hata kidogo kwa Jubilee. Uhuru afanye kazi ya ziada kukubalika kimataifa kama atavuka kizingiti cha Raila mahakamani

Tatizo Uhuru naye amechagua confrotational approach. Kwenye speech yake ya kupokea Urais anasema mataifa ya magharibi lazima yatambue na kuheshimu maamuzi ya wakenya. Haya mataifa huwa yanahitaji kudeal nayo kidiplomasia, ukishinda nao wanaweza kukukomoa tu kama walivyomfanyia Mugabe.
 
Hii ngoma bado mbichi.

Statement ya Ban Ki-moon hii hapa:

"The Secretary-General has noted the results of Kenya's presidential election announced today by the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC). He congratulates the people of Kenya for their impressive determination to participate peacefully in the elections, and for the patience they have demonstrated while awaiting the results.
The Secretary-General spoke by phone yesterday with Mr. Kenyatta and Mr. Odinga. He reiterated his call for both leaders to send clear messages of calm to their supporters, and he reminded them of the commitments they have made throughout this process to channel any electoral grievances through the established legal avenues. He therefore welcomes the measured statements both have made since the announcement of results. Kenyans are depending at this time on wise and responsible leadership."
 
Hii ngoma bado mbichi.

Statement ya Ban Ki-moon hii hapa:

"The Secretary-General has noted the results of Kenya's presidential election announced today by the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC). He congratulates the people of Kenya for their impressive determination to participate peacefully in the elections, and for the patience they have demonstrated while awaiting the results.
The Secretary-General spoke by phone yesterday with Mr. Kenyatta and Mr. Odinga. He reiterated his call for both leaders to send clear messages of calm to their supporters, and he reminded them of the commitments they have made throughout this process to channel any electoral grievances through the established legal avenues. He therefore welcomes the measured statements both have made since the announcement of results. Kenyans are depending at this time on wise and responsible leadership."

Statement hii ina ubaya gaji mkuu!
 
Ninachokiona ni juu ya marekani kuamini kuwa wakenya hawakufanya sahii kumchagua mtu mwenye kesi ICC wakati mda wowote watatakiwa the ICC kujibu shitaka linalowakabili na hikiwa hivyo watafanya kazi kama omar bashir hakuna kwenda nje!
 
Wait a minute bro! do not read too much in that remark!! kauli hiyo haina maana ya kulinganisha Kenya na Syria moja kwa moja bali ni lazima tukubali kwamba hizo nchi mbili zimekuwa "News makers" kwa kiasi kikubwa katika siku za karibuni for obvious reasons, and their stories needed to be told; please do not jump the gun!

Mkuu MTK,
Kweli wa-Kenya wa mtandaoni inawezekana Kiingereza chao ni kama chetu ndiyo maana wamehamaki. Mh. Rais Obama hajafananisha Syria na Kenya ila amebainisha maeneo ya hatari kutokana na sababu mbalimbali mfano Syria ni vita ya wenyewe kwa wenyewe na Kenya ni masuala ya wapiganaji wa Al-Shabab ndani ya Kenya huko Garissa n.k
 
Mkuu MTK,
Kweli wa-Kenya wa mtandaoni inawezekana Kiingereza chao ni kama chetu ndiyo maana wamehamaki. Mh. Rais Obama hajafananisha Syria na Kenya ila amebainisha maeneo ya hatari kutokana na sababu mbalimbali mfano Syria ni vita ya wenyewe kwa wenyewe na Kenya ni masuala ya wapiganaji wa Al-Shabab ndani ya Kenya huko Garissa n.k

wakenya si mchezo kwa mambo yanayohusu nchi yao.huu ni uzalendo
 
Kama Obama anaichafua Kenya, sisi kupitia Nchimbi tunaichafua wenyewe Tanzania.

Mchimbi alisema uhalifu aliofanyiwa Padri Mushi ni ugaidi na ameita FBI.

Jana tukio hili https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/415071-askofu-mokiwa-avamiwa-mlinzi-wake-taabani.html

Ugaidi unaenea kwa kasi Tanzania au vipi?

Wakimaliza kuishughulikia Kenya, wanateremka kwa vyandarua katika jiji la Dar na katika migodi na mbuga zetu kushughulikia "ugaidi".

Hivi karibuni utasikia ICC inatoa arrest warrant.


Mjomba ake amepigwa ile ya bush/kerry- florida....ana magazabu!
 
ZeMarcopolo,
Umefatilia ule uzi wa Magwiji wapiganaji Wanasheria watakao iwakilisha CORD pale Supreme Court? ni Balaaaa tupu ndugu. Pia ile Barua ya Mungiki aliyoitoa CJ Dr Willy Mutunga Iliwachefua sana Uhruto..Kiasi kwamba inasemekana Wasingemwongeza Second Term. Sasa basi,nina wasiwasi Kunawezekana Uraisi ukawa wa Wiki mbili thereafter ukaota mbawa. Dr Willy Mutunga si Mkikuyu, so no guaranteed favour!
Yetu macho,

Mkuu ukwelikitugani hivi unaongea kwa kutazama uhalisia wa African democracy au kinadharia. Kama pamoja na gharama zote za uchaguzi kufanyika kwa maana kuwa kununuliwa mitambo mipya ya computer na sheria mpya za uchaguzi lakini vyote vimeshinda kuleta majibu mbadala, kitu gani kwa sasa kinakupa guarantee kama Mr Odinga atashinda kesi ili uchaguzi urudiwe?.

Pamoja na kwamba demokrasia ina gharama, lakini gharama ya uchaguzi itakuwa ni angalizo kuu. May be, I'm wrong.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom