jb wa kanyigo
Member
- Jul 15, 2014
- 20
- 8
Mizinga atapigiwa kesho kiitifaki rais hawezi kagua gwaride usiku hata hapa inatokeaga mara nyingi tu mizinga kupigiwa state houseKoma.Yule ni rais wa marekani tu.Kila sovereign state ina mkuu wake wa kwetu ni Mh.kikwete.
hahahahaha sasa huyu naye alikuwa anafanya nini..... hawa ndio majajususi wa kenya....? ama alikuwa anaangalia usalama wa beast
Ukiwa maskini huna tofauti na mdoli. Utachezeshwa na kuchezewa.Aiseee.........
Ile dharau.........sikutegemea...........
Noma sana aisee.
Lakini tutafanyaje sasa?
Rais wa Marekani ndo rais wa dunia.
Na kwa jinsi hali ilivyo mwakani kuna uwezekano wa mwanamke kuwa rais wa Marekani,.
Sasa imagine akienda trip na mumewe ambaye naye ni rais wa zamani wa Marekani.
Wote wawili watakuwa na security detail yao.
Teh teh teh nilidhani Uhuru naye atadandia The Beast kumbe wapi bana.....
Wajua, kama ingekuwa ni mkenya anaonyesha passion ya aina hii kwa wamerika and everything American, watanzania wenzako wangedai jinsi wakenya bado mindset yao inatawaliwa na wakoloni...Noma sana aisee.
Lakini tutafanyaje sasa?
Rais wa Marekani ndo rais wa dunia.
Na kwa jinsi hali ilivyo mwakani kuna uwezekano wa mwanamke kuwa rais wa Marekani,.
Sasa imagine akienda trip na mumewe ambaye naye ni rais wa zamani wa Marekani.
Wote wawili watakuwa na security detail yao.
nimependa wapinza ni kesho watapewa dakika 45 kuongea na Obama
Watanzania tuna roho za kipumbavu sana ndio maana tunazidi kuwa maskini kila kukicha..
Aiseee.........
Ile dharau.........sikutegemea...........
acheni upashkuna
Acheni majungu na wivu wa kike.hivi mnadhani yule ni rais wa shelisheli ndo kuwe na mbwembwe?Yule ni mkuu wa dunia ndio maana alipokuja bongo mlideki barabara na kupanda minazi ya bandia.pia mateja wote na ombaomba mkawasweka ndani.sasa mnashangaa nini kwa wakenya?
Kwani mkulu wetu ilikuwaje alipokuja hapa bongo?
Angalua hapo tofauti ya Obama alipokuja TZ na Leo Kenya. Mengine mtasema wenyewe naona watu wanataka kukataa ukweli na kupotosha
https://www.youtube.com/watch?v=LQrep2xF4bg bongo alipokelewa akashiriki sherehe za uwanjani then akapigiwa mizinga 21 nk