Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

Kwa mateso Rais Kenyata aliyompa baba yake Obama hadi akafa maskini, a Harvard Graduate, hakuna jinsi Obama atampenda Uhuru Kenyata. Ni historia ila huwa haitaisha kwa kuwa Obama anafahamu kila kitu katika picha ile. Rest in Peace Mzee Obama. Marais wengi wa zamani wa kiafrica waliogopa sana wasomi hasa wale waliokuwa na uwezo wa kupambanua mambo na kuyaweka hadharani!!! Unafukuzwa kazi, unaundiwa zengwe, unatafutiwa ajali mpaka ufe au ulemae milele kama alivyolemazwa baba yake Obama. Baba yake Rais Obama hakuyakwepa haya.
 
hahahahaha sasa huyu naye alikuwa anafanya nini..... hawa ndio majajususi wa kenya....? ama alikuwa anaangalia usalama wa beast



attachment.php


Ndo jasusi lenyewe hilo...teh teh teh
 
Noma sana aisee.

Lakini tutafanyaje sasa?

Rais wa Marekani ndo rais wa dunia.

Na kwa jinsi hali ilivyo mwakani kuna uwezekano wa mwanamke kuwa rais wa Marekani,.

Sasa imagine akienda trip na mumewe ambaye naye ni rais wa zamani wa Marekani.

Wote wawili watakuwa na security detail yao.

hizo mbwembwe akifika saud arabia huwaga hafanyi...

wale ndo wanaiwezesha america kwasasa
 
Watanzania tuna roho za kipumbavu sana ndio maana tunazidi kuwa maskini kila kukicha..
 
Noma sana aisee.

Lakini tutafanyaje sasa?

Rais wa Marekani ndo rais wa dunia.

Na kwa jinsi hali ilivyo mwakani kuna uwezekano wa mwanamke kuwa rais wa Marekani,.

Sasa imagine akienda trip na mumewe ambaye naye ni rais wa zamani wa Marekani.

Wote wawili watakuwa na security detail yao.
Wajua, kama ingekuwa ni mkenya anaonyesha passion ya aina hii kwa wamerika and everything American, watanzania wenzako wangedai jinsi wakenya bado mindset yao inatawaliwa na wakoloni...
 
Watanzania tuna roho za kipumbavu sana ndio maana tunazidi kuwa maskini kila kukicha..

Fuatilia citizen kenya social media club utakuta mjadala wa why katumia almost long time kuongea na mtoto ... pia hakumpa handshake ya head of state kampa brotherly one... obama hakufocus kwa president kabisa... nenda you tube compare na visit ya ghana, south africa na nchi zingine and compare.
 
In both countries alikaribishwa karibu, feel at home. Cjui ni wapi alijisikia nyumbani na kufurahia. Wanajamvi watapata majibu
 
Acheni majungu na wivu wa kike.hivi mnadhani yule ni rais wa shelisheli ndo kuwe na mbwembwe?Yule ni mkuu wa dunia ndio maana alipokuja bongo mlideki barabara na kupanda minazi ya bandia.pia mateja wote na ombaomba mkawasweka ndani.sasa mnashangaa nini kwa wakenya?

sure mkuu
 
kweli kwetu kulikuwa na ulinzi lakini huu wa kenya noma,nimeona kuna kama police officer kama 10,000 wamemwaga.
 
Angalua hapo tofauti ya Obama alipokuja TZ na Leo Kenya. Mengine mtasema wenyewe naona watu wanataka kukataa ukweli na kupotosha

https://www.youtube.com/watch?v=LQrep2xF4bg bongo alipokelewa akashiriki sherehe za uwanjani then akapigiwa mizinga 21 nk

Mila na desturi ya mwafirika ukirudi nyumbani hupigiwa mizinga 21.Welcome home son ,walk tall,walk proud -shine ebony son.
 
Back
Top Bottom