umeona kabanda ndiga yuke mdudu na dada yake duuhh uhuru kabaki kasimama tu as if kaja kifamilia zaidi
Yaani Obama kuja siku mbili tuu watu wanasimamisha shughuli zote za kitaifa, sijui ingekuaje kama angekuja Kuishi kabisa? Nafikiri wangempa kabisa na.................................
USA baby:usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2:
Fuatilia citizen kenya social media club utakuta mjadala wa why katumia almost long time kuongea na mtoto ... pia hakumpa handshake ya head of state kampa brotherly one... obama hakufocus kwa president kabisa... nenda you tube compare na visit ya ghana, south africa na nchi zingine and compare.
pale kaja kusalimia ndugu zake wa baba mmojaFuatilia citizen kenya social media club utakuta mjadala wa why katumia almost long time kuongea na mtoto ... pia hakumpa handshake ya head of state kampa brotherly one... obama hakufocus kwa president kabisa... nenda you tube compare na visit ya ghana, south africa na nchi zingine and compare.
Wamarekani walishasema rais wao anakwenda kwenye nchi ambayo ni kitovu cha ugaidi, ingawa wakenya walikasirika sana na huo msemo.Angalua hapo tofauti ya Obama alipokuja TZ na Leo Kenya. Mengine mtasema wenyewe naona watu wanataka kukataa ukweli na kupotosha...
Mila na desturi ya mwafirika ukirudi nyumbani hupigiwa mizinga 21.Welcome home son ,walk tall,walk proud -shine ebony son.
Mila na desturi ya mwafirika ukirudi nyumbani hupigiwa mizinga 21.Welcome home son ,walk tall,walk proud -shine ebony son.
Nichekeshe na mimi sweetheart....Haaaaaa lol... nimebaki nacheka
usa apart from military haina chochote why is usa so concerned about irans nuclear ongoing??
Umeshakuwa Daimond sasaHeheheeee lazima mtanyooka tu teh teh teh
Umeshakuwa Daimond sasa
wakuu MOTOCHINI sam999 Iconoclastes MK254 FaizaFoxy Geza Ulole Kimweri Asprin bagamoyo Hoodla NairobiWalker mimi leo natoa yangu ya moyoni kuhusu ujio wa obama, Obama himself anaonekana anakuja kenya underinfluence ya makelele na vilio vya wakenya eti obama amewasaliti wakenya kwa kuanza kuja tanzania na wala sio kenya,hii kitu imewauma sana wakenya, wakenya wamempigia sana magoti obama ili aje kenya awaondolee aibu ,obama akarudisha moyo nyuma lakini akawapa masharti, kwanza hatokuja na familia yake pili lazima akija apitishe ushoga.wakenya wakakubali.na pia kuna tetesi obama amepanga kwenda bongo tena kabla hajastaafu urais