Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

MeinKempf

Jakaya Kikwetekwa sasa yupo Australia kwa ziara ambapo atakwea pipa hadi adis ababa kuwahi mkutano wa a,u head of state ambao utakuwa na mambo mawili makubwa mapya.

1, Uchaguzi wa Burundi na machafuko yake pia pendekezo la kamisheni yake inayo ongozwa na bi nkosazana dramin zuma iliyopendekeza uchaguzi huo ni batili.
Jakaya Kikwete atatoa taarifa ya e,a,c yeye kama mwenyekiti wa sasa sanjari na mseveni msuruhishi,

2. Hotuba ya obama kuhusu afrika ,ugaidi, ndoa za jinsia moja na uhuru wa mtu na utu wake,miundombinu na miradi ya umeme (power Africa )
 
Last edited by a moderator:
USSR

Huo uchafu Uhuru amesema hautaongelewa.

Bravo Uhuru.
 
Last edited by a moderator:
Mpingo ya mugabe kumuoa Obama imefikia wapi?

Maana Obama anapenda wenziwe wafukuliwe kinyesi ila yeye anaruka ruka tu
 
hao askaru wa kenya ni nyanya tu,marekani wanajua na lazima wajiweke sawa kiulinzi

mkuu hao ni Recce Squard wa kenya ..
mziki wao usiombe ukutane nao.
9k=
 
Askari wa Kenya wanaonekana madhubuti kimaumbo......wamekaa kiaskari hasa.
 
Kijijin kwa obama,,watoto hawajaenda shule leo,hosptal zmefungwa
cinema imetengwa katikat ya kijiji kushuhudia ujio wa Obama
 
hao askaru wa kenya ni nyanya tu,marekani wanajua na lazima wajiweke sawa kiulinzi

Tuache upuuzi wakuu, kwetu jamaa alivyokuja mpaka Mwamnyange na Mwema walisachiwa! Ni sahihi tusieapuuze askari wa Kenya! Natamani sana vi-Alshabaab vijichanganye vitupe tu hata kabomu ka machozi vione moto wake!!
 
Mkuu Obama kuna nchi anatokea katika ziara yake ama anatoka usa moja kwa moja na je ataenda nchi gani baada ya Kenya?
Swali la mwisho je dr jk amealikwa katika hayo mapokezi?

Naomba mnjibu maswali yangu yote...nitarudi
Ethiopia...
 
Yaani Obama kuja siku mbili tuu watu wanasimamisha shughuli zote za kitaifa, sijui ingekuaje kama angekuja Kuishi kabisa? Nafikiri wangempa kabisa na.................................
 
Kulikuwa na tetesi ya kwamba ujio wake utafanya taifa lile la Kenya mawasiliano kutokuwepo hapo kuna ukweli wowote MeinKempf
 
Last edited by a moderator:
USSR

Jakaya Kikwete yupo tz mkuu, jana usiku alikuepo kwenye msiba wa mzee mchechu mbezi beach
 
Last edited by a moderator:
wakuu MOTOCHINI sam999 Iconoclastes MK254 FaizaFoxy Geza Ulole Kimweri Asprin bagamoyo Hoodla NairobiWalker mimi leo natoa yangu ya moyoni kuhusu ujio wa obama, Obama himself anaonekana anakuja kenya underinfluence ya makelele na vilio vya wakenya eti obama amewasaliti wakenya kwa kuanza kuja tanzania na wala sio kenya,hii kitu imewauma sana wakenya, wakenya wamempigia sana magoti obama ili aje kenya awaondolee aibu ,obama akarudisha moyo nyuma lakini akawapa masharti, kwanza hatokuja na familia yake pili lazima akija apitishe ushoga.wakenya wakakubali.na pia kuna tetesi obama amepanga kwenda bongo tena kabla hajastaafu urais
 
Last edited by a moderator:
wakuu MOTOCHINI sam999 Iconoclastes MK254 FaizaFoxy Geza Ulole Kimweri Asprin bagamoyo Hoodla NairobiWalker mimi leo natoa yangu ya moyoni kuhusu ujio wa obama, Obama himself anaonekana anakuja kenya underinfluence ya makelele na vilio vya wakenya eti obama amewasaliti wakenya kwa kuanza kuja tanzania na wala sio kenya,hii kitu imewauma sana wakenya, wakenya wamempigia sana magoti obama ili aje kenya awaondolee aibu ,obama akarudisha moyo nyuma lakini akawapa masharti, kwanza hatokuja na familia yake pili lazima akija apitishe ushoga.wakenya wakakubali.na pia kuna tetesi obama amepanga kwenda bongo tena kabla hajastaafu urais
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom