USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
MeinKempf
Jakaya Kikwetekwa sasa yupo Australia kwa ziara ambapo atakwea pipa hadi adis ababa kuwahi mkutano wa a,u head of state ambao utakuwa na mambo mawili makubwa mapya.
1, Uchaguzi wa Burundi na machafuko yake pia pendekezo la kamisheni yake inayo ongozwa na bi nkosazana dramin zuma iliyopendekeza uchaguzi huo ni batili.
Jakaya Kikwete atatoa taarifa ya e,a,c yeye kama mwenyekiti wa sasa sanjari na mseveni msuruhishi,
2. Hotuba ya obama kuhusu afrika ,ugaidi, ndoa za jinsia moja na uhuru wa mtu na utu wake,miundombinu na miradi ya umeme (power Africa )
Jakaya Kikwetekwa sasa yupo Australia kwa ziara ambapo atakwea pipa hadi adis ababa kuwahi mkutano wa a,u head of state ambao utakuwa na mambo mawili makubwa mapya.
1, Uchaguzi wa Burundi na machafuko yake pia pendekezo la kamisheni yake inayo ongozwa na bi nkosazana dramin zuma iliyopendekeza uchaguzi huo ni batili.
Jakaya Kikwete atatoa taarifa ya e,a,c yeye kama mwenyekiti wa sasa sanjari na mseveni msuruhishi,
2. Hotuba ya obama kuhusu afrika ,ugaidi, ndoa za jinsia moja na uhuru wa mtu na utu wake,miundombinu na miradi ya umeme (power Africa )
Last edited by a moderator: