Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

Hii acc fake siyo ya Obama.
sikutaka kuchangia ila nachangia kwa ajili yako, unajua maana ya hiyo tick mbele ya jina? unatumia twitter? next time kama hauna uhakika na kitu ukae kimya maana unajiaibisha. kwani kuna kipi cha ajabu hapo hadi uhisi aaccount ni fake? acha ushamba
 
Mleta mada MeinKempf nimekipenda sana Kiswahili chako. Hiki ndicho Kiswahili cha uandishi, sio zile pumba watu huandika humu na kudai eti wao ni wacheshi kisa ni wazawa wa Tanzania.
 
Last edited by a moderator:
Mbona kenyatta akienda marekan au nchi nyingine airport haifungwi????
 
Ni kweli m-pesa ilibuniwa na kijana wa kikenya!my friend inasemakana after south africa kutoa tv za north africa,wanaofata kwa maswala ya media sub sahara africa after sa ni wakenya!tena wanahabri wao very compent,angalia wanaotangaza,cctv africa baadhi wanatoka kenya,bbc focus on africa baadhi wanatoka kenya(sophy ikenye)alafu nimekua nikifatilia pitia k24,ktn,citizen,ntv my ndugu live coverage tena wana camera za kisasa,tangia anatua jkia,anapita mombsa road,to town live! Live! Asubui obama ana irive gigiri live!live!
 
Sisi Wakenya sio saizi yetu, wametuacha tunatembea, wao wanakimbia kwa kasi.
 
Mleta mada MeinKempf nimekipenda sana Kiswahili chako. Hiki ndicho Kiswahili cha uandishi, sio zile pumba watu huandika humu na kudai eti wao ni wacheshi kisa ni wazawa wa Tanzania.

Asante sana mkuu MK254 , kwa pamoja tuendelee kufatilia kujua ni nini kitajiri zaidi katika hii ziara ya Mh. Obama hapo kenya .
 
Last edited by a moderator:
Mbona kenyatta akienda marekan au nchi nyingine airport haifungwi????

Mamlaka za Pentagon wana weza kukujibu hoja yako.
Na hata mkuu JUMA maharage mkuu wa itifaki ya magogoni dsm anaweza kukusaidia kwani naye aliisha
kumbana na ujio wa huyu mkubwa wa kazi Obama. Kiwanja cha JKIA kilifungwa kwa muda mpaka pale "wenye dunia yao" walipomaliza kazi yao.
 
Last edited by a moderator:
What is Alfred keter doing ati aongee na wao loool hakuchoka na weigh bridge saga.... Lol
 
Recee squad ina kaa rada leo wamevaa masks kama commandos hehe hakuna kucheka hapo GSU ITAKUCHANGAMSHA VILIVYO
 
Back
Top Bottom