Observation yangu kwenye stori ya Le Mutuz


- hahahaha umesema nimeandika uongo 100%, kwamba hakuwa deported? Sasa ngoja nikuambie ukweli ambao sikuuandika nilipomuoa aliondoka Belgium na madeni kibao ambayo nilikuja kulazimishwa kuyalipa tukiwa honemoon, hahahaha nikiamua kuandika ukweli wote mkuu utalia machozi ila karibu sana!

- Kuhusu ku move on wala hata sina sababu ya kujibu ni matendo yangu na yake ndio yanajisema wazi nani haja move on hahahahahaha

le Mutuz
 

- Nimekuambia Instagram ni uwanja wangu wa biashara ukitaka kuandika matusi andika huku please!

le Mutuz
 
Hoja ni mwanaume kujitangazia ufalme wa kipato zaidi ya wanaume wengine ambao infact hajui their incomes in real numbers...ni utoto wa hali ya juu!

- hahahahahaha tatizo unaongea maneno tu hujui ukweli wa majuu ungejua ungenyamza tu hahahahahahha

le Mutuz
 
- Nimekuambia Instagram ni uwanja wangu wa biashara ukitaka kuandika matusi andika huku please!

le Mutuz
Si kukutukana mzee uliandika facts za uongo nikakuchallenge......you didn't accept mzee ukaona easy way ni kuni block........hahaha le akili kubwaz gani unaogopa challenges[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 

1.Kulipwa majuu ni wewe ndio ulikua unaona unalipwa sana. Hiyo ni kwako wewe, hai-apply to the rest of the population. Kwa muktadha wako binafsi upo sahihi, ila measuring stick ndio ulikua huna. Ulikua unahisihisi tu. Peter ni one person, what about the rest of the NY pop?

2. Mkuu hiyo kazi ya kuendesha malori unaiona wewe kubwa na inalipa sana maana ni wewe. Na pia tulikua hatujui ulikua grade gani na salary slips huku-attach kutuonesha kikweli hicho kipato. Until now,hizo ni purely claims zako binafsi hakuna mwanachi aliezipruvu bado. Ni claims tu. Ni kama mimi niseme nina viwanda 100 which is a claim just like yours.

3. Sija-generalize. Nimeangalia yako kutokana na maelezo ya vithstori vyako huku IG. Sababu ni chungu nzima na infact wote wawili hua ni participants, hakuna on earth eti ndoa inavunjwa na mmoja tu..Ila wewe yako eti wewe hukuhusika kabisa!hahahaaa

4. Mkuu, katika hizo sababu hapo kuna mojawapo iliyovunja hiyo aidha unaujua ila kwa makusudi hutaki kuisema,upo kwenye denial tu.Au aidha kweli huijui.Nikiwa mganga wa jadi naweza bashiri ni aidha sababu ni wewe kua gay,inaweka kua kweli au uongo,maana hizi tuhuma zipo all over.Inaweza kua kweli au isiwe kweli,na hapa nime-declare kabisa 'nimebashiri"!

5. Amekuandika? Sijawahi msikia,na kama hadi mimi mpenda internet sijawahi msikia ni kuwa ilikua minimal, wewe sababu una platform na umaarufu unaonekana savage towards her. Muache tu,yalishaisha,kama mwanaume take a high road...afterall ni mwanamke kakuzalia ujue

Kukutafuta ni lazima mzee,maana mna watoto,mna biological connection which can never be erased mzee.Acha utoto kabisa about this.Sidhani eti kama anakutafuta eti "anakupenda" maana hayo yalishapita mka-move on.Nachoona hapa ni wewe ku-over interpret intentions zake za kukutafuta,wewe unadhani ni "love" lakini mimi naone clearly sio hivyo.Mna issue nyingi za mali na watoto,anavyokutafuta interpretation yako inakua ya kitoto mno...
 

Hujanisoma vizuri..nimesoma uliyoandika sio kweli kwa 100%..yaani ukweli unaweza kua namba yoyote kuanzia 0%-99.99%.tena nikaendelea mbele zaidi kua unawezakua ulipunguza au kuongeza kitu ili wewe uonekane in good light zaidi yake yeye!

naomba unielewe mkuu.
 
- hahahahahaha tatizo unaongea maneno tu hujui ukweli wa majuu ungejua ungenyamza tu hahahahahahha

le Mutuz


Nashangaa wewe ku-declare eti ulikua unawazidi kipato!how on earth do you know?

Inaonesha una fundamental problem than this!

Na hii kuandikaandika vitabu halafu karibu 80% ya content ni kumuhusu huyo dada,then inaonesha kabisa kuna unfinished business with her na unataka ku-settle scores na yeye....Hiki kitabu ni wazi target ya kumuumiza huyo dada,of which makes me really question your integrity.

Naona upo confused sana.Kitabu unadai ni strictly maisha yako then 90% ya content ni kumuhusu ex wako.Jeeeesusssssssss
 
Majuu hamna vijiwe utakufa njaa
Jifikirishe kwa mapana, uonekane unafikra ,ukikariri akili itadumaa, hili ni jukwaa huru linabeba wanaowafahamu na wasiowafahamu
Kila sehemu kuna vijiwe vya aina yake AMKA
 
Subiri kitabu..Kuna parts aliziacha
 
Ila mzee baba kuhusu wanawake nakubaliana na wewe wanawake ni wazushi sana. Yani unaweza ukajitoa kwake lakini akakuchafua sana
 
Jifikirishe kwa mapana, uonekane unafikra ,ukikariri akili itadumaa, hili ni jukwaa huru linabeba wanaowafahamu na wasiowafahamu
Kila sehemu kuna vijiwe vya aina yake AMKA
Hebu nieleweshe hiko kijiwe ukichosema au cha whatsapp group we sio pekee yako unayeishi ulaya
 
Hebu nieleweshe hiko kijiwe ukichosema au cha whatsapp group we sio pekee yako unayeishi ulaya
Hata ofisini kama mnaacha kufanya kazi na kupiga soka ujue hicho ni kijiwe na muendelezo wake. Majumbani,mtaani,hospitalini nk
 
CC Al-Watan Kiranga Nyie mnaishi New York, Le Mutuz kasema mlikuwa wanafki sana kwake.

Sasa inakuaje mlimnyanyapaa ndugu yenu ughaibuni?
Mimi habari za wabongo sizijui.

Al-Watan is a singularity, usitake kum group na "wabongo wa New York".

Unaweza kum group hivyo, wakati mwenzako yuko New Orleans anakula Mardi Gras na bi Zuhra.

You dig?
 
Bro Leo umenikosha sana. Tatizo wanajamii baadhi yao wamechokaje kuwaza. Muda wote wanawaza ya wenzao tuu.
 
The whole story is one sided,muhimu ni kuipokea kaka ilivyo au kutafuta facts na ku criticize alichoandika/kukisema.
 
Comments lazima ziwepo na usipende kupangia watu nini cha ku comment, angekuwa hataki comments basi angefungia ndani historia yake. Usijikute mjuaji mkuu acha watu watoe maoni yao hata kama huyapendi baadhi ya hayo maoni.
 
Nakazia na mm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…