TANZIA OCD wa Chalinze, Innocent Flex afariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi maradhi ya kuumwa kichwa na kubanwa pumzi

TANZIA OCD wa Chalinze, Innocent Flex afariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi maradhi ya kuumwa kichwa na kubanwa pumzi

Serikali hii kukataa kutupatia taarifa ni jambo la hatari na la kipuuzi sana. Hakuna tahadhari tena, mambo yanaenda tuuu, tukipata taarifa sahihi ya mwenendo wa ugonjwa huu hofu huongeza nidhamu na kujitambua ili kuongeza tahadhari za kuepuka ugonjwa.
Sasa leo OCD Chalinze jana MKUU wa Wilaya Nyanghale Geita huko bado hakuna taarifa yeyote.

Huku mitaani usiombe naomba serikali itangaze na kazi tuendelee kufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina hakika na hili la kirusi kubadilika ninachoona watz wengi hatufanyi mazoezi Covid akikukuta kwenye hali hiyo huamki kumbuka covid akifika kwenye mapafu
Yule mpare mwenzako. Mange anasema kirusi kimebadilika na kweli wataalamu wanasema kimejibadilisha ma kuwa deadly.

Kile cha wuhan na usa sio cha Africa.
Cha mbele kinakupa muda kidogo ila cha bongo kinakuchukua fasta.

Wabunge .. waliokufa na huyu wameondoka kwa muda mfupi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe umekuwa mtu wa mbele sana kushadadia Haya na kupotosha , umekuwa ukizua taarifa za uzushi kila Mara, na taarifa hizi zimekuwa zikileta taharuki kwa wananchi wengi

I tell you,lazima ubadilike .naishia hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wengine unashindwa hata kupredict umri wao; maana mda mwingine wanakuwa kama watu wazima mda mwingine kama watoto. Kuna watu wengine kwa heshima hapa jukwaani hawakustahili wanayoyafanya, ila ndio hivyo tena kuku hata akioga ataenda kupekua tu usishangae mkuu
 
acha ujinga wewe ni Kiranja humu JF au unautaka uModerator
Hebu tafuta kazi nyingine km Mada inagusa huipendi si uache kuchangia
wengi mnajifanya mmetumwa kuja kawatafuta watu
Corona imeingia unataka hata member tusihabarishane humu Jukwaani
yaani umenikera sana Jitu una Fake ID unataka kupambana na Verified eti abadilike ana new ID???
Kesho naenda Mzika Mama yangu mkubwa nitasafiri zaidi ya kilomita 700
nimefiwa na jirani leo tupo hap Msibani
umsema unatishwa na kipi hasa
Ulimwengu mzima Vifo vinaongezeka inajitokeza mijitu mnafichaficha hamtaki hata tuhabarishane Misiba
PAMBANA na Fake ID au anzisha Mada sio huanzishi kazi kusubiri km mlevi
Naona unatoa sumu mwilini...
kwa kubwatuka.....
 
Kuna wakati muwe watu wa tafakuri.. Hamjui nikoje na marehemu... Msiwe watu wa kuhukumu kila kitu...

Jr[emoji769]
Nipo mafichoni ila nina mafua na kikohozi. Sibanwi kifua wala sina kichwa. Niliingia porini tangu last week.
 
Kuna watu wanaenjoy kupost habari za hivi
Hapana mkuu ila kwa sababu ya Watawala wetu hasa Mkuu pale Mjengoni na Mkuu wa Kaya ndiyo maana unaona hivyo. Wewe si unaona mwenyewe Wabunge wanavyokejeliwa hasa wale wa Upinzani?? Mbona Ndugai yeye ana enjoy kutaja hadharani madeni ya Wenzie na huonyeshi kukerwa kwa hilo??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom