bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana acha upotoshaji nani kafa kumbe wewe sio mzelendo?Kwa mara ya kwanza naona watu wakiwa na furaha, nderemo na vifijofijo kila inapotangazwa habari ya kifo, hii sijawahi ona popote duniani
sio mzelendo uyo OCD hajafaWewe umekuwa mtu wa mbele sana kushadadia Haya na kupotosha , umekuwa ukizua taarifa za uzushi kila Mara, na taarifa hizi zimekuwa zikileta taharuki kwa wananchi wengi
I tell you,lazima ubadilike .naishia hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule mpare mwenzako. Mange anasema kirusi kimebadilika na kweli wataalamu wanasema kimejibadilisha ma kuwa deadly.
Kile cha wuhan na usa sio cha Africa.
Cha mbele kinakupa muda kidogo ila cha bongo kinakuchukua fasta.
Wabunge .. waliokufa na huyu wameondoka kwa muda mfupi sana
Elimu imeshatolewa na mh magufuli,amesema tusiogope,tuchape kazi,elimu gani ingine unataka?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wakati muwe watu wa tafakuri.. Hamjui nikoje na marehemu... Msiwe watu wa kuhukumu kila kitu...
Jr[emoji769]
Kuna watu wengine unashindwa hata kupredict umri wao; maana mda mwingine wanakuwa kama watu wazima mda mwingine kama watoto. Kuna watu wengine kwa heshima hapa jukwaani hawakustahili wanayoyafanya, ila ndio hivyo tena kuku hata akioga ataenda kupekua tu usishangae mkuuWewe umekuwa mtu wa mbele sana kushadadia Haya na kupotosha , umekuwa ukizua taarifa za uzushi kila Mara, na taarifa hizi zimekuwa zikileta taharuki kwa wananchi wengi
I tell you,lazima ubadilike .naishia hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona unatoa sumu mwilini...acha ujinga wewe ni Kiranja humu JF au unautaka uModerator
Hebu tafuta kazi nyingine km Mada inagusa huipendi si uache kuchangia
wengi mnajifanya mmetumwa kuja kawatafuta watu
Corona imeingia unataka hata member tusihabarishane humu Jukwaani
yaani umenikera sana Jitu una Fake ID unataka kupambana na Verified eti abadilike ana new ID???
Kesho naenda Mzika Mama yangu mkubwa nitasafiri zaidi ya kilomita 700
nimefiwa na jirani leo tupo hap Msibani
umsema unatishwa na kipi hasa
Ulimwengu mzima Vifo vinaongezeka inajitokeza mijitu mnafichaficha hamtaki hata tuhabarishane Misiba
PAMBANA na Fake ID au anzisha Mada sio huanzishi kazi kusubiri km mlevi
Nipo mafichoni ila nina mafua na kikohozi. Sibanwi kifua wala sina kichwa. Niliingia porini tangu last week.Kuna wakati muwe watu wa tafakuri.. Hamjui nikoje na marehemu... Msiwe watu wa kuhukumu kila kitu...
Jr[emoji769]
Kuna wakati muwe watu wa tafakuri.. Hamjui nikoje na marehemu... Msiwe watu wa kuhukumu kila kitu...
Jr[emoji769]
Mkristo Mlutheri
Jr[emoji769]
Na kabla ya Chalinze tulikuwa wote Kibaha.. Close neighbor'sWapuuze,wewe waishi Kibaha,huyo kituo chake cha kazi ni Chalinze,hapo kweli kuna cha kuuliza!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu ila kwa sababu ya Watawala wetu hasa Mkuu pale Mjengoni na Mkuu wa Kaya ndiyo maana unaona hivyo. Wewe si unaona mwenyewe Wabunge wanavyokejeliwa hasa wale wa Upinzani?? Mbona Ndugai yeye ana enjoy kutaja hadharani madeni ya Wenzie na huonyeshi kukerwa kwa hilo??Kuna watu wanaenjoy kupost habari za hivi
Wilaya ya jirani na Chato imepiga janaMpaka lini iyo?
Jr[emoji769]
Wilaya ya jirani na Chato imepiga jana
Nasikia yupo kisiwani Rubondo
Ila kisiwani Ukerewe imepiga leo
Sent using Jamii Forums mobile app