Alikuwa muungwana sana.Angebaki IGP Mwema vijana wa kaliba hii wangefika mbali sana. Sio hawa wahuni wakisiasa wa muda huu.Kweli wewe unamfahamu. Nilikuwa naye last 3 days
Jr[emoji769]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa muungwana sana.Angebaki IGP Mwema vijana wa kaliba hii wangefika mbali sana. Sio hawa wahuni wakisiasa wa muda huu.Kweli wewe unamfahamu. Nilikuwa naye last 3 days
Jr[emoji769]
Kwa hiyo unataka iwe Siri ? Kwa faida ya Nani ?Kuna watu wanaenjoy kupost habari za hivi
So sad indeed , RIP OCDAlikuwa muungwana sana.Angebaki IGP Mwema vijana wa kaliba hii wangefika mbali sana. Sio hawa wahuni wakisiasa wa muda huu.
ndo muache ubishi sasaKuna watu wanaenjoy kupost habari za hivi
acha ujinga wewe ni Kiranja humu JF au unautaka uModeratorMshana Jr in a new id? Pole sana mkuu
Wewe umekuwa mtu wa mbele sana kushadadia Haya na kupotosha , umekuwa ukizua taarifa za uzushi kila Mara, na taarifa hizi zimekuwa zikileta taharuki kwa wananchi wengi
I tell you,lazima ubadilike .naishia hapa
Hatujaelewana naonaKwa hiyo unataka iwe Siri ? Kwa faida ya Nani ?
Who are they?ndo muache ubishi sasa
Watu wameaminishwa kama gonjwa halipoHali ni mbaya lakini kadri watu wanavyojiachia huku mitaani bila hofu ndio kadiri hali inavyokuwa mbaya.
Corona itafika tu hata aende wapi as long as yupo tz itamkuta.
Inawezekana ni njia ya Mungu kutuondolea huyu binadamu.
Ni kaugonjwa kadogo tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji41]ngoja tunidukize zetuNi ndugu Yetu Innocent Flex ametwaliwa na Bwana usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Chalinze. Mpaka jana jioni alikuwa mzima wa afya lakini usiku akapata maumivu makali ya kichwa na kubanwa pumzi ikabidi akimbizwe hospitali asubuhi lakini hakufika
Kabla ya kuwa OCD Chalinze alikuwa OCD Kibaha.
Mwili uko mochwari Tumbi hospital.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe
Jr[emoji769]
Wachawi nao huwa wanatafuta tu fursa za majanga kama haya ya magonjwa ya mlipuko kufanya yao. Hili janga la COVID-19 pia linaweza kutumiwa na wachawi kuwamaliza wabaya wao kwa kuwafanya waugue ugonjwa wenye dalili za COVID-19 na mwisho wa siku kuwapoteza wabaya wao.
Pumbavu
Kama wa kawaida mbona yeye hatoki huko alipo, siku akitoka huko nitaamini kweli huu ugonjwa wa kawaida tuTatizo ni hofu, mtu akipata mafua kidogo tu presha inapanda, anakata moto.
Hata mh rais anasema huu ugonjwa unawapa hofu watu, wakati ni wa kawaida tu.
wa kawaida?Tatizo ni hofu, mtu akipata mafua kidogo tu presha inapanda, anakata moto.
Hata mh rais anasema huu ugonjwa unawapa hofu watu, wakati ni wa kawaida tu.