hahhaha nitaenda huko huko nikaone kwa macho na hicho kibabu cha kizungu kwenye picha ndo shem wetu au
Huyo shoga ake mange Mbona aliolewa na Mzungu na tulishamcheka sana tu hapa....me Ndo Nina mpango wa kutafuta kibabu changu
Dream stroller for her..
Kakitanda sijakapata vizur
mhhhhhhhhh
Ndo hako kaungo kalikofanya watu watake kutoana roho mahali wakibishana
Niambie dream stroller yako...lol
Niambie dream stroller yako...lol
mimi yangu ni mgongo na mbeleko shoga wanaume wenyewe hawa average joe
mimi yangu ni mgongo na mbeleko shoga wanaume wenyewe hawa average joe
Hahahahahah below the poverty line....imeniuma sana anavyomshusha na kumdharau Sintah... Awaulize Akina mziray wanopumulia mashine sasa
Stroller zaidi ya M1.7 ( zaidi ya usd 1000) hivi...ila still kwa Mishahara ya nchi zilizoendelea ni affordable Kabisa. Hata bongo watu wanavyo seam hawavitangazi.
Hahhhhhahhhha na ukijitahidi sanaa unanua kitengee hahahhha
Hahahahahah below the poverty line....imeniuma sana anavyomshusha na kumdharau Sintah... Awaulize Akina mziray wanopumulia mashine sasa
hahahaha umeona eeeh shoga kakianza kusimama dede naenda kwa fundi selemala kukachongea kile kigari cha mataili matatu ajifunze kutembea kwisha habari
Mrembo by nature Sinta ana mimba ya nanii??? Duu leo umenimwagiaa mambo humuuu lol
hahahaha umeona eeeh shoga kakianza kusimama dede naenda kwa fundi selemala kukachongea kile kigari cha mataili matatu ajifunze kutembea kwisha habari
Yaan kajifunguaa halaf keshaswampa kiwandanii muke ya Muzungu au???!!!
Hiv huyu mmewe ana kazii ganii? ?aje atuonyeshee na nyumba yake au wamepangaaa hahahhhhaaa