Odama huvumi lakini umo

Odama huvumi lakini umo

aaaaahaaaaaa kazi kweli mchawi lazima amjue mchawi mwenzio bs walikua wakiwanga wote....kumbuka jamii forum ni yakila mtu haina mwenyewe so usi hamaki dada

Hayaa somaa sasa uburudikee
 
Hahhhhha analoo kama uchangushume anao yeye na hizo teammavi zakee,lazima msumari uchome kote koteeee,lindaa miaka mingi lakini mrembo haswaaa lakini kenyewee kamekomaaa utafikiriii hua kanalima magimbii,nimeamini vimkomao hua vina matatizo sanaaa

Kwanza huyo linda hata robo hamfikii kwa uzuri na kilakitu.
 
aaaaahaaaaaa kazi kweli mchawi lazima amjue mchawi mwenzio bs walikua wakiwanga wote....kumbuka jamii forum ni yakila mtu haina mwenyewe so usi hamaki dada

Hivi we we Koku kwenye ule mgawo utapata chupi au Kile kikopo alichokuwa anatemea mate Wakati wa ujauzito? Hahahahahah aha naona unatetea mgawo wa malapu lapu aisee mtumikie kafiri upate japo kinyolea vu......z.....i
 
Hivi we we Koku kwenye ule mgawo utapata chupi au Kile kikopo alichokuwa anatemea mate Wakati wa ujauzito? Hahahahahah aha naona unatetea mgawo wa malapu lapu aisee mtumikie kafiri upate japo kinyolea vu......z.....i

Embu weka avatar ya koku domo nicheke
 
Hivi we we Koku kwenye ule mgawo utapata chupi au Kile kikopo alichokuwa anatemea mate Wakati wa ujauzito? Hahahahahah aha naona unatetea mgawo wa malapu lapu aisee mtumikie kafiri upate japo kinyolea vu......z.....i

Hahhhhhahhhha anataka aajiliwee awe housegirl wakee ndio maana yupo hai haii misukureeee
 
Mange anawarusha hadi wanaojiita great thinkers
Hahaha tutaona mengi mwaka huu
 
Hahahaa mange bwana kimbiza haoooooo maana toka walivyoanza kusema anaroga mpk leo sijaona mabadiliko ebu endelea kuwakimbiza kuna ngedere wanaota maisha yako
 
Mange anawarusha hadi wanaojiita great thinkers
Hahaha tutaona mengi mwaka huu

Anawarusha hao misukule wakee tunaweka mabaya yake kama anavyoweka ya wenziee wala hakuna anachozidiii maana anaishi kama kawaida tu picha zinawachanganyaa hahhhhhahhha
Mengi tushayaona lakin yake makukuu mpaka watu wanamshangaaa,
 
Anawarusha hao misukule wakee tunaweka mabaya yake kama anavyoweka ya wenziee wala hakuna anachozidiii maana anaishi kama kawaida tu picha zinawachanganyaa hahhhhhahhha

Si hawajawahi kuona wote wa misukule yake walikuja town na fuso ya Mahindi
 
Hahahaa mange bwana kimbiza haoooooo maana toka walivyoanza kusema anaroga mpk leo sijaona mabadiliko ebu endelea kuwakimbiza kuna ngedere wanaota maisha yako

Maisha gani aliyonayo wenye maisha wakiitwa hata pua hasogezii mwambie atulize mshonoo,ushamba apunguzee,maisha ya picha za 360 heeeeeeee nyie ndio mtaota mnaolima magimbi kwenye lamii
 
Back
Top Bottom