Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
ππDaa mi sielewi hapo, mana sijawai beti. Maana yake ni kua yanga anashinda ?
Tafuta hela wewe bei ya kawaida sana hiyo
Daa mi sielewi hapo, mana sijawai beti. Maana yake ni kua yanga anashinda ?
Acha uongo,Yanga alipewa 2.40 sio 1.40Odds hazichezi mpira, ingekuwa zinacheza mpira basi Yanga ingeshinda mechi ya Dar ilipopewa odds 1.40 na makapuni ya kubeti. Atakayejipanga vizuri kesho ndio watakaopata matokeo na kufuzu.
Watu wa kubet watakuwa na uzoefu mkubwa na reference za timu zilizoprwa odds mlima lakini zimeshinda. Na timu zilizopewa odds kiduchu 0.12 lakini zikafungwa
Weka ata uhai afisa ubashiri hiyo game ni sare ya kufungana.this is denial πππ.. weka hela kama unajiamini mzee wa kubashili
Weka ata uhai afisa ubashiri hiyo game ni sare ya kufungana.this is denial πππ.. weka hela kama unajiamini mzee wa kubashili
Ngoja uone kesho odds zitakavyoporomoka mpaka huo muda wa mechi kuanza. Zitakuwa hiviππmimi yanga lose mke kesho morning mapema
Tubet ntatoa laki 2 wewe weka mkeππmimi yanga lose mke kesho morning mapema
Nafundisha watoto kama nyie kwa mifano kabisa maana mpira mmeujulia ukubwani halafu mnajifanya kila kitu mnajua.9 odds kuwa serious
Ndio, anaweza shinda goal 9 na kuendlea.Daa mi sielewi hapo, mana sijawai beti. Maana yake ni kua yanga anashinda ?
Umeona sasa unavyoonesha mbulula kwenye mpira wa miguu, kwahiyo kwenye group stage timu inaamua kufungwa?this is not group stage. it's a quarter final
Wanataka Kusema chances za Kushinda Yanga ni Ngumu sana kuliko chances alizonazo Simba kushinda..kama unajua kutabili matokeo ya yanga ππ. weka yanga win na mshahara wako. upate wa 9months .
weka nyumba 1 upate nyumba 9.
Acheni siasa za mpira, walk the talk.
View attachment 2953977