Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Siasa ya afrika tamu swahiba 😀,hapana chezea kulamba asaliKhaa!! Ifikie hatua huyo Mzee aone inatosha sasa.
Kwa kweeli Swahiba.Siasa ya afrika tamu swahiba í ½í¸,hapana chezea kulamba asali
unaweza ukamuita odonga , mzee wa kitendawili au Maalim seif wa kenyaaaaaaa...😁😁😁😁Aliyekuwa mgombea urais wa Kenya Raila Odinga amerejea nchini humo akitokea Zanzibar
Raila amesema hakubaliani na uamuzi wa mahakama kushikilia ushindi wa Ruto na kusema mahakama ilifanya ujambazi na uamuzi wa kijinga
Amesema watafanya maandamano ya watu milioni kuelekea mahakama kuu kuwaondoa majaji kwani ni haki yao
View attachment 2357918
View attachment 2357917
View attachment 2357916
Hapo anatafuta huruma ya maridhiano apewe kajinafasi alambe asali yakeKwa kweeli Swahiba.
Japo nawaza akifeli na hii atakuja na ipi tena. lol
Ajiandae kupigwa yeye na watu wakeAliyekuwa mgombea urais wa Kenya Raila Odinga amerejea nchini humo akitokea Zanzibar
Raila amesema hakubaliani na uamuzi wa mahakama kushikilia ushindi wa Ruto na kusema mahakama ilifanya ujambazi na uamuzi wa kijinga
Amesema watafanya maandamano ya watu milioni kuelekea mahakama kuu kuwaondoa majaji kwani ni haki yao
View attachment 2357918
View attachment 2357917
View attachment 2357916
Odinga pia apitie videos kule YouTube ,Tigray,Ethiopia!!!Kabla hajaanza hayo maandamano ajiulize kwanza ni roho gani iko upande wa Ruto na ni roho gani iko upande wake yasije kumpata yaliyowapata Amaleki
KUTOKA 17: 13-16
13 Yoshua akawaangamiza Amaleki na watu wake kwa ukali wa upanga.
14 Bwana akamwambia Musa, Andika habari hii katika kitabu iwe ukumbusho, kisha ihubiri masikioni mwa Yoshua; ya kuwa nitaufuta ukumbusho wa Amaleki kabisa, usiwe tena chini ya mbingu.
15 Musa akajenga madhabahu, akaiita jina lake Yehova-nisi;
16 akasema, Bwana ameapa; Bwana atakuwa na vita na Amaleki kizazi baada ya kizazi.
Aliyekuwa mgombea urais wa Kenya Raila Odinga amerejea nchini humo akitokea Zanzibar
Raila amesema hakubaliani na uamuzi wa mahakama kushikilia ushindi wa Ruto na kusema mahakama ilifanya ujambazi na uamuzi wa kijinga
Amesema watafanya maandamano ya watu milioni kuelekea mahakama kuu kuwaondoa majaji kwani ni haki y
Aliyekuwa mgombea urais wa Kenya Raila Odinga amerejea nchini humo akitokea Zanzibar
Raila amesema hakubaliani na uamuzi wa mahakama kushikilia ushindi wa Ruto na kusema mahakama ilifanya ujambazi na uamuzi wa kijinga
Amesema watafanya maandamano ya watu milioni kuelekea mahakama kuu kuwaondoa majaji kwani ni haki yao
View attachment 2357918
View attachment 2357917
View attachment 2357916Mzee amekula maharage ya Zanzibar!! Kinachoongea ni maharage!! Mahahage yakiisha tumboni atatulia!!
Ruto anataka kufuata nyayo za Magufuli...Aliy
Aliyekuwa ana uwezo huo ni Moi,akikaa kituoni masaa mawili Kenya inawaka moto,labda Ruto ajitoe ufahamu.